Nashindwa kumuelewa huyu mwanaume

Nashindwa kumuelewa huyu mwanaume

Me sina tatizo na mpnz wangu niliyenaye tunaeshimiana na tunapendana sana.
Kama huna tatizo unapokea hizo hela za nini pia wawasiliana nae ili iweje. Hujui jinsi unavyowasiliana nae ndio unajenga hatari zaidi kwenye mahusiano yako. Mbaya zaidi unazidi kuweka ukaribu wa wewe kuliwa kirahisi.

Hufikirii kuwa mpenzi wako anayekupendz akijua atajiskia vibaya na hata kama alikuwa mwaminifu kwako nae ataanza tabia mpya. Fikiria kabla ya kutenda ridhika na uliye nae avha kutapatapa.

Kama ungekuwa na matatizo na mpenzi wako kidogo ningekuelewa kuwa upo njia panda. Na huyo anayekwambia kuwa huyo mpenzi mpya anaweza kuwa ndio uliyelangiwa anakuongopea. Muwe mnaridhika upendo hauji kwa kutumiwa vijipesa hata kidogo.
 
Nachojarbu kuuliza hapa ni kwnn hakati tamaa wakat nishamwambia hali halisi. Hata mkinambia ananipenda siwez kuwa nae so chill Bro hucjipanikishe bure.
Hakati tamaa kwa kuwa ameshajua madhaifu yako.

Acha mawasiliano nae

Rudisha pesa zake

Mshitikishe mpenzi wako

Uone kama ataendelea
 
Mwanaume akikufuatilia sana huku anajua una mtu nia yake ni kuonja anachokula mwenzie kwa gharama yoyote ilee
 
kaa nae chini umsikilize nia yake kwako,may be atakuja kuwa mume mwema kwako
 
Ssa nifanyeje, kurudisha siwezi. Kwnye tamthilia za kifilipino ndo wanarudisha lkn sio kibongo bongo
Tatizo liko kwako sio kwake! Na kwa majibu yako humu trust me HUYO UTAMKATAA JAPO UMEPIGA ELA ZAKE ILA HATA HUYO ULIYE NAYE KUNA SIKU TU UTAMSALITI!!

Kwa nnavokuona bado hujui nini maana ya mwanamke katika mahusiano na pia hujui unataka nini!! Still i question your thinking and decision making ability hasa ukizingatia wewe ni mke wa mtu mtarajiwa!!

Kwenye bible (proverbs) wanasema mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake kwa mikono yake!! Sorry nimesahau kifungu kamili!!
 
fanya unachopenda
Fanya unachoweza

Usfanye kitu kwa kulazmishwa
 
Kuonyesha kama na ww una msimamo usiwe inapokea miamala yake
Wanawake mna mambo ya hovyo sana,akituma muamala unapokea wala
Hauji hapa kuuliza kama uchukue au uache!Ukiona sasa ni muda muafaka wa kumpa papuchi unakuwa magutu
 
Anataka kukukojolea tu huyo akishamaliza aendelee na hamsini zake
 
Kadiri wanawake wanavyosema 'nashindwa kumwelewa huyu mwanaume' ndo nazidi kuelewa matatizo ya wanawake.
Ha ha umenichekesha sana. Anasema anashindwa kumwelewa mtu ambaye anaeleweka kweli wanawake Mungu kawaumba tofauti sana
 
Hahaha umenichekesha mkuu niliwahi kuiangaikia papuchi 2012-2016 yani 2016 ndo nikaibamiza na baada ya kuibamiza mambo yamekua mubashara kabsa maringo yte kwisha
 
Habari zenu wapendwa,

Nina mahusiano na mwanaume wangu kwa muda mrefu sana ila kuna mwanaume mmoja alinitokea akawa ananipenda sana lakini sijawahi kumkubalia zaidi uwa tunawasiliana tu, ananisaidia vishida shida tena bila kumuomba, ni mkarimu mpole na hana maneno mengi.

Cha ajabu ambacho nashindwa kuelewa kwa huyu mwanaume amenitaka kwa muda mrefu sana sasa ila nimekuwa namwambia nina mahusiano na siwezi kuwa naye lakini hakati tamaa jamani kuna muda namjibu vibaya sana lakini kakomaa tu na mimi, ananitumia pesa kila baadaa ya muda ananiambia zitanisaidia shida ndogo ndogo.

Mimi nashindwa kumuelewa huyu mwanaume ndo atakuwa ananipenda sana au atakua ana shida zake tu anazozijua yeye.

Nipeni ushauri mwenzenu.

Anaependa kikweli hachoki kuvumilia!
 
Me sina tatizo na mpnz wangu niliyenaye tunaeshimiana na tunapendana sana.
sasa unaomba ushauri wa nini na huku ukijua unaye mpenzi wako tayali na mnapenda naye? unataka tukushauri ukachepuke? wewe umeanza kuvutika kwa uyo kijamaa! usiseme humuelewi!!
 
Humtaki bali pesa yake unakula!!
Ila kukataa pesa nayo yataka moyo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom