Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
- Thread starter
- #101
Hahahah,Injinia mwenye paso pigs mzigo huoo!!
Unafeli wapi braza...we Fanya ukojoekisha pita hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah,Injinia mwenye paso pigs mzigo huoo!!
Unafeli wapi braza...we Fanya ukojoekisha pita hivi
Unaweza kuta huchati na mumewe, ila mumewe anasoma au anapata maongezi na mipango yenu yote.
Mimi huwa sijui kukopesha mwanamke ambaye sijamkuta bikira asinipayukie nitampa makavu akikaza anipishe sitaki shari nimeoa kwa ajili ya kuzaa tuu na si vinginevyo sijui kupenda na sina mpango wewe tulia kula papuchi ni mpaka nijiskie,ukichepuka ruksa ila nisijue ndo kanuni yangu ila utoto wa kujifanya najua kupenda sina nimeshaona wajinga wanavyoumbuka hadi wanachanganyikiwa kisa wanawake wao wameliwanilashasema sioi na wanawake wengi wanaolewa na wanaume ambao sio dream yao muda wa jioni ukifika,so anaolewa tu kutoa gundu ila mawazo yapo kwa boyfriend wake wa secondary,hapo ataanza kumpikia chakula mchepuko na anamtuma mtoto wako akampelekee mchepuko chakula ambacho ni jasho lako wewe na anaweza akazaa kabisa na huyo mchepuko wake mtoto ukasingiziwa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu ni kwamba usimchukulie mwanamke kama malaika ,mtu anafanya anachojiskia ila tujue ndoa ni kwa ajili ya kuzaa watoto na kusaidiana lakini mambo ya papuchi mtu anafanya na anayejiskia full stop but kwa kuwa mko kwenye ndoa lazim ujitahidi kujificha ndio heshima kama unaweza kutofanya na mwingine is okeyMkuu watu juzi tu kaliwa mke wa mtu na mambo yote anatoa na aliolewa na bikra yake... Hawa watu huwez kuwa define, bikra is nothing ni suala la moyo na akili yake
Kwa nini na wewe, watu tumekaa tunasubiri utuoe unasema huoi ndio nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unachelewa babe, watoto wanachelewa kwenda shuleIna mana huamini nitakuoa mpk useme hivi?
Nikwel kiongoz,ngoja nitulie,hata hvyo nmewaza sana,si uungwana...na nilishaamuaga kuacha tabia hii ya wake za watuUnaweza kuta huchati na mumewe, ila mumewe anasoma au anapata maongezi na mipango yenu yote.
kuoa uoe ili upate mtt aliye wako theni ukiona ngwalu ngwalu nduki nduki
wewe ni noma kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Endelea kuzalisha lakini unapaswa kufahamu kuwa hao wanaozaliwa kutokana na tamaa zako nao watazalishwa pia na pengine mizigo yote kuishia kwako.
labda ya kiislamu,hapo shortcut unamtia mimba unaamsha kuliko kumuoa na kumtambulisha kwa wazazi, unakuwa unazunguka sanakuoa uoe ili upate mtt aliye wako theni ukiona ngwalu ngwalu nduki nduki
Unamaanisha anatoa voda na tigo au?Mkuu watu juzi tu kaliwa mke wa mtu na mambo yote anatoa na aliolewa na bikra yake... Hawa watu huwez kuwa define, bikra is nothing ni suala la moyo na akili yake
Una maakili sana mdogo wangu!Sio kwamba wewe ndio shetani kaamua kukutumia kama wakala wake ili umuharibie ndoa then unamlaumu yeye? Kama kweli unamheshimu na kumpenda acha kuwasiliana nae uone.
Ahsante. Nakufuata wewe dada angu..Una maakili sana mdogo wangu!
Naona unanizidi kabisaa my dear!Ahsante. Nakufuata wewe dada angu..
Looh jamani sikio hua halizidi kichwa ujue..ukiwa mdogo ni mdogo tu.Naona unanizidi kabisaa my dear!
Wanawake huwa hatusahau uliko kojozwa au ulikopata rahaBinti kaolewa wik mbil zilizopita.na anaweka kabisa status picha za harus,mumewe n.k
Ila huwez amin ninachochat nae hapa sasa hiv,na si ajab weekend hii nikaenda mla,..
Aibu naona mim.
Binti huyu aliwai kua dem wangu kitambo sana.daaah...kikombe hik kiniepuke ,skuhiz nmekua mwoga sana na wake za watu,kuna ki guilty flan hiv.namwonea mwana huruma kinoma yan
Sent using Jamii Forums mobile app