Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Nashauri salamu ya "Shikamoo" ifutwe

Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Kwa roho zetu hizi za kiswahili mwingine ukimsalimia ukamshika miguu yeye anaweza kukushika kichwa lakini huku moyoni mwake anakulaani badala ya kukubariki. CHEZEA ROHO MBAYA YA KISWAHILI WEWE!
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Utakuja kushika mapepo
 
Nikajua una salamu mbadala, kumbe utaahira tu. Sasa good morning ndio kitu gani? Yaani unasema shikamoo ni utumwa ila good morning ndio nzuri, kichwani una akili au makamasi?

Vijana wa siku hizi, badala watumie akili kufikiri wanatumia inye ndembe ndembe.
Ww ndo akili zako makamasi vijana wanaleta mabadiliko ya kweli, shikamoo utumwa na nyerere aliendeleza utumwa
 
Kitu kinaweza kuwa kilekile lakini kikabadilishwa maana. Shikamoo ni salamu anayopewa mtu anayekuzidi umri na haimanishi shikamoo ni utumwa. Vipi kuhusu kugonga, kugongewa, shoga, tigo? mbona hayajawekwa kwenye maana ya msingi? Na kwanini yamepewa maana ya ziada? Kasome kitabu cha Semantiki na Pragmatic utajifunza mengi kuhusu lugha ya KIswahili. Watu wengi hawajui Lugha ya Kiswahili ndiyo maana wanaona shikamoo ni utumwa.
Acha kupotosha watu maana ya shikamoo ni kuwa chini ya miguu ya mhusika, halafu ukitaka kujua kiundani hakuna shikamoo uarabuni. Ilikuwa Salam ya utumwa.
 
Habari za muda huu wana JF

Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...

Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....

Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!

Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO

Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....

Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.

Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!

Karibuni kwa huu mjadala

Nakubaliana na wewe kwamba ifutwe, ila sababu nayoiona mimi ni sababu salamu ya SHIKAMOO ni zao la biashara ya utumwa. Ukiangalia hata kwenye makabila yetu hakuna salamu ambayo ni ya upande mmoja(yaani lazima itoke kwa mdogo kwenda kwa mkubwa).

Sababu nyingine ni kuwa hivi kwa salamu ya upande mmoja (unidirectional) utajuaje kwamba huyu unayetaka kumsalimia ni mkubwa kuliko wewe ikitokea hufahamu umri wake (sura inaweza danganya)?
 
Mkuu acha tu kutoa shikamoo haujalazimishwa
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Lol! huo muda unatoka wapi basi hii salaam imepitwa na wakati
 
Habari za muda huu wana JF

Wanasema ukitaka kufanikiwa ni kuiga waliofanikiwa katika nyanja ambazo unaweza ukapita...

Inakera sana uko nchi za watu mdogo kwa mkubwa wanasalimiana kutokana na nyakati na salamu zao ziko balance....

Asubuhi ni GOOD MORNING mdogo anaweza akaipokea salamu hii kutoka kwa mkubwa na ikawa safi tu, mchana na jioni ni hivyo hivyo!

Huku kwetu mie naona hatupati maendeleo sababu ya hii salamu ya SHKAMOO

Haiwezekani unampa mtu shkamoo halafu unamuadabisha kwa adhabu huko makazini, hali hii inadhoofisha utendaji wa kazi in maximum....

Mtu mzima asipo ipata shkamoo basi mambo hayaendi! Nashauri zitumike salamu ambazo zitaleta mizania sawa kwa rika yoyote ili kushea mambo kwa uwazi zaidi.

Anyway nitaendelea kuandika hoja zangu ila niishie hapo kwasasa!

Karibuni kwa huu mjadala
Uko sahihi mkuu. Asante kwa kuliona hilo kama pia kikwazo cha maendeleo yetu.
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Acha uzushi wewe. Shikamoo ni tradition mbaya sana ambayo waarabu walio wasulubu mababu na mabibi zetu wametuachia. Nafikiri mababu zetu walio shuhudia mateso yao hao waarabu wakituona jinsi gani tuna lishangilia hili neno watatushangaa sana.

Shikamoo ni neno ambalo wazee wetu walilitumia kuwaomba radhi watesaji walio wachukua utumwa wakifanya kosa wasiwapige mpaka kufa.

Walilitunia hilo neno kuwaambia watesaji kuwa "niko chini ya miguu yako" kama ishira ya kumtukuza mtesaji na kumwonyesha kuwa yeye ana power huu yake na lolote lile atakalo fanya yeye ndiye master.

Ni heshima mbovu sana ya kudhalilishana. Kwa nini umwambie binadam mwenzako niko chini ya miguu yako. Ridiculous!
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.
Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Na sisi wana wa wakama ,watemi, na wami: tusalimieje ili kulindi hadhi yetu?
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.
Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Na sisi wana wa wakama ,watemi, na wami: tusalimieje ili kulinda hadhi yetu?
 
Shikamoo maana yake ni nakushika miguu. Kushika miguu ya mtu mzima ni kutaka baraka zake. Ndio maana watu kama wahindi wakisalimia watu wazima lazima wawashike miguu na yule mtu mzima atamshika kichwa huyo anaemsalim, ishara ya kumpa baraka na kumtakia mema.

Ila sisi ni kwasababu tumeirithi tu hatuipi uzito kiasi hiko. Ila ilitakiwa unapotoa salam ya shikamoo upige goti umshike miguu huyo mtu mzima unaemsalimu na yeye akushike kichwa akupe baraka na kukutakia mema.
Utashangaa toto halina adabu midharau kibao ila kila siku shikamoo pambaf shikamoo mama yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom