Napingana na Tundu Lissu kuwa ugumu wa maisha umesababishwa na Katiba

Mimi kama mpiga kura nasema lissu hanifai. Hayo mafanikio umeyaona wewe. Being a leader goes beyond that. Tabia za wanawake wa uswahilini za kwenda kumchafua mtu hadi kwenye vyombo vya habari tena vya nje ya nchi. Tena mbaya zaidi mtu ambae ameshafariki. That was a no-go for me. Liende huko. Na nyie chawa wake mpepeeni maana ataiona joto ya jiwe kwenye kura. Haambulii kitu.
Hahaha pole sana najua inakuuma ila ndio hivyo hakuna wa kumzuia, unadhani Kuna mtu anayejitambua atampigia kura Samia wakati kafeli Kila kitu? hivi CCM mtawaambia Nini wananchi 2025 kwenye kampeni wakati Kila kitu mmefeli?

We unaangalia kuchafuliwa je unawaza kumiminiwa risasi ungecheka?? Huyo dikteta wenu amefariki na Lissu huyo anapeta, Mungu hapangiwi na wewe tulia hapa uone 2025 Lissu akiwashangaza.
 
Hapana, napingana nawe kwasababu zifuatazo;

- Unapodai kuhusu tozo chanzo chake ni katiba, unakuwa umeandika statement iliyojifunga, kwasababu, katiba ni maandishi tu, yaliyopo kwenye makaratasi, hivyo ili hayo maandishi yawe na impact [positive au negative] lazima yapelekwe kwenye vitendo..

Sasa swali la kujiuliza, ni nani anayepeleka hayo mambo kwenye vitendo?

Jibu ni Rais, yeye ndie hupeleka hayo yote kwenye vitendo, kwasababu kama tujuavyo, ili sheria yoyote iliyopitishwa na bunge ianze kufanya kazi, sharti itiwe sahihi na Rais ili ianze kutumika, hivyo kama sheria hiyo itakuja kuwa na maumivu kwa mtanzania, wakulaumiwa ni Rais kwasababu yeye ndie aliyeruhusu itumike.

- Kuhusu ruzuku na kushuka kwa uzalishaji unadai chanzo ni muundo mbovu wa serikali, sasa kwani kiongozi wa hiyo serikali ni nani? jibu ni Rais, huyu ndie anayepanga serikali yake iwe vipi, kama ikiwa na muundo mbovu, basi yeye ndie chanzo cha kushindwa kuipanga serikali yake lazima alaumiwe.

- Kuhusu kukatika kwa umeme nako unailaumu Katiba, huu wako sasa ni usanii, unadai viongozi sio wawajibikaji, nikuulize nani mwenye jukumu la kuwateua hao viongozi? jibu ni Rais, hivyo kama ameamua kuwakumbatia viongozi wasio wajibika, lawama lazima ziende kwake, fair and square!.

- Kufungua mipaka na wageni kuingia nako unalaumu Katiba kwasababu viongozi hawawajibiki, swali kwako tena, kwanini nani mwenye jukumu la kuwateua na kuwatengua viongozi wasiowajibika? jibu ni Rais.
  • inaonekana hujui chanzo Cha mamlaka ni wapi? Huyo Rais unayemzungumzia mamlaka ameyapata wapi? Jibu mamlaka ameyapata kutoka kwenye KATIBA na ndio maana kwenye KATIBA kuna ibara inasema Rais katika hatalazimika kufuata ushauri wa Mtu yeyote, Kwa hiyo jibu ni Katiba kwa sababu Rais ni Constitutional creature unaelewa?
  • Mamlaka yote ya kutoza Kodi, kuleta miswada ya fedha bungeni, chanzo chake ni Katiba na huyo Rais unayemzungumzia ameyapata hayo mamlaka kutoka kwenye KATIBA,
  • Hayo mamlaka ya kuteua hao Viongozi ambao hawawajibiki Kwa Wananchi Rais kayatoa wapi? Au unadhani Rais mamlaka kajitungia tu? Hayo mamlaka kayapata Kutoka kwenye KATIBA akiwa kama mkuu wa serikali.
  • Ndio maana unasikia akina Lissu wakisema kwamba Katiba imempa Rais mamlaka makubwa sana, lakini hawasemi Rais ameipa Katiba mamlaka makubwa sana? Umeelewa au
 
Hahaha pole sana najua inakuuma ila ndio hivyo hakuna wa kumzuia, unadhani Kuna mtu anayejitambua atampigia kura Samia wakati kafeli Kila kitu? hivi CCM mtawaambia Nini wananchi 2025 kwenye kampeni wakati Kila kitu mmefeli?

We unaangalia kuchafuliwa je unawaza kumiminiwa risasi ungecheka?? Huyo dikteta wenu amefariki na Lissu huyo anapeta, Mungu hapangiwi na wewe tulia hapa uone 2025 Lissu akiwashangaza.
Kama kweli mnampenda mbona mlimtelekeza airport hadi akawa analia lia🤣🤣🤣
 
Mimi natamani hata leo hii hiyo katiba ibadilishwe na kuwepo hiyo ya Warioba halafu tuone hiyo miujiza ya katiba itakavyo ibadili Tanzania.
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
Matatizo yote tunayopitia kama Nchi Yana mkono wa Rais kama taasisi kimfumo.

Nakubaliana na LISSU 100% kuwa Suluhu ya yote ni Katiba mpya.

Katiba mpya italeta mifumo Bora ya kuongoza Nchi na Si kumtegemea taasisi iliyo chini ya mtu mmoja.
 
Wa kurudi kwao ni huyo
Lissu asije kutuchafulia amani ya nchi yetu hapa. Yani mtu anahangaika na wazungu kutwa, wanae kawaacha nje kaja kuwasomba wapumbavu hapa. Na nyie mnaingia kingi.

Kwa hiyo we unaamini lissu anauchungu na hili taifa? Pathetic
Wewe ndiye unauchungu nalo?
 
Mimi kama mpiga kura nasema lissu hanifai. Hayo mafanikio umeyaona wewe. Being a leader goes beyond that. Tabia za wanawake wa uswahilini za kwenda kumchafua mtu hadi kwenye vyombo vya habari tena vya nje ya nchi. Tena mbaya zaidi mtu ambae ameshafariki. That was a no-go for me. Liende huko. Na nyie chawa wake mpepeeni maana ataiona joto ya jiwe kwenye kura. Haambulii kitu.
Nenda ukachimbe ukae pembeni yake.
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
Mambo kwa miaka hii iliyoko mbeleni yaani 2023 na kwendelea, IMF ilishasema uchumi wa Dunia utakuwa mbaya kuliko miaka ya nyuma. Usikae kutegemea maisha ya mteremuko - Kitonga kadri miaka inavyoenda.
Kwanza kufuatana na ulimwengu unavyoenda, pesa za karatasi zitaondolewa kwenye mzunguko zije za Electronic Currency.
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
unapingana na lisu juu ya katiba mpya lakini unapingana na SSH ambaye amewekwa na hiyo katiba ya hovyo ukiulizwa juu ya elimu yako na uwezo wa kufikiri unajitia vidole makalioni na kunusa mwenyewe.
hovyoo
 
Kama kweli mnampenda mbona mlimtelekeza airport hadi akawa analia lia🤣🤣🤣
Nani alimtelekeza? Sema tu Roho inakuuma.
FnN-oayXwAAZiX6.jpeg

Hii ilikua Hannang 2020 hawa wote walikuja kumuona Lissu!! Ndio sembuse kapuku kma wwe kumchukia? Kura Yako ni 1 so u mean nothing.
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
Anacheki odds zake zinazom favor kumpatia political capital kubwa. So anacheki kujipanua yeye ki CV ya kisiasa nadhani
 
Kumbe Lissu wa 2020 na WA Jana ni watu wawili tofauti eeh 🤣🤣🤣. Pole sana najua inakuuma mnoo, shetani wenu kazikwa Lissu huyooo anapeta.
Jione ulivyo mpuuzi. So mrema wa 1995 TLP na wa 2015 alikua yule yule? We ni punguani nakwambia
 
Acha uongo wee mkolomije, mchele gan unapata mjin kwa sh 900 mpaka 1200? Kwann usitoe na reference kipind cha awamu ya tano kuhusu bei ya sukar? Pia issue ya katiba mpya ime contain mambo mengi ya kiuchumi, siasa, na mustakabali mzm wa Taifa letu. Hivyo nyie wakolomije ni ngumu sana kuelewa umuhim wa katiba mpya.
Kazi Kweli Kweli !
 
Back
Top Bottom