Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,368
hiyo inaitwa baniani mbaya kiatu chake dawa....!!....
Najua yeye asichukue ila me ningechukuaPesa pia inaweza kuwa zawadi
Habari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Hahahaaaa tofauti ingekuwa wapi sasaNajua yeye asichukue ila me ningechukua
Kama huna mpango nae, akituma hela mrudishie hapo ndio mwisho wa usumbufu wake maana unapo kula hela yake anajua ipo siku utakubali tu, halafu ukikubali atakudharau sana maana ana mtegemeo makubwa na mwili wako lkn huenda asipate anavyo vitakaHabari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Tofauti ni moyo kujisikia mkosaji .. yeye atajiona mkosaji me nitajiona mshindiHahahaaaa tofauti ingekuwa wapi sasa
WAnawake watu wa ajabu sana,hapo unaweza kuja kumwacha mtu wako wa mda mrefu kisa mtu uliekutana nae mda mfupi,Habari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Mna mahusiano nae kwa muda ganiHabari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Habari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.
Yaani hiyo ndiyo dawa yenu mwanaume halisi haelewekiHabari zenu wapendwa,
Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.
Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.
Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.
Nipeni ushauri mwenzenu.