mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
Anahusika aliongea nn siku anapokea ripoti ya makinikia.
makinikia na tukio kipi kimeanza!!!
Anahusika aliongea nn siku anapokea ripoti ya makinikia.
mrehem ndo kitu gani asee we taga. Ni kweli naumwa akili tangu nigundue unauza matako maana hiyo taarifa ilinisikitisha sana
Happy new year P ! ..shida ni elimu ya uraia ... Nani anatoa !? Je hio Elimu ni ngumu kiasi gani !? Otherwise tutaumia Kwa kutojua (ujinga wa kujitakia!?) ... Kufanya siasa (za karaha) na Rais alieko kene kiti ni risk sana maana vyombo vikitafsiri tofauti ni htr... Kufanya siasa mizaha!? ya kimagharibi (kumrushia Rais kiatu !!?) huku Africa - Uandike wosia kbsa... Hilo jina tuu Amir Jeshi Mkuu - kunatakiwa elimu ya uraia has a Kwa wanasiasa vijana.. Nalaani kupigwa na kushambuliwa Mh LisuMkuu Mjinga Wewe, mimi sio msomi, ni Mwananchi tuu wa kawaida.
Happy New Year!
P
Dhambi yatokana na dhamira. Alipiga yeye au alituma ni sawasawa/yaleyale tu.Msamehe,usiposamehe wewe pia hutasamehewa,lakini pia hakuna ushahidi kuwa magu ndio alimpiga risasi lisu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kila binadamu yoyote mwenye roho wa Mungu ndani yake ataumizwa na tukio lile, na ikitokea kama kuna aliyefurahi basi huyo ana roho wa shetani!
Ni kweli, sababu pekee ya kutofanyika jambo lolote ni kwasababu tukio hilo limeshuhudiwa live na mashuhuda wawili muhimu, ambao mpaka sasa, wamegoma kata kata kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi. Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
Kama huu ndio msingi wa wewe kutomsamehe Magufuli, nakushauri tafuta nauli, kama huna, kopa, nenda Chato, kwenye kaburi lake, upige magoti, umuombe msamaha!.
Baada ya shambulio lile, Rais JPM, hakukaa kimya!.
Kwa vile hakukaa kimya, nakushauri nenda kamuombe msamaha marehemu!.
Kumsingizia marehemu kuna karma mbaya!.
Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana ambao mpaka leo hawajajulikana.
Nakushauri usihukumu usije ukahukumiwa! Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.
P
Unawajua wachaga au unawasikia? Ukimwangalia usoni tu unajua balaa lake akipata uraisMzalendo ni Mbowe wengine wahuni.
Bora hata mnyama anaeleweka...yule ni zaidi ya shetani.....Hata wanaomsfia magu nawaona kama Wenda wazimu.
Yule alikuwa mnyama kabisa.
Sijui alifikaje mpk kuwa rais
Ila basi mungu fundi
Kuna wengine pia; kama aliehusika na kuondoa walinzi wote eneo lile, alieficha CCTV camera na Mwita Waitara ambae kwa maelezo yake inaonekana 'aliona' Lissu alikuwa amegeukia wapi wakati akishambuliwa.Ni kweli, sababu pekee ya kutofanyika jambo lolote ni kwasababu tukio hilo limeshuhudiwa live na mashuhuda wawili muhimu, ambao mpaka sasa, wamegoma kata kata kutoa ushirikiano kwa vyombo vya uchunguzi. Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
Kwanini hawajajulikana?
Msamehe,usiposamehe wewe pia hutasamehewa,lakini pia hakuna ushahidi kuwa magu ndio alimpiga risasi lisu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Forgive and forget, Magu mwenyewe hayupo duniani huoni unajitesa mwenyewe?
form six leaver? Daaah kwa akili hizo ngoja nikae kimyaa!!Tamthilia ya blacklist zinawadangany sana , yaan kila kitu mnahisi real , sitak kujitambulisha so muhimu sn ila amin mtu yyt anaeweza kuwa na access ya hizo taarifa nyeti huez kumkuta humu jf akiropoka tu , wengi wenu ni form 6 leavers ndo mnakuja kusumbua watu huku , bure kbs
Yeye aliye jipya haki za matibabu sasa yuko 6ft under.Kuzuia matibabu na kumnyima haki zake za kibunge, hilo nalo vipi? Wabunge wa CCM na wana CCM wengine kuzuiwa kwenda kumuona Nairobi nako ni sehemu ya upelelezi? Hujui hadi leo wabunge wengi wa CCM na wana CCM wengine wanaumia sana kushindwa kwenda kumuona Nairobi?
Muacheni abebe mzigo wa dhambi mwenyewe, msimsaidie kwa jambo msilolijua.
Inshu sio kukosoa inshu ni kuongea ukwel , wakosoaji wengi ndo wale wanapinga brt , ununuzi wa ndege ( ili tuendele kuyanufaisha mashirika ya kigeni) , ujenz wa bwawa la umeme eti tunaua viumbe hai kana kwamba wao hawalagi nyama sijui hizo nyama zinaota shambani , pia hao hap wakosoaji ndo wale walipinga sgr
Hiyo ni kanuni ya kiutawala mjomba!
Hata kwenye Bible imedhihirika nini anapaswa kufanyiwa apingaye mtawala.
Hata Mungu alimshusha kuzim malaika muasi Shetani baada ya kutaka kujaribu kumpinga Mungu!
Hata wewe ukipata nafasi ya kua Mtawala lazima baadhi ya wanaokupinga bila adabu lazima uwasimike kaburini. Wala hautakua Mtawala wa kwanza kufanya ivo.
Mpinzani yeyote Yule hatofautiani na Shetani. Kila jema ni kupinga tu!
Sasa hapo unafikiri itakuaje! Ni kushonwa risasi kama zote tu!
Ni kanuni mjomba za kiutawala tangu dunia inaumbwa.
Huelewei maana ya elimu ya uraia. Elimu ya uraia sio kwa ajili ya kuwafanya watu sycophants kwenye nchi yao bali ni kwa ajili ya kuwafanya watambue uhuru wao, haki zao na wajibu wao kikatiba ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha viongozi wanapofanya kinyume na matakwa ya walio wengi.Happy new year P ! ..shida ni elimu ya uraia ... Nani anatoa !? Je hio Elimu ni ngumu kiasi gani !? Otherwise tutaumia Kwa kutojua (ujinga wa kujitakia!?) ... Kufanya siasa (za karaha) na Rais alieko kene kiti ni risk sana maana vyombo vikitafsiri tofauti ni htr... Kufanya siasa mizaha!? ya kimagharibi (kumrushia Rais kiatu !!?) huku Africa - Uandike wosia kbsa... Hilo jina tuu Amir Jeshi Mkuu - kunatakiwa elimu ya uraia has a Kwa wanasiasa vijana.. Nalaani kupigwa na kushambuliwa Mh Lisu
Siku inakuja. kaburi lake litafukuliwa na kiharibiwa kwa aibu. Huwezi kufanya unyama ule alaf uende zako tu kwa amani.Mimi ninatamani niende na Bulldozer kwenye kaburi lake nikatifuetifue kwa mambo aliyonifanyia wakati wa Uchaguzi mkuu wa 2020.
Na iwe hivyo!Hata SIRRO anajua kila kitu muda utasrma na Mungu ambae halali atayaweka hadharani mchana kweupee hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe