Napingana na Mahakama kuzungumza na Mbowe peke yake bila watuhumiwa wengine, watuhumiwa watatu wanatetewa na Mbowe Kwenye Haki yao ya Kula?

Wakati nipo gerezani, sisi walikuwa wanatuwekea Chakula, Ila hata nilikuwa sili; Kwa kifupi Hakifai kikiwa cha moto and kikipoa is even worse.

Kwa kweli Kama Mbowe kapewa hii Kesi Ni Jambo Baya Sana Na La kutisha! Magereza Ndugu zangu is no place; Hakufai, Hakufai, Hakufai.

Ni dhuluma Mbaya Sana Kwa kweli Na Lazima itakuwa Na madhara Kwa wahusika, there is a way they will pay for this pain caused to this gentlemen!

Let’s wait and see; the burden of proof is squarely on the Government!
 
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.

Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.

1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?

2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?

3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?

Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?

Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?

Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.

Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Sijaelewa hoja yako
 
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.

Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.

1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?

2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?

3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?

Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?

Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?

Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.

Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Maza ako alikuwa anatosha kuwawakilisha mkuu
 
Usikite hua wanafurahia kimoyomoyo kesi ikihairishwa ili wapate chakula vizuri. Watu wana roho mbaya sana
 
Ni masikitiko makubwa kusikia kitu kama hiki haswa kwa mtu ambaye anapitia kadhia hii bila y hatia kisa tu maslahi ya kisiasa.
Siku moja hatutakua tunazungumza haya nayo sio mbali.
 
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.

Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.

1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?

2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?

3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?

Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?

Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?

Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.

Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Hii akili inaendeshwa na chuki
 
Jikite kwenye hoja.. na hoja ni kwamba washatakiwa hawali mchana kwa miezi tano, je hiyo ni sawa? hayo mambo ya nani na nani kaleta hoja au kusikilizwa na hakimu sio muhimu! tuna watu wa ajabu sana nchi hii..
 
Da hizi tabiri zenu siku hizi naziogopa sana.
hakuna namna. Uonevu unapovuka mipaka. tena unaonea mtu/watu wasio na vurugu, Mungu lazima aingilie kati. Anakuondoa ili usisababishe ibada za watu za kumwabudu Yeye zikaharibika.
 
umeelewa hata sentensi yangu au umekurupuka embu soma vizuri sijaandika kwamba hao sio makomandoo bali nimeandika sio makomandoo wa jeshi
Acha umbugila, ukomando ni ujuzi ambao mtu anaupata baada ya kufuzu mafunzo. Hivyo hauwezi kutoka Kwa mhusika hadi kifo chake!.
 
Back
Top Bottom