Napingana na Tundu Lissu kuwa ugumu wa maisha umesababishwa na Katiba

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
 
Acha uongo wee mkolomije, mchele gan unapata mjin kwa sh 900 mpaka 1200? Kwann usitoe na reference kipind cha awamu ya tano kuhusu bei ya sukar? Pia issue ya katiba mpya ime contain mambo mengi ya kiuchumi, siasa, na mustakabali mzm wa Taifa letu. Hivyo nyie wakolomije ni ngumu sana kuelewa umuhim wa katiba mpya.
 
Haya Ni mambo Magumu, weka CV yako tuone tunabishana na level gani, maana ulivyoanza, ingawa sikusoma yote unatia mashaka
Ni kweli anatia mashaka sana, kimfano anapohoji katiba inahusika vipi kuwepo kwa tozo! Au wakulima kutopewa ruzuku itayopunguza gharama za uzalishaji na kushusha bei ya nafaka. Tena anahoji magufuli aliweza kwa katiba ipi na sasa inashindikana kwann!

Na bado haoni katiba ndio tatizo kuu!
 
Kwakweli wewe kujiita mtanzania unakosea sana.Hamna mtanzania mwenye akili na roho za hivi na hovyo kama hizi. Rudini kwenu mkaendeleze roho za hivi.
Wa kurudi kwao ni huyo
Lissu asije kutuchafulia amani ya nchi yetu hapa. Yani mtu anahangaika na wazungu kutwa, wanae kawaacha nje kaja kuwasomba wapumbavu hapa. Na nyie mnaingia kingi.

Kwa hiyo we unaamini lissu anauchungu na hili taifa? Pathetic
 
Kama mtu anashindwa kumuheshimu mke wake ndo atakuja kuwaheshimu watanzania na shida zenu? Lissu ana busiana na mzungu wakati ana mke. Ela za matibabu anaenda kugongea mimama ya kizungu
6CF9F574-1B4F-4833-BE84-0319E416A0C6.jpeg
 
Wa kurudi kwao ni huyo
Lissu asije kutuchafulia amani ya nchi yetu hapa. Yani mtu anahangaika na wazungu kutwa, wanae kawaacha nje kaja kuwasomba wapumbavu hapa. Na nyie mnaingia kingi.

Kwa hiyo we unaamini lissu anauchungu na hili taifa? Pathetic
Hii ni roho ya mtu ...naweza kusema wewe ndiye mwenye lengo baya na Taifa letu kuliko ata huyo unaemfikiria hivyo. Kwanza kauli zako zinaonyesha wewe sio mtu mwema kabisa. Ungekua mtu mwema tusingeona kauli kama hizi hapa. Kwanza MH.Lissu ni moja ya watanzania ambao wamejaribu kulifanyia Taifa ili kuliko ata wewe usie ata julikana.
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
Yule mpuuzi ndie aliyevunja soko huru nakutuletea mfumo wakizamani wa stakabadhi gharani

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
- kuhusu tozo chanzo chake ni Katiba kwa sababu tozo ni Kodi na Katiba imesema kuwa Hakuna Kodi itakayotozwa hadi iwepo sheria ya kusimamia hiyo Kodi, na pia Katiba imesema bunge halitajadili muswada wowote wa kutoza Kodi hadi Rais aamue hivyo kupitia waziri wa fedha, hivyo basi tozo zote zimetokana na Katiba hii ya 1977, (tozo za haki na zisizo za haki)
-kuhusu ruzuku na kushuka kwa uzalishaji ni Kwa sababu muundo WA serikali ni mbovu, maeneo yenye uzalishaji yalitakiwa yajengewe miundombinu ya kufikika, na pia hayo maeneo/ mikoa ilitakiwa ipewe mamlaka ya kujipangia na kujiamulia yenyewe kitu ambacho hakiwezekani kwa Katiba hii.
  • kuhusu kukatika umeme pia Katiba imechangia, kwa sababu Viongozi wamekuwa sio wawajibikaji, but wanawajibika kwa Rais tu na sio kwa Wananchi
  • kuhusu kufungua mipaka na wageni kuingia, pia Katiba inachangia kwa sababu Viongozi hawawajibiki Kwa Wananchi, wanajua kwa udhaifu wa Katiba wataiba kura na wataendelea kuongoza hata kama kilo Moja ya Michele iwe 7000/-,
 
Kama mtu anashindwa kumuheshimu mke wake ndo atakuja kuwaheshimu watanzania na shida zenu? Lissu ana busiana na mzungu wakati ana mke. Ela za matibabu anaenda kugongea mimama ya kizungu
View attachment 2496093
Aaaah ukiwa mtu local mambo kama haya utaona shida sana. Hapo unatamani uwe wewe au dada yako.....aaaahhhh kwikwiiiiiiiiii
 
Magazeti ya leo yamemnukuu Tundu Lissu akisema ugumu wa maisha hautokani na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan bali ni unatokana na Katiba.

1. Lissu nakuuliza Kwani Katiba ndio imefungua mipaka ya nchi yetu na kuruhusu Wakenya,Wanyarwanda,Wakongomani na Warundi kumiminika hadi mashambani huko vijijini kulangua mazao? hali ilikuwaje miaka ya Magufuli?

2. Katiba ndio imeweka Tozo za miamala ya kibenki na mitandao ya simu? hali ilikuwaje miaka mitano ya Magufuli?

3. Je! Katiba ndio imesababisha wakulima kukosa mbolea na kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa mazao?

4. Katiba ndio imesababisha umeme ukatike mara kwa mara na kusababisha uzalishaji viwandani kushuka na kupandisha bei za bidhaa?

Katiba mpya ni hitaji muhimu lakini kuna matatizo hayasababishwi na Katiba na wewe umekwepa kusema waliotufikisha hapa kwa sababu unazozijua wewe na kusingizia Katiba.

Miaka 5 ya Magufuli tulikuwa tunatumia Katiba gani wakati mchele ukiuzwa 900 hadi 1,200 na sasa tunatumia Katiba gani mchele ukiuzwa 4,000
Nenda Mahakamani ukamehitaki
 
- kuhusu tozo chanzo chake ni Katiba kwa sababu tozo ni Kodi na Katiba imesema kuwa Hakuna Kodi itakayotozwa hadi iwepo sheria ya kusimamia hiyo Kodi, na pia Katiba imesema bunge halitajadili muswada wowote wa kutoza Kodi hadi Rais aamue hivyo kupitia waziri wa fedha, hivyo basi tozo zote zimetokana na Katiba hii ya 1977, (tozo za haki na zisizo za haki)
-kuhusu ruzuku na kushuka kwa uzalishaji ni Kwa sababu muundo WA serikali ni mbovu, maeneo yenye uzalishaji yalitakiwa yajengewe miundombinu ya kufikika, na pia hayo maeneo/ mikoa ilitakiwa ipewe mamlaka ya kujipangia na kujiamulia yenyewe kitu ambacho hakiwezekani kwa Katiba hii.
  • kuhusu kukatika umeme pia Katiba imechangia, kwa sababu Viongozi wamekuwa sio wawajibikaji, but wanawajibika kwa Rais tu na sio kwa Wananchi
  • kuhusu kufungua mipaka na wageni kuingia, pia Katiba inachangia kwa sababu Viongozi hawawajibiki Kwa Wananchi, wanajua kwa udhaifu wa Katiba wataiba kura na wataendelea kuongoza hata kama kilo Moja ya Michele iwe 7000/-,
Umeeleza vizuri sana,ila sijui kama atakuelewa
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom