Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,937
Kama unalijua hilo wewe kihelehele cha kuchart naye cha nini subili nawe uoe ndiyo utajua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nashangaa watu wana kulaumu mkuu wakati mwanamke mwenyewe akili hamna kichwani hajua hata thamani ya ndoa na ni bado changa kabisa.Binti kaolewa wik mbil zilizopita.na anaweka kabisa status picha za harus,mumewe n.k
Ila huwez amin ninachochat nae hapa sasa hiv,na si ajab weekend hii nikaenda mla,..
Aibu naona mim.
Binti huyu aliwai kua dem wangu kitambo sana.daaah...kikombe hik kiniepuke ,skuhiz nmekua mwoga sana na wake za watu,kuna ki guilty flan hiv.namwonea mwana huruma kinoma yan
Sent using Jamii Forums mobile app
Nime kumanya vizuri comrade..hakuna namna.mimi ni mbinafsi sanaaa,mambo ya kuhudumia wakwe na mashemeji siwezi,kutoa mahari kwa mwanamke asiye bikra siwezi,ndoa ni mzigo kwa mwanaume ila ni mteremko kwa mwanamke ndo maana kila mwanamke analilia ndoa, mwanamke umlishe,umtunze,akiumwa umlipie matibabu,mama ake na baba ake wakiumwa ulipe hela ya matibabu,hapo hapo umpende,umjali,umpe muda wako,yeye anakupa pussy tu,tena pussy yenyewe hakupi kama unavyotaka, excuses kibao,mara anaumwa mara hajisikii,mara amechoka,ila mwanaume inabidi umuhudumie kila kitu bila excuses zozote.hapo bado hajachepuka,bado hajakuletea watoto wa nje,kwanini nihangaike na haya yote kisa pussy??
sijaoa na sitooa, nimeshazalisha watatu tayari,mwakani nazalisha mwingine,ova!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wenye mawazo ya kuzalisha na kuacha ni wale waliolelewa familia zilizo stable. Nasikitika na wewe ni mmoja wao maana hujui watoto wako watakuja kupitia yapi na mbaya zaidi migogoro ya familia ambayo hutoiweza. Sikutishi ila jehanum yako ipo karibu na utavuna unachokipanda kwa sasa
mawe unataka kuolewa?Pablo Blanco, Kwa nini na wewe, watu tumekaa tunasubiri utuoe unasema huoi ndio nini sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapanamawe unataka kuolewa?
Ukikua utaachamimi ni mbinafsi sanaaa,mambo ya kuhudumia wakwe na mashemeji siwezi,kutoa mahari kwa mwanamke asiye bikra siwezi,ndoa ni mzigo kwa mwanaume ila ni mteremko kwa mwanamke ndo maana kila mwanamke analilia ndoa, mwanamke umlishe,umtunze,akiumwa umlipie matibabu,mama ake na baba ake wakiumwa ulipe hela ya matibabu,hapo hapo umpende,umjali,umpe muda wako,yeye anakupa pussy tu,tena pussy yenyewe hakupi kama unavyotaka, excuses kibao,mara anaumwa mara hajisikii,mara amechoka,ila mwanaume inabidi umuhudumie kila kitu bila excuses zozote.hapo bado hajachepuka,bado hajakuletea watoto wa nje,kwanini nihangaike na haya yote kisa pussy??
sijaoa na sitooa, nimeshazalisha watatu tayari,mwakani nazalisha mwingine,ova!
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua amelelewa familia ya panya road!Pablo Blanco, Mkuu ulipata malezi ambayo unataka watoto wako wayapate au kiufupi je, umekulia katika familia ya single parent ???....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwhy na wife ukimchiti naye ruksa akuzungu kwa petrol?dah kiukweli ninakaa nae wangu huu mwaka wa 5 but sijawahi kumgusa hata konzi inshort yeye na familia yao wananiona ni mtu mpole kupita maelezo hut kuna siku nlimwambia mke wngu fanya mambo yote isipokuwa moja tu kunicheat maana ntakachomfanya huyo aliyekufanya ucheat hatosahau maisha yake yote na ntakachokufanya na wewe ntaandikwa kwenye historia kwenye kitabu cha taifa na bahat nzuri amekiona alichofanya mtoto wa mjomba wang kabisaa (kaka) kwa kumchoma mke na magunia ya mkaa,maana ile sku bro alivyokamatwa na kukiri wife usiku alinifata akiwa mpole mno na kuniuliza hivi na wewe unaweza kufnya kama alivyofanya nduguye jibu nlilompa mpka leo anaogopa hata kusalimiana na mazoea na watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nalo neno si ajabu alikuta mwenzie alisha panda yeye kapata kazi ya kumwagilia mbegu tuItakuwa haisimami usjifarague hapa! hata hao unaosema umezalisha watatu watoto siwako, kama unabisha kapime DNA
Binti kaolewa wiki mbili zilizopita na anaweka kabisa status picha za harusi, mumewe n.k ila huwezi amini ninachochat naye hapa sasa hivi, na si ajabu weekend hii nikaenda mla.
Aibu naona mimi.
Binti huyu aliwahi kuwa msichana wangu kitambo sana. Daaah, kikombe hiki kiniepuke. Siku hizi nimekuwa mwoga sana na wake za watu, kuna ki-guilty flan hivi, namwonea mwana huruma kinoma yani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha woga wa kingese ww wazaz wko kama hawajoana usingekua unaandika huu upuuz jf
Km nayashuhudia marinda ya mzee wa kula tunda kimasihara yanavyogombaniwa na vikaka viloshibaMzee mtu kalipa mahari yake na unasema hata week 2 hazijaisha unamaanisha bado yupo kwenye fungate alafu ww unataka upitenaye kiboya boya tu kuwa makini hapo usije kesho kutwa ukatufungulia uzi wengine ukisema mke wa mtu sumu.
Wakuu nna umri usiopungua miaka 32 na sina mtoto wala mke kadri nnavyosoma huu uzi nazidi kuvunjika moyo kwenye suala la kuoanilashasema sioi na wanawake wengi wanaolewa na wanaume ambao sio dream yao muda wa jioni ukifika,so anaolewa tu kutoa gundu ila mawazo yapo kwa boyfriend wake wa secondary,hapo ataanza kumpikia chakula mchepuko na anamtuma mtoto wako akampelekee mchepuko chakula ambacho ni jasho lako wewe na anaweza akazaa kabisa na huyo mchepuko wake mtoto ukasingiziwa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app