Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Shikamoo humaanisha hivi...nipo chini ya miguu yako, mimi si lolote kwako, sina thamani juu yako, nakutukuza, unachoagiza kwangu kutekeleza ni wajibu, mimi ni dhaifu kwako, ukitaka kunipiga nipige tu hata siwezi kujitetea kwako mkuu nk.
Kwa muktadha huu inabidi shikamoo ihifadhiwe maktaba ya Taifa.
Aisee kama ni hivi baaaaasi leo mwisho
 
Mi nimeanza tumia Habari yako
Habari za Jioni
Asubuhi
Mchana
Usiku
 
Habari za muda huu wana JF

Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...

Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....

Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!

Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO

Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....

Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.

Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!

Karibuni kwa huu mjadala
Sio kila cha aliefanikiwa unaweza kuiga , wengine wanafanikiwa kwa kufanya unyama mwingi
 
Habari za muda huu wana JF
Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...
Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....
Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!
Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO
Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....
Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.
Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!
Karibuni kwa huu mjadala

Salamu kama hiyo uliyoanza nayo mtoa mada, ndio iko poa.

#ShikamooIfutwe
 
Habari za muda huu wana JF
Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...
Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....
Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!
Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO
Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....
Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.
Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!
Karibuni kwa huu mjadala
Marahabaa kijana mwenye roho mbaya.
 
Mi nadhani ukiacha wewe na watu wanaokuzunguka inatosha sanaa, wengine hatuoni kama tunapoteza au kuongeza kitu kwa kusema au kutokusema hiyo "shikamoo".
 
Je mama au baba yako ni utumwa kumpa 'Shikamoo'?
au kikwazo chako ni kwa watu wasio na nasaba na wewe?
 
Nimefurahi kuona kuna wengi tusiopenda salaam hii. Niliwai kuweka bandiko la kuomba salaam ya kiswahili mbdala yenye heshima sawa na sio kisela au kimwanangu mwanangu. Niliona wazanzibar wako vzur kwa kutumia asalaam alaykum kwa rika zote. Tatzo ni jamii zinazodhan ni salam ya kiislam had waislam wenyew baadh kudhan ni ya kiislam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom