Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

Nasaha za Kitila Mkumbo zimuendee Assad!

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,199
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
 
Aombe radhi kwa kutamka neno la kitaaluma?!
Hivi daktari akikwambia unaumwa au kinywa chako kinatoa harufu utamuambia akuombe radhi?
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo

Hit direct to the Ntonku
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Kuomba msamaha kwa kauli unayoamini siyo kosa kuisema ,kuitamka hilo pia ni kosa.Ni vema huyo anayeona kakosewa angejitahidi avumilie kukosewa anakohisi siyo kulazimishana kufanya mambo ambayo wewe yameshakushinda.



I STAND WITH PRF ASSAD CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri prof Assad sio prof Mkumbo. Mchumia nchi si mchumia tumbo. Aombe msamaha kwa jambo ambalo hajasema? Mnataka awapigie magoti wala nchi wakati yeye ni mlinda nchi?
Ingekuwa vema sana kama wote wanaokwazwa na prof Assad wangejiuzulu.
 
Mshauri pia, Mh. Rais John Joseph Pombe Magufuli aliyesikika ktk muhadhara kule Makambako akimuagiza Waziri wake wa Wizara ya Maji avute Bangi kisiri siri, ili awe Mkali na kuweza kutimiza wajibu wake baada ya kuvuta hiyo kitu.

Afanyie kazi nasaha za Katibu Mkuu Wizara ya Maji. Nd, Kitila Mkumbo kama ulivyoziwasilishi Uzalendo ni Kushauri Jambo jema kwa nia nzuri na bila woga kuomba msamaha ni upendo.
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
ni hatari kwa Afya ya mwili na akili.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika ukaguzi wowote huwa una matokeo mawili makubwa, STRENGTHS na WEAKNESSES.

Bunge letu katika utendaji wake limeonesha na lina STRENGTHS na WEAKNESSES.
Sasa Bunge halitaki ulieleezee WEAKNESSES zake, It simply allows positive signals and not negative ones.

Na katika hili Bunge limefanana na serikali,
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo

Proffesor matatizo, kama wamekisikia ambacho sikusema ni nani anaomba msamaha? Njaa ni changamoto sana nsugu zangu
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Analinda ugali wake huyo.
Ndio shida ya wasomi wa nchi hii leo anaweza kukwambia hiki kesho akasema hiki.
Hawaeleweki!!!
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Hii ndio taswira ya profesa wa Tanzania, anatumia ubongo wake kuongea, halafu baadae anaenda kuomba msamaha kwamba nilikosea. I did not know, Prof. you are that f***h
 
Asadi inaelekea anasoma sana maoni ya humu JF. Na anavutiwa sana na ushabiki wa nyumbu ambao chama chao kinakufa kwa ushabiki huo wa kijinga na ujuaji mwingi.
Ushauri wa Kitila ni wa busara sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Prof. MKUMBO anafuata MKUMBO
 
" Unapowasiliana ni muhimu kukumbuka kuwa wapo watakaosikia ulichokisema na wapo watakaosikia ambacho hukukisema. Hakuna ubaya kuomba msamaha kwa kile ambacho mtu alikwazwa nacho alichokisikia japo hukukisema maana huwa tunaomba msamaha kwa kukosea bila kukusudia"
By Kitila Mkumbo
Hawa ndio wale watu wakiwa nje ya chama huwa wanaongoza kwa hoja nzuri sana, wakihamia serikalini wako tayari kuyasaliti mawazo yao mazuri ili wale.
Yuko tayari kuwasaliti umma ili awafurahishe bwana wakubwa.

Kiufupi watu wa aina hii walishiriki kuwafichua ndugu zetu walipojificha ili wauzwe ulaya na marekani kama watumwa ili kuwafurahisha mabwenyenye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom