Nashauri waziri Pinda ajiuzulu

hittler

Member
Jul 18, 2011
55
10
Kama kiongozi wa shughuli za kiserikali bungeni na kama kiongozi katika baraza la mawaziri na vilevile mtendaji mkuu wa serikali sioni sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika hiyo nafasi wakati hakuna ata kimoja kipya alichokifanya. Mh Pinda hana maamuzi kama waziri mkuu,hajawahi kusema lolote ata pale inapobidi anasema ningekuwa na mamlaka ningefanya. Kama hana mamlaka anafanya nini basi? Ajiuzulu tujue Tanzania haina waziri mkuu. Wanatufanya wajinga, wanatukebehi bila hururma, wanakula jasho letu bure. Ifike mahali tuwatoe kwenye magari watembee kwa miguu maana hakuna wanachofanya.
 
bureee kabisa huyu MIZENGWE PINDA. mnyooongee hana analoamua yeye ni siasa tuuuuuuu ndo maana tupo hapa tulipo! mh!
 
Sidhani kama yote uliyosema ni kweli lakini nina sababu kubwa ya kumtaka AJIUZULU! Hii kashfa ya Mh 50m- Bwana Jairo - yeye kama kiongozi wa shughuli za serikali bungeni, msemaji mkuu wa serikali, na akatoa hisia zake zote ambazo bila ubishi alichotaka kufanya ni KUMFUKUZA KAZI au KUMSHITAKI Jairo, na hata baada ya kuahidi tena kwa hisia kali kwamba angezungumza na Mh Raisi ili hatua stahili zichukuliwe, KUMBE, Katibu Mkuu Utumish ndiye ana mamlaka, na amempuuza alichokisema Bungeni, anampa Jairo likizo, eti apishe Uchunguzi! Uchunguzi gani? Fedha imekusanywa kutoka maidara ya wizara, zimewekwa kwenye Account ya mojawapo wa mawakala wa Wizara (nje ya ofisi ya KM Jairo), mgao umefanyika nje ya ofisi( hapa ninamaanisha chumba au jengo )- sasa anakaa nje ya ofisi, kwani uchunguzi ni ndani ya ofisi yake! Waongo wakubwa!

Pinda angepasa kuona kejeli iliyofanyika, badala ya kumshikiza adabu Jairo anapewa ruhusa ya kwenda kutungua sehemu ya yale makusanyo, na Hosea anafaidishwa kwa kumegewa fedha ya walipa kodi achunguze! Ningekuwa Pinda Ningejiuzulu Mara Moja kwa Kudhalilishwa!

Lingine ni Pinda kutojua ni nani anahusika katika kufukuza makatibu wakuu! KWANZA alifanya uma utambue kwamba URAISI husafiri na aliyeko madarakani, kwani JK alikuwa asubiriwe kutoka South Africa kana kwamba uraisi haukuwepo nchini na ukweli KM Mkuu wa Utumishi amemuumbua, JIUZULU PINDA
 
kila kitu kinachofanya na serikali hii WE UONE KAMA MAIGIZO TUU UTAISHI KWA RAHA SANA BUT UKIONGEZA AKILI YAKO KIDOGO UNAWEZA KWENDA IKULU NA BUNDUKI!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kama kiongozi wa shughuli za kiserikali bungeni na kama kiongozi katika baraza la mawaziri na vilevile mtendaji mkuu wa serikali sioni sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika hiyo nafasi wakati hakuna ata kimoja kipya alichokifanya. Mh Pinda hana maamuzi kama waziri mkuu,hajawahi kusema lolote ata pale inapobidi anasema ningekuwa na mamlaka ningefanya. Kama hana mamlaka anafanya nini basi? Ajiuzulu tujue Tanzania haina waziri mkuu. Wanatufanya wajinga, wanatukebehi bila hururma, wanakula jasho letu bure. Ifike mahali tuwatoe kwenye magari watembee kwa miguu maana hakuna wanachofanya.

Wewe ndio akili yako ijiuzulu kwa kutoijua katiba ya nchi na ukomo wa madaraka yake ! Soma katiba acha uvivu kama wa bata
 
PINDA amepinda kweli kwani majibu na mambo anayoonekana kutenda ni kama gizani. Anaigiza huruma, hofu, upole, bidii na karama nyingine nyingi, hayo yote ni udhaifu usiofaa ktk kuongoza jamii yenye mitazamo, matukio na shida mbalimbali kama hapa tz. These psuedo leaders will never resign on their own unless they're topped by mass revolts.
 
Nakubaliana na mtoa mada hii na nilitarajia Pinda ampe Rais 'live' kwamba; ama Jairo abakie kwenye serikali yake au yeye Pinda, lakini wote wawili hawawezi kubakia serikali. Haiwezekani. Ukitafakari kauli aliyotoa Pinda baada ya kikao cha CCM bungeni last week ni wazi kuwa alikuwa ameridhika Jairo amekiuka 'kanuni' za utawala bora na hivyo alihitaji tu kum-consult Rais ili hatua za kinidhamu zichukuliwe.

Lakini kama kuna mtu amesoma Tanzania Daima ya leo 22/07/11 kauli aliyotoa Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ni kama yeye katibu mkuu ana mamlaka ya kumchukulia hatua Jairo. Luhanjo anasema amenukuliwa akisema hivi “Nimeona niwaambie hili ili tusiendelee kuwaambia wananchi tunamsubiri Rais, wakati mimi mwenye dhamana ya kusimamia nidhamu nipo hapa, nimeshachukua hatua".

Luhanjo anaendelea “Kutokana na uzito wa jambo hili, nimelazimika kumwamuru CAG, Ludovick Utuoh, kufanya uchunguzi ndani ya siku 10 na iwapo itabainika kuwa ana kosa, hatua nyingine za kisheria zitafuata” .

Sasa tujuilize:
1. Katibu mkuu kiongozi ana mamlaka kumshinda Waziri mkuu wa Nchi?
2. Katibu mkuu kiongozi ana mamlaka kumshinda makamu wa rais ambaye kikatiba ndiye aliyekuwa anakaimu kiti cha urais wakati rais yupo nje ya nchi?
3. Kama Katibu mkuu kiongozi ndiye mtu mwenye mamlaka kwa nini Pinda akapeleka mashauri kwa Rais na sio kwa Katibu mkuu kiongozi?

It is unbelieavable that Katibu mkuu kiongozi anaonekana kuendesha nchi wakati kikatiba Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge ndio wako kwenye safu ya kuongoza kama Rais hayupo. Kama Pinda atanyamazia hili (inaonekana kuwa hivyo) akae akijua mawili:
1. Mbele ya watanzania ataonekana mtua asiyekuwa na mamlaka yeyote, asiyejuwa nini kinaendelea na asiyesimamia chochote!
2. Kubwa zaidi, nafasi ya u-waziri mkuu kama kiongozi wa shughuli za serikali inakuwa -obsolete'. na watanzania watakuwa na kila sababu/haki ya kudai nafasi hii ifutwe ili kuondokana na gharama zisizo za lazima maana nafasi ya Katibu mkuu kiongozi inatosheleza! Afte all the person who took action ni Katibu mkuu kiongozi. Prime Minister's office can go.
 
kila kitu kinachofanya na serikali hii WE UONE KAMA MAIGIZO TUU UTAISHI KWA RAHA SANA BUT UKIONGEZA AKILI YAKO KIDOGO UNAWEZA KWENDA IKULU NA BUNDUKI!
nakubaliana na wewe kabisa kuwa ukitathimini kwa kina kuhusu viongozi wetu utatamani ujitoe mhanga na ******
 
