Babu Tale: Nashauri itengenezwe Fedha yenye sura ya Rais Samia

Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
Punguza wenge mkuu, kunywa maji mengi..!
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Usituharibie pesa yetu! Hakuna tija katika hilo !
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Mkuu ni wazo la babu tale mbona hijamctrdit
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Umerogwa wewe siyo bureee
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Huyu jamaa huwaga ni mjinga wa kupindukia ni aibu kwa taifa kuwa na mbunge wa namna hii wakati wasomi wanaostahili hiyo nafasi wapo wengi wa kukava nafasi!
 
T
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
us tu hadi tupate mtu mwenye kustahii kuwekwa kwenye fedha yetu.
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Samia angekuwa skillful na calliber ya uongozi kama Chancellor Makkel wa Ujerumani , sijui ingekuwaje , maana kwa sasa anapuyanga puyanga lakini bado anapewa sifa kedekede
 
Kama akili za watanzania ndizo zinawaza hivi.. BORA TOZO IRUDI 100%.



Hivi kua mwanamke ni kigezo cha kua Rais??



Haya basi tuache hilo...NI WAPI, LINI, KATIKA MAISHA YA SAMIA SULUHU, ALIWAH KUA MWANAMKE IMARA HODARI MCHAPAKAZI ,IWE KISIASA AU KIUTENDAJI TU ALIKOPITIA.

NA WATU WAKAMSEMA " HUYU MAMA TUMEPATA".



SIBORA HATA AKINA UMMY, DOROTHY GWAJIMA ( AMBAYE HISTORIA YAKE KAMA DAKTARI INAJIELEZA WAZIWAZI)

Ingekua kinachofanya kazi ni JINSIA ningemuelewa Tale
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Huyo tale aache ujinga, sasa bahati gani? Kwani raisi akiwa mwanamke au mwanaume kunakuwa na tofauti gani kwa wananchi?
 
Wajinga wanaendelea kuwa wajinga, wajinga wapya wanazaliwa....hii yote ni sababu ya kugeuza siasa kuwa ajira na sehemu ya kutafutia umaarufu na kutibu njaa ya tumbo...
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Babu Tale kishapiga ramli baada ya miaka 50?
 
Kama akili za watanzania ndizo zinawaza hivi.. BORA TOZO IRUDI 100%.



Hivi kua mwanamke ni kigezo cha kua Rais??



Haya basi tuache hilo...NI WAPI, LINI, KATIKA MAISHA YA SAMIA SULUHU, ALIWAH KUA MWANAMKE IMARA HODARI MCHAPAKAZI ,IWE KISIASA AU KIUTENDAJI TU ALIKOPITIA.

NA WATU WAKAMSEMA " HUYU MAMA TUMEPATA".



SIBORA HATA AKINA UMMY, DOROTHY GWAJIMA ( AMBAYE HISTORIA YAKE KAMA DAKTARI INAJIELEZA WAZIWAZI)
Sio akili za watanzania. Hizo ni akili za babu tale.
 
Nimetafakari post yake naona tozo iendelee mpaka akili zirudi. Kizaz cha kijinga sana. Na huyo mtaani kwao unakuta ni kiongoz
Jamani mbona mtoa mada kasema hayo mawazo sio yake ni ya BABU TALE MBUNGE WA MORO HUKO
 
Back
Top Bottom