Nchi ina uhuru hii, niache bhana 😂Mambo ghaleja?
Okosata bhebhe😆 bhanike bhasomi otizolela😱nke one alekaya,kenaka kanya kane doho dada!
Tuliaga nyandebhe😂Nchi ina uhuru hii, niache bhana 😂
Rudia mkuuMWANAMKE AKIWA CHUO SIO WAKO !!!NIRUDIEEEE??
Kakuongopea anakuja ghetoni kwanguWakuu, sijawahi kupitia unyonge,upweke na wasiwasi kama huu ninaopitia hivi sana. Mpenzi wangu ni mwana chuo katika chuo mkoa X, wanakatazwa kutumia simu, huwa anatumia simu za walimu wake akitaka kuongea na mimi. sasa ni wiki ya tatu hanitafuti,moyoni naumia sana mwenzie, nampenda, sijaona sms yake wala call yake for 3rd week, naombeni ushauri, maana ninakoelekea sikujui.
Huyu jamaa nyuzi zake 😁😁content creator wa jf kwenye moja na mbili🤣🤣🤣 kutulia ni kitu hauwezi akiiii chochote kinachokuja akilini kwako unaruka nacho kama chura
Ni wanani?MWANAMKE AKIWA CHUO SIO WAKO !!!NIRUDIEEEE??
😄😁😁😃😃Pole sana bwashee, ukiwa na majukumu hali yako itakaa sawa tu
Bhebhe nang'ho galusind'ombehi nu-bhe ugahaya giki ugalalaga na nokho bhuko?nke one alekaya,kenaka kanya kane doho dada!
Kweli kabisa, ngoja niendelee kusoma comments tuNa ukiwa na shida ya afya ya akili unakua hujijui ila watu wrngine ndio wanakua wanakujua.