TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wakurugenzi..!
Nilikiwa nashauri haya makampuni yaanze kukubali gharama za simu tuwe tunazilipa kama kodi ya nyumba tuwe tunalipa kila baada ya miezi au mwaka na tunaandikishiana na kuwe na mikataba kati ya mtumiaji wa huduma na kampuni husika .
Hilo swala la kulipa vifurushi naona kama kampuni hazipati faida kubwa na pia zinakuwa hazina wateja wa kudumu.
Mkataba pia utasaidia kuwapo na haki na usawa kati ya mtumiaji na kampuni husika.
Nilikiwa nashauri haya makampuni yaanze kukubali gharama za simu tuwe tunazilipa kama kodi ya nyumba tuwe tunalipa kila baada ya miezi au mwaka na tunaandikishiana na kuwe na mikataba kati ya mtumiaji wa huduma na kampuni husika .
Hilo swala la kulipa vifurushi naona kama kampuni hazipati faida kubwa na pia zinakuwa hazina wateja wa kudumu.
Mkataba pia utasaidia kuwapo na haki na usawa kati ya mtumiaji na kampuni husika.