Nakubaliana na mtoa mada hii na nilitarajia Pinda ampe Rais 'live' kwamba; ama Jairo abakie kwenye serikali yake au yeye Pinda, lakini wote wawili hawawezi kubakia serikali. Haiwezekani. Ukitafakari kauli aliyotoa Pinda baada ya kikao cha CCM bungeni last week ni wazi kuwa alikuwa ameridhika Jairo amekiuka 'kanuni' za utawala bora na hivyo alihitaji tu kum-consult Rais ili hatua za kinidhamu zichukuliwe. Lakini kama kuna mtu amesoma Tanzania Daima ya leo 22/07/11 kauli aliyotoa Katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo ni kama yeye katibu mkuu ana mamlaka ya kumchukulia hatua Jairo. Luhanjo anasema amenukuliwa akisema hivi Nimeona niwaambie hili ili tusiendelee kuwaambia wananchi tunamsubiri Rais, wakati mimi mwenye dhamana ya kusimamia nidhamu nipo hapa, nimeshachukua hatua". Luhanjo anaendelea Kutokana na uzito wa jambo hili, nimelazimika kumwamuru CAG, Ludovick Utuoh, kufanya uchunguzi ndani ya siku 10 na iwapo itabainika kuwa ana kosa, hatua nyingine za kisheria zitafuata . Sasa tujuilize:1. Katibu mkuu kiongozi ana mamlaka kumshinda Waziri mkuu wa Nchi?2. Katibu mkuu kiongozi ana mamlaka kumshinda makamu wa rais ambaye kikatiba ndiye aliyekuwa anakaimu kiti cha urais wakati rais yupo nje ya nchi?3. Kama Katibu mkuu kiongozi ndiye mtu mwenye mamlaka kwa nini Pinda akapeleka mashauri kwa Rais na sio kwa Katibu mkuu kiongozi?It is unbelieavable that Katibu mkuu kiongozi anaonekana kuendesha nchi wakati kikatiba Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge ndio wako kwenye safu ya kuongoza kama Rais hayupo. Kama Pinda atanyamazia hili (inaonekana kuwa hivyo) akae akijua mawili:1. Mbele ya watanzania ataonekana mtua asiyekuwa na mamlaka yeyote, asiyejuwa nini kinaendelea na asiyesimamia chochote!2. Kubwa zaidi, nafasi ya u-waziri mkuu kama kiongozi wa shughuli za serikali inakuwa -obsolete'. na watanzania watakuwa na kila sababu/haki ya kudai nafasi hii ifutwe ili kuondokana na gharama zisizo za lazima maana nafasi ya Katibu mkuu kiongozi inatosheleza! Afte all the person who took action ni Katibu mkuu kiongozi. Prime Minister's office can go.
Unahitaji dose ya kutosha ya Elimu ya Uraia. Hicho ulichoandika kina mapungufu mengi, hukupaswa hata kujiuliza hayo maswali kuhusu madaraka ya PM, VP na CS katika uendeshaji wa Nchi. Sakata la Jairo limekuwa Politicised bila sababu, amekosea kama Mtumishi wa Umma na anatakiwa kuchukuliwa hatua kwa utaratibu uliowekwa na Sheria ya Utumishi wa Umma 8/2002 pamoja na regulations zake ambayo haina nafasi kwa VP na PM. Aachwe CS achukue hatua na Rais atatoa uamuzi wa mwisho baada ya kupokea mapendekezo ya CS.
 
Unahitaji dose ya kutosha ya Elimu ya Uraia. Hicho ulichoandika kina mapungufu mengi, hukupaswa hata kujiuliza hayo maswali kuhusu madaraka ya PM, VP na CS katika uendeshaji wa Nchi. Sakata la Jairo limekuwa Politicised bila sababu, amekosea kama Mtumishi wa Umma na anatakiwa kuchukuliwa hatua kwa utaratibu uliowekwa na Sheria ya Utumishi wa Umma 8/2002 pamoja na regulations zake ambayo haina nafasi kwa VP na PM. Aachwe CS achukue hatua na Rais atatoa uamuzi wa mwisho baada ya kupokea mapendekezo ya CS.

