King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Nimesikia tangazo la Nashera hotel clouds fm kwa mara ya kwanza kunani? Malima kaua soko nini la hii hotel?
Nawasilisha.
Nawasilisha.
Mbona wanarusha matangazo yao tangu mwaka jana mwishoni.
King koooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Nashera ni hoteli ya nani?
jamani achen majungu, hotel inatangazwa kabla ya ishu ya malima mimi na familia yangu 2likwenda xmas kwa kuwa tulisikia tangazo redioni na tulipelekwa kuona wanyama mbugani..king kong jarib t kuwa great thinker
Rate zao zikoje mama cha
ni kweli kweli maana waziri malima alisema alilipa 400,000 (ni suala la exchange rates)Rate zao 150&300 thous.
ni kweli kweli maana waziri malima alisema alilipa 400,000 (ni suala la exchange rates)
Je usalama ukoje ukilinganisha na maelezo waliyotoa ya mtu kuvunja dirisha bila kuonekana katika chumba cha bei hiyo!!!!!!?
Rate zao 150&300 thous.
Nimesikia tangazo la Nashera hotel clouds fm kwa mara ya kwanza kunani? Malima kaua soko nini la hii hotel?
Nawasilisha.
Nashera ni hoteli ya nani?
jamani achen majungu, hotel inatangazwa kabla ya ishu ya malima mimi na familia yangu 2likwenda xmas kwa kuwa tulisikia tangazo redioni na tulipelekwa kuona wanyama mbugani..king kong jarib t kuwa great thinker