HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,862
- 3,482
Umemaliza yahn umeshindilia umekanyga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi ni mbinafsi sanaaa,mambo ya kuhudumia wakwe na mashemeji siwezi,kutoa mahari kwa mwanamke asiye bikra siwezi,ndoa ni mzigo kwa mwanaume ila ni mteremko kwa mwanamke ndo maana kila mwanamke analilia ndoa, mwanamke umlishe,umtunze,akiumwa umlipie matibabu,mama ake na baba ake wakiumwa ulipe hela ya matibabu,hapo hapo umpende,umjali,umpe muda wako,yeye anakupa pussy tu,tena pussy yenyewe hakupi kama unavyotaka, excuses kibao,mara anaumwa mara hajisikii,mara amechoka,ila mwanaume inabidi umuhudumie kila kitu bila excuses zozote.hapo bado hajachepuka,bado hajakuletea watoto wa nje,kwanini nihangaike na haya yote kisa pussy??
sijaoa na sitooa, nimeshazalisha watatu tayari,mwakani nazalisha mwingine,ova!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app