michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,934
Bosi wangu ilikuwa nikimsalimia shikamoo anaitikia safi, nikaja kugundua hapendi hiyo salamu na toka siku hiyo kama ni asubuhi namwambia shikamoo
Ukagundua hapendi hiyo salamu halafu we ndo ukakomaa, lengo ikiwa nini hasa..?