Nasema tu kupunguza machungu, Sihitaji ushauri.

Nasema tu kupunguza machungu, Sihitaji ushauri.

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,292
Reaction score
6,772
Yaani nina hasira, siku ya tatu leo ana majibu ya mkato sana tulishazoea
kuongea usiku, lakini siku hizi simuelewi kabisa anapiga kidogo halafu ana
niambia kichwa kinamuuma.
Jana ameniambia hivyo,
"Nataka kulala kichwa kinauma."
Nikakumbuka kitu nikataka kumuuliza, saa 7.39 napiga naambiwa namba
inatumika saa 8.23 naambiwa namba inatumika mshnzzzzz.........%%$$###
Leo tena ananiambia vilevile kichwa kinauma yaani nina hasira
Hapa sihitaji ushauri, nimeshaamua kumbwaga nasubiri siku tu......
 
Kama hutaki ushauri usingeandika. Mie nakushauri unyamaze. Unadhani kusema kila kitu ni msaada? Je umeudhika sana? Je ni kweli kichwa kinamuuma au mengine? Je ukichukia ndiyo jibu? Wewe unaonaje hali hii? Unatushauri tukushaurije? Je unaonaje ukisoma haya kimya kimya ili uwe kimya bila kusema? Ngoja nikae kimya.
 
Pole sana.
Nahisi uchungu utapungua.
Halafu Husninyo acha kumzingua GAZETI
 
Last edited by a moderator:
Kama hutaki ushauri usingeandika. Mie nakushauri unyamaze. Unadhani kusema kila kitu ni msaada? Je umeudhika sana? Je ni kweli kichwa kinamuuma au mengine? Je ukichukia ndiyo jibu? Wewe unaonaje hali hii? Unatushauri tukushaurije? Je unaonaje ukisoma haya kimya kimya ili uwe kimya bila kusema? Ngoja nikae kimya.
Dah, mkuu unajua kuna Comment ukizisoma unaweza kuua mtu? Mi nimeandika
tu maana kuna mtu kanishauri hivyo kasema bora niyatoe ili uchungu upungue.
 
Kama hutaki ushauri usingeandika. Mie nakushauri unyamaze. Unadhani kusema kila kitu ni msaada? Je umeudhika sana? Je ni kweli kichwa kinamuuma au mengine? Je ukichukia ndiyo jibu? Wewe unaonaje hali hii? Unatushauri tukushaurije? Je unaonaje ukisoma haya kimya kimya ili uwe kimya bila kusema? Ngoja nikae kimya.

nafikiri huyu haitaji ushauri anahitaji tuchakachue thread yake muda uende.
 
Mwanangu Gazeti, una maana uliposoma comment yangu ulitamani uniue mimi au huyo mtu wako? Je unaweza kurudisha roho nyuma ili usiendelee kujiumiza na mihasira? Je unakunywa kanywaji gani? Je una mshiko kwa sasa au unataka ofa? Je umri wako ni miaka mingapi? Huyo mtu wako ni mtu wa namna gani? Naona swali moja linatosha kwa leo.
Dah, mkuu unajua kuna Comment ukizisoma unaweza kuua mtu? Mi nimeandika
tu maana kuna mtu kanishauri hivyo kasema bora niyatoe ili uchungu upungue.
 
Tutaichakachua kinamna hivyo kama uonavyo miswali mia kidogo. Kwani kuongeza maudhi lazima umpige mtu mitusi? Yanini kutukana ukaondoka na ban?
nafikiri huyu haitaji ushauri anahitaji tuchakachue thread yake muda uende.
 
Mwanangu Gazeti, una maana uliposoma comment yangu ulitamani uniue mimi au huyo mtu wako? Je unaweza kurudisha roho nyuma ili usiendelee kujiumiza na mihasira? Je unakunywa kanywaji gani? Je una mshiko kwa sasa au unataka ofa? Je umri wako ni miaka mingapi? Huyo mtu wako ni mtu wa namna gani? Naona swali moja linatosha kwa leo.
Nitakujibu baadhi ya maswali. Kuna Comment mfano, ASHAKUM SI MATUSI - Anamegwa huyo, huna chako mkuu, anakuchuna tu n.k. Hizi zinaweza kukufanya usimalize mambo kwa njia nzuri. Ndio nilizoziogopa.
Kwa hasira nilizonazo ndio najaribu kupunguza lakini dahh... kama inashindikana vile.... Kinywaji
napendelea zaidi Pepsi. Unakusudia nini unaposema mtu wako ni mtu wa namna gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom