Napingana na Mahakama kuzungumza na Mbowe peke yake bila watuhumiwa wengine, watuhumiwa watatu wanatetewa na Mbowe Kwenye Haki yao ya Kula?

Usichokijua ni hiki.

Mbowe kunyoosha mkono na kuzungunzia chakula ni code language.

Mbowe kuitwa chemba na Jaji akiwa na mawakili wa pande zote ni coded kuna jambo mtambuka wanaenda kuwekana sawa.

Kama ilikuwa ni chakula tu, ilitakiwa amri ya Jaji itoke kwamba, watuhumiwa wawekewe ratio yao wanapotoka mahakani waikute huko mahabusu.

Kinacgotafutwa ni mazingira ya kuimaliza kesi kabla hatujaingia aibu zaidi.

Mimi ni CCM
Aibu gani?, Kesi ina aibu gani?, Mahakama ndo inahukumu haki, kama itaonekana hamna kosa ataachiwa na anahaki ya kufungua mashitaka ya False accusation na kudai fidia ,
Hakuna mambo ya aibu kwenye kutafuta haku ya mtu
 
Usichokijua ni hiki.

Mbowe kunyoosha mkono na kuzungunzia chakula ni code language.

Mbowe kuitwa chemba na Jaji akiwa na mawakili wa pande zote ni coded kuna jambo mtambuka wanaenda kuwekana sawa.

Kama ilikuwa ni chakula tu, ilitakiwa amri ya Jaji itoke kwamba, watuhumiwa wawekewe ratio yao wanapotoka mahakani waikute huko mahabusu.

Kinacgotafutwa ni mazingira ya kuimaliza kesi kabla hatujaingia aibu zaidi.

Mimi ni CCM
Acha porojo
 
Kuna kitu sijakielewa hapa. Nimewahi kusikia kuwa gerezani chakula cha jioni kinaliwa mapema sana (pengine kabla ya 5pm). Sasa kama hawa wanatoka mahakamani 5pm, maana yake, wanakuta milo yote imeshapita. Wamewezaje kuishi kwa miezi mitano bila kula? Au labda wanatunziwa chakula cha jioni?
We huoni mbowe alivyokonda?, Wale wana miezi mitano wanakunywa uji tu
 
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.

Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.

1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?

2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?

3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?

Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?

Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?

Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.

Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Hivi msosi si huwa wanapelekewa na ndugu zao au!?

Naona wale askar wa mauji Mtwara wanaingia mahakaman na maji ya kilimanjaro
 
Kikombe kimoja cha uji (tena uji wenyewe wa magereza) kwa saa 24 is as good as nothing. Ndiyo maana sikukihesabu hata kukihesabu. Ukijaribu kufanya hivyo kwa week hata moja, itabidi wawe wanakubeba badala ya wewe kutembea kwa miguu yako mwenyewe!
Kwahiyo unamaanisha?, Maana mi naona wamedhoofika sana
 
Mleta mada, nitakikita kwenye point namba 3. Kuna mambo hayawezi kuthibitishwa kama unavopendekeza. Hawa washtakiwa wanafika saa 2 na nusu asubuhi - je muda huo magereza wameshapika lunch ili washitakiwa wachukue take away?? Kuna maswala ni ya pamoja na huchukuliwa kwa ujumla! Unajiulizaje swali hilo huku mawakili wao wanaelezea jinsi walivolishighulikia??

Unachotaka ni kama watu wakiwa kanisani/msikitini na kiongozi wa sala akasubiri wasema “amin/amina”. Akisikia representative “amin/amen” hana haja ya kutaka kujiridhisha kama KILA mtu ameitikia. Anaendelea. Watu wa “ndiyooo” bungeni huulizwa mmoja mmoja??
 
Umesoma maelezo kwa makini kweli..?

Kwa nilivyoelewa mimi, si kwamba hawali kabisa. Bali wanakula mlo mmoja tu in 24hrs...

Ambacho hakijafafanuliwa hapa ni mlo upi (wa mchana, jioni au asubuhi) wasioupata...?
Wanafika mahakamani saa ngapi? Wanaondoka saa ngapi? Mpaka hapo huwezi jua kweli??
 
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.

Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.

1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?

2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?

3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?

Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?

Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?

Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.

Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Mbona hukupanua domo lako wakati mbowe alipowasemea wenzake kuwa wanakosa chakula mpaka wanakonda mbweha we!
 
Wanafika mahakamani saa ngapi? Wanaondoka saa ngapi? Mpaka hapo huwezi jua kweli??
Nakubaliana na wewe. For this case, it's obviously that, katika siku zote za kesi mahakamani huwa hawapati chakula cha mchana...

Wao kula yao huwa ni mlo wa jioni tu mara warudipo ktk chambers zao huko gerezani ...

All in all this is not right and it's against human rights...

Wakati wa wa health break mchana kama ambavyo kila mtu hupata chochote, basi magereza wahakikishe hawa watu wanapata chakula [full balanced diet + water + refreshment drinks]

Na kama vipi, Jaji atoe amri ya kuwaruhusu ndugu wawahudumie ndugu zao kwa vyakula na vivywaji maana hilo linawezekana kwa 150%...

After all, hawa hata si wahalifu bali wako pale kwa chuki za watawala wajinga na waoga wa vivuli vyao wenyewe chini ya CCM...
 
Kwahiyo unamaanisha?, Maana mi naona wamedhoofika sana

Mimi nadhani kuna kitu hakiko sawa katika haya maelezo. Mtu akipewa kikombe kimoja cha uji wa magereza kwa saa 24 kwa kipindi kirefu kama hicho, sidhani kama starvation inaepukika.

Starvation doesn’t necessarily mean total deprivation of food. Even dying of malnutrition due to having only poor foods, inadequate or a single food to eat is starvation!
 
Kuna kitu sijakielewa hapa. Nimewahi kusikia kuwa gerezani chakula cha jioni kinaliwa mapema sana (pengine kabla ya 5pm). Sasa kama hawa wanatoka mahakamani 5pm, maana yake, wanakuta milo yote imeshapita. Wamewezaje kuishi kwa miezi mitano bila kula? Au labda wanatunziwa chakula cha jioni?
Wanatunziwa mkuu....ila nadhani mahabusu wanatuhusiwa kiletewa chakula mahakamani na ndugu zao...ila aliyeleta anatakiwa ale kidogo kabla mtuhumiwa hajala kwa kuhofia kuwekewa sumu...hata gerezani mahabusu wanaruhusiwa kupelekewa chakula kutoka uraiani na ndugu zao.
 
Umesoma maelezo kwa makini kweli..?

Kwa nilivyoelewa mimi, si kwamba hawali kabisa. Bali wanakula mlo mmoja tu in 24hrs...

Ambacho hakijafafanuliwa hapa ni mlo upi (wa mchana, jioni au asubuhi) wasioupata...?


Magereza hakuna lunch and dinner...wakishapata kikombe cha uji asubuhi... lunch wanakula around saa tisa alasiri inakuwa imeisha hyo mpaka kesho Tena. Kuhusu wanaenda mahakamani wakirudi jioni wanakuta chakula chao wametunziwa mkuu.
 
Kuna kitu sijakielewa hapa. Nimewahi kusikia kuwa gerezani chakula cha jioni kinaliwa mapema sana (pengine kabla ya 5pm). Sasa kama hawa wanatoka mahakamani 5pm, maana yake, wanakuta milo yote imeshapita. Wamewezaje kuishi kwa miezi mitano bila kula? Au labda wanatunziwa chakula cha jioni?

Wakati nipo gerezani, sisi walikuwa wanatuwekea Chakula, Ila hata nilikuwa sili; Kwa kifupi Hakifai kikiwa cha moto and kikipoa is even worse.

Kwa kweli Kama Mbowe kapewa hii Kesi Ni Jambo Baya Sana Na La kutisha! Magereza Ndugu zangu is no place; Hakufai, Hakufai, Hakufai.

Ni dhuluma Mbaya Sana Kwa kweli Na Lazima itakuwa Na madhara Kwa wahusika, there is a way they will pay for this pain caused to this gentlemen!
 
Back
Top Bottom