Kaacha pesa kaondoka na alichofuata.
Hiyo inaitwa biashara.
sio biashara ni wizi,alichoondoka nacho ni bidhaa feki ambayo haitamsaidia lolote,ni sawa na kununua cheni bandia,
narudisha bikira karibuni,,,,,,,,,,,,
weka contacts
We si ulienda ulaya kusoma???
Elimu yako haijakusaidia.
Unapoteza muda tu hiyo kitu haisaidii lolote
tena usije mwambia mtu bikira
labda useme hujafanya siku nyingi
tena kafanye labda ya hospitali, maana wanabana diameter.
Ila akizama mara moja tu bwetuuu inaachia.
Hiyo ya kichina sijui hata hivyo ni uchafu na bikira huwa hairudi.
fanya therapy za kiasili diameter itapungua.
Kama ni sikio la kusikia hutiofanya ila kama la kufa we kwfanye
utaaibika a million times.