Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,538
- 3,826
Unasema?Mangula hatoki
Unasema?Mangula hatoki
HatimayeWadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
AkajiajiriMzee Mangula ndi Hirizi ya Chama…mwacheni aendelee kuchapa Kazi
kumbe mlianza zamani sanaWadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Mlikuwa mnataka ushahidi wa Msoga gang kujihusisha na NGADA!! Mjomba wa Msoga kwa vile ndio mwenye usukani wa serikali, wauza PODA wote sasa wanatolewa Gerezani waje waendeleze libeneke lao!!
Mjomba ili kufanikisha udhalimu wake anataka kumuondoa Mzee Mangulla ili iwe rahisi kurudisha utawala wake wa kifisadi!
Chama kilikuwa kinawafia mikononi mwa Vasco Dagama ikabidi mumfuate kijijini kwake Kinenuro aje kuwasaidia!! Mangulla ni mkulima asiyetegemea ajira ya mtu ili aishi !Akajiajiri
UMEKULA ngapi kwa Kampeni hii?UPDATES: March 31,2022
Kamarada Abdulhaman Kinama amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kuchukua nafasi ya Philip Mangula
Wadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Hao wazee wa pembe za ndovu je.Vijana s ndo nyie tukiwapa madaraka mnaanza kupora mali za watu
Wewe lazima utakuwa mpigaji.Tembo wameongezeka mnataka kuwamaliza tena,hamna aibu kabisa.Hapana,mimi kama Mtanzania na Mwana CCM nasema tumechoka kuchezewa,Kinana hafai kuwa kiongozi wa CCM,abaki Mzee wetu Mangula,au atafutwe kiongozi mwingine mwenye moral values kama Mzee Mangula aiongoze CCM.Kinana kuiongoza CCM ni kukipaka Chama na wanachama wake matope.UPDATES: March 31,2022
Kamarada Abdulhaman Kinama amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kuchukua nafasi ya Philip Mangula
Wadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Hii ndio JF, ametoka.Mangula hatoki
Mkuu Kamarada Uzalendo Wa Kitanzania , kwanza asante Sana na hongera kwa ushauri wako huu, umetekelezwa, kwa asilimia 💯% chini ya 💯%!.UPDATES: March 31,2022
Kamarada Abdulhaman Kinama amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kuchukua nafasi ya Philip Mangula
Wadau wa JamiiForums
Wazalendo Wote Nchini
Natoa ushauri ufuatao kwa kuzingatia maslahi mapana ya Nchi yetu.
Sio Siri Mzee Philip Mangula Makamu Mwenyekiti wa CCM upande wa Bara amekuwa na Utumishi wa muda mrefu uliotukuka akihudumu kwenye nafasi mbalimbali ndani na nje ya Chama
Hata hivyo pamoja na ukweli huo naona kuwa huu ni upepo muda muafaka kwake wa kung'atuka na kukabidhi mikoba kwa mrithi wake
Kwa Maslahi Mapana ya nchi yetu nashauri Kamarada ABDULAHAMAN Kinana Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM achukue mikoba yake
Kamarada Kinana ana uwezo mkubwa wa kuimarisha & kuunganisha & kukijenga Chama kikamilifu kulingana na mazingira ya sasa ya kisiasa
Kamarada Kinana anakubalika WanaCCM na atakuwa msaada mkubwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani na CCM kwa ujumla Kuelekea uchaguzi wa 2022 na 2025.
Twende na Mama
Twende na Kamarada Kinana.
KaziIendelee
Watetezi wa Mama
Vijana ndio hopeless kabisaTunaenda mbele, au tunarudi tulikotoka? Vijana maelfu wanaohitimu vyuo kila mwaka hamwaoni!?