GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Yaani nina hasira, siku ya tatu leo ana majibu ya mkato sana tulishazoea
kuongea usiku, lakini siku hizi simuelewi kabisa anapiga kidogo halafu ana
niambia kichwa kinamuuma.
Jana ameniambia hivyo,
"Nataka kulala kichwa kinauma."
Nikakumbuka kitu nikataka kumuuliza, saa 7.39 napiga naambiwa namba
inatumika saa 8.23 naambiwa namba inatumika mshnzzzzz.........%%$$###
Leo tena ananiambia vilevile kichwa kinauma yaani nina hasira
Hapa sihitaji ushauri, nimeshaamua kumbwaga nasubiri siku tu......
kuongea usiku, lakini siku hizi simuelewi kabisa anapiga kidogo halafu ana
niambia kichwa kinamuuma.
Jana ameniambia hivyo,
"Nataka kulala kichwa kinauma."
Nikakumbuka kitu nikataka kumuuliza, saa 7.39 napiga naambiwa namba
inatumika saa 8.23 naambiwa namba inatumika mshnzzzzz.........%%$$###
Leo tena ananiambia vilevile kichwa kinauma yaani nina hasira
Hapa sihitaji ushauri, nimeshaamua kumbwaga nasubiri siku tu......