Read my comments again. Sijauliza kifungu cha sheria, nimeuliza nani ana mamlaka ya ku-implement hicho unachoita sheria ya utumishi wa umma 8/2002. Waziri mkuu yeye anasema anamsubiri Rais, Katibu mkuu kiongozi who according to our governance structure ni junior kwa Waziri anaonekana (with evedince) kuwa na mamlaka au uwezo kwa ku-implement kitu ambacho Waziri mkuu hawezi? What is so difficult for you to grasp this upside-down management/governance style? Nini maana ya kukaimu urais? Katiba inasemaje? Somo gani la uraia linasema kuwa Katibu mkuu atakuwa na mamlaka kushinda Vice President au Prime Minister?
 
kama anaitakia mema hii nchi, naunga mkono hoja. Pinda ajiuzulu tena bila ya kusubiri bosi wake akubali. atangaze kujiuzulu akipinga utendaji kazi wa serikali... itatusaidia sana kama nchi
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Unahitaji dose ya kutosha ya Elimu ya Uraia. Hicho ulichoandika kina mapungufu mengi, hukupaswa hata kujiuliza hayo maswali kuhusu madaraka ya PM, VP na CS katika uendeshaji wa Nchi. Sakata la Jairo limekuwa Politicised bila sababu, amekosea kama Mtumishi wa Umma na anatakiwa kuchukuliwa hatua kwa utaratibu uliowekwa na Sheria ya Utumishi wa Umma 8/2002 pamoja na regulations zake ambayo haina nafasi kwa VP na PM. Aachwe CS achukue hatua na Rais atatoa uamuzi wa mwisho baada ya kupokea mapendekezo ya CS.
.Hii tumu ya kutetea makengeza ya serikkali, nikiitizama kwa jicho la ndani kabisa naona ina ilmu ya chuo kikuu cha madrasa. Naipongeza kwa usomi wa ilmu ya juu kabisa na umakini wa kujibu kila hoja kwa mtizamo elekezi..
 
Kwa kweli hata mimi nashangaa sana. Kwani urais hua unasafiri? Nadhan JK aliposafiri alimkaimisha mtu mwingine madaraka ya urais. Kimantiki ni kwamba ofisi ya Raisi huwa inakaliwa na mtu wakati wote. Kama rais akiondoka hakaimishi mtu ofisi yake basi tumekwisha.

Pinda ni mtu aliyefanya kazi Serikalini kwa muda mrefu sana. Taratibu za ofisi anazijua vizuri sana. Kwanini yeye alimkaimisha majukumu ya kiongozi wa shughuli za Serikali Bungeni Sitta wakati aliposafiri?

Tabia hii aliyoionyesha na kutufanya watanzania tuamini kuwa sakata la Jairo mpaka JK awepo ndo liamuliwe ni unafiki mkubwa sana. Kwanini alishindwa kuwasiliana na kaimu rais ili hatua zichukuliwe? Pinda ni mtu ambaye watanzania wengi tulikua na imani naye, lakini anapoelekea atakuja kuijutisa nafsi yake.

Naunga mkono hoja ya mwanajamvi kuwa, angempa taarifa JK kuwa amfute kazi Jairo au la yeye Pinda ajiuzulu. Kama si hivyo mambo yanayokuja ni makubwa zaidi.
 
Kama kiongozi wa shughuli za kiserikali bungeni na kama kiongozi katika baraza la mawaziri na vilevile mtendaji mkuu wa serikali sioni sababu ya yeye kuendelea kuwepo katika hiyo nafasi wakati hakuna ata kimoja kipya alichokifanya. Mh Pinda hana maamuzi kama waziri mkuu,hajawahi kusema lolote ata pale inapobidi anasema ningekuwa na mamlaka ningefanya. Kama hana mamlaka anafanya nini basi? Ajiuzulu tujue Tanzania haina waziri mkuu. Wanatufanya wajinga, wanatukebehi bila hururma, wanakula jasho letu bure. Ifike mahali tuwatoe kwenye magari watembee kwa miguu maana hakuna wanachofanya.

Mkuu mbona huyo hatufai kitambo ni mnafiki.... mwanzo alisema aliomba mungu asichaguliwe kuwa PM mara akasema ni mapenzi ya Mungu kuwatumikia wa-tz anyway ni PM wa kwanza kumfukuza kazi mtendaji wa kata huko kwao mpanda tokea hapo hajawahi kumfokea wala kumfukuza kazi mtendaji yoyote. alipewa report mtu hafai yeye anamhamisha kituo ofcoz naunga hoja mkono.
 
Je Katibu Mkuu Kiongozi amewahi kumuadabisha katibu mkuu yeyote tangu hiyo sheria imetungwa?
Luhanjo na Jairos wametoka mbali pamoja na JK. Walikuwa wote Foreign.
Swali la kizushi ni Je waziri mkuu angekuwa Lowassa , hii scandal ingekwenda vipi?
 
[h=2][/h]
quote_icon.png
By sikubaliki
Unahitaji dose ya kutosha ya Elimu ya Uraia. Hicho ulichoandika kina mapungufu mengi, hukupaswa hata kujiuliza hayo maswali kuhusu madaraka ya PM, VP na CS katika uendeshaji wa Nchi. Sakata la Jairo limekuwa Politicised bila sababu, amekosea kama Mtumishi wa Umma na anatakiwa kuchukuliwa hatua kwa utaratibu uliowekwa na Sheria ya Utumishi wa Umma 8/2002 pamoja na regulations zake ambayo haina nafasi kwa VP na PM. Aachwe CS achukue hatua na Rais atatoa uamuzi wa mwisho baada ya kupokea mapendekezo ya CS.



Read my comments again. Sijauliza kifungu cha sheria, nimeuliza nani ana mamlaka ya ku-implement hicho unachoita sheria ya utumishi wa umma 8/2002. Waziri mkuu yeye anasema anamsubiri Rais, Katibu mkuu kiongozi who according to our governance structure ni junior kwa Waziri anaonekana (with evedince) kuwa na mamlaka au uwezo kwa ku-implement kitu ambacho Waziri mkuu hawezi? What is so difficult for you to grasp this upside-down management/governance style? Nini maana ya kukaimu urais? Katiba inasemaje? Somo gani la uraia linasema kuwa Katibu mkuu atakuwa na mamlaka kushinda Vice President au Prime Minister?.......

Mimi hapa ninacho kiona ni PM kutozijua kanuni na taratibu za Utumushi wa umma au kuwa mnafiki.


 
Mtoto wa mkulima asijiuzuru ni kijana safi aliefundishwa kazi na Mwl. Nyerere na akafundishika. Alikuwa mbunge wa kwanza kukataa shangingi (gari la kifahari).
 
Read my comments again. Sijauliza kifungu cha sheria, nimeuliza nani ana mamlaka ya ku-implement hicho unachoita sheria ya utumishi wa umma 8/2002. Waziri mkuu yeye anasema anamsubiri Rais, Katibu mkuu kiongozi who according to our governance structure ni junior kwa Waziri anaonekana (with evedince) kuwa na mamlaka au uwezo kwa ku-implement kitu ambacho Waziri mkuu hawezi? What is so difficult for you to grasp this upside-down management/governance style? Nini maana ya kukaimu urais? Katiba inasemaje? Somo gani la uraia linasema kuwa Katibu mkuu atakuwa na mamlaka kushinda Vice President au Prime Minister?
Nikikurejesha kwenye comments zangu unaweza kuona nakukosea heshima. Mkuu kwa taarifa yako PM hana powers za kushughlikia Nidhamu za Watumishi wa Umma na hakupaswa kuonesha kuwa anazo siku ile Bungeni.
 
Back
Top Bottom