Nasema tu kupunguza machungu, Sihitaji ushauri.

Nasema tu kupunguza machungu, Sihitaji ushauri.

Mkuu @gazetu kiufupi huyu kakusoma na amekuchoka kwao jitoe mapema! Amesha nunua GAZETI lingine!

Yaani nina hasira, siku ya tatu leo ana majibu ya mkato sana tulishazoea
kuongea usiku, lakini siku hizi simuelewi kabisa anapiga kidogo halafu ana
niambia kichwa kinamuuma.
Jana ameniambia hivyo,
"Nataka kulala kichwa kinauma."
Nikakumbuka kitu nikataka kumuuliza, saa 7.39 napiga naambiwa namba
inatumika saa 8.23 naambiwa namba inatumika mshnzzzzz.........%%$$###
Leo tena ananiambia vilevile kichwa kinauma yaani nina hasira
Hapa sihitaji ushauri, nimeshaamua kumbwaga nasubiri siku tu......
 
Last edited by a moderator:
Mi nilimsikia muda huo ni kweli simu yake inakuwa busy maana huwa anapiga simu Praise Power Radio ili aombewe kwani kweli kichwa kinamsumbua sana. (Smile basi eeh)

Sent from Samsung tablet
 
Nilitaka lau utumegee sketchy picture ya huyo mtu wako anayechechetua hadi ukaamua kujinyotoa roho kwa mihasira.
Nitakujibu baadhi ya maswali. Kuna Comment mfano, ASHAKUM SI MATUSI - Anamegwa huyo, huna chako mkuu, anakuchuna tu n.k. Hizi zinaweza kukufanya usimalize mambo kwa njia nzuri. Ndio nilizoziogopa.
Kwa hasira nilizonazo ndio najaribu kupunguza lakini dahh... kama inashindikana vile.... Kinywaji
napendelea zaidi Pepsi. Unakusudia nini unaposema mtu wako ni mtu wa namna gani?
 
Wakati mnaoana mliulizwa "...utamvumilia kwenye shida na raha..?"
Ukajibu kwa roho safi "..Ndio.."
Leo kulikoni tena?
 
Mi nilimsikia muda huo ni kweli simu yake inakuwa busy maana huwa anapiga simu Praise Power Radio ili aombewe kwani kweli kichwa kinamsumbua sana. (Smile basi eeh)

Sent from Samsung tablet
Mh. Si kweli, angeniambia.
 
mimi nahisi yeye
ameshakumwaga.ingawa hajakuambia rasmi
Nina sababu za Msingi, anajua nampenda sana na siwezi
fanya lolote, halafu kuna kitu najitolea zaidi kwake nikimbwaga
itakuwa ni ngumu sana kumpata wa ukweli zaidi yangu
niliamua kuwa nae kwa ajili ya huruma yangu, sikujali
mapungufu aliyonayo. OLE WAKE.....
 
Wakati mnaoana mliulizwa "...utamvumilia kwenye shida na raha..?"
Ukajibu kwa roho safi "..Ndio.."
Leo kulikoni tena?
Wanauliza shida na Raha na si DHARAU na KARAHA.
 
Ayaaaaa weeeee!! Ukiona manyoya ujue kesha............

Haooo washaanza kukutia machungu!!tehe tehe...mkuu hebu acha kujidanganya,kwani umezaliwa na huyo Binti?is she ur mom?changanya akili zako,hapo anza mbele,jua wala hupendwi!punguza wivu ujue,maana wewe naona sio wivu bali una gubu sana mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom