amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
Usijali dada yangu, mimi ni mwanaume, ninawafahamu wanaume
wenzangu. Kwa dunia ya Leo mimi ni miongoni mwa wanaume
wachache ambao wana mapenzi ya kweli...... Siku mbili tatu mambo yangu
yameyumba najua kwanini ameanza dharau, Siko tayari kumpokea tena.
pole sana hivi umelala kweli??
Njoo b bar unywe supu