Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,138
- 25,391
Naam majira ya saa 12:30 jioni ya Leo wananchi tutakuwa na jambo letu
Magoli mawili yaliyofungwa na Stephane Aziz Ki na mengine ya Kennedy Musonda na Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ yameipa Yanga ishindi wa magoli 4-1 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Azam complex Jijini Dar es Salaam.
Yanga imeendelea kubaki nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara ikifikisha pointi 27 katika mechi 10, Azam FC ikiongoza kwa kuwa na pointi 28 ikicheza mechi 12, Simba ikiwa ya tatu kwa kuwa na pointi 22 kwenye michezo 9.
Mtibwa ambayo imepata goli lake kupitia kwa Seif Rashid, imeendelea kushika mkia, ikiwa nafasi ya 16 kwa kuwa na pointi 5 katika mechi 13.
Yanga imeendelea kubaki nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara ikifikisha pointi 27 katika mechi 10, Azam FC ikiongoza kwa kuwa na pointi 28 ikicheza mechi 12, Simba ikiwa ya tatu kwa kuwa na pointi 22 kwenye michezo 9.
Mtibwa ambayo imepata goli lake kupitia kwa Seif Rashid, imeendelea kushika mkia, ikiwa nafasi ya 16 kwa kuwa na pointi 5 katika mechi 13.