tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
hawezi kujua hiloWahindi ni Matajiri mpaka wakiwa hata United Kingdom ! .....unamjua yule Tajiri mfua chuma .na mwenye QPR ?
hawezi kujua hiloWahindi ni Matajiri mpaka wakiwa hata United Kingdom ! .....unamjua yule Tajiri mfua chuma .na mwenye QPR ?
Mkuu, pana mtu mmoja alizungumza kama wenzetu nako hubadili majina kwa kuwaenzi wanasiasa wetu. Hivi unakumbuka wafalme (tumeaminishwa tuwaite watemi) wa nchi hii walioipigania haki yetu?Kwa hiyo na Mandera road, yeye yupo TZ? Je kenyata nayo..?? Mwai Kibaki nayo..??
Anyway, nadhani, kwa mtazamo wangu, kama tumefaidika kitu fulani toka kwa mtu fulani, tunatumia jina la muhusika kuiita barabara au eneo husika. SI suala la kama wao wanatumia majina ya watu wetu halafu ndo na sisi tutumie yao....Mkuu, pana mtu mmoja alizungumza kama wenzetu nako hubadili majina kwa kuwaenzi wanasiasa wetu. Hivi unakumbuka wafalme (tumeaminishwa tuwaite watemi) wa nchi hii walioipigania haki yetu?
AU unataka uitwe nyerere hall?Kama tulivozoea kuona majini ya vitu hasa yaliyokuwa yakitumika tokea enzi ya mkoloni yakibadilishwa, mie nimeonelea ni wakati muafaka wa ukumbi huu wa 'Karimjee' nao ubadilishwe na kuita ama 'BUNGE HALL' kwa kuweka kumbukumbu nzuri ya kikao cha kwanza cha bunge letu kufanyika hapo.
Kumbuka pana majina ya mitaa kama Pugu, City Drive, Independence Avenue n.k. yamebadilishwa hivo sioni tija ya jina la Karimjee hapa.
Nadhani pana vitu vingine tulipewa masharti kutovibadili majina kwa hali yetu tuliyonayo.Anyway, nadhani, kwa mtazamo wangu, kama tumefaidika kitu fulani toka kwa mtu fulani, tunatumia jina la muhusika kuiita barabara au eneo husika. SI suala la kama wao wanatumia majina ya watu wetu halafu ndo na sisi tutumie yao....
Halafu kuna hili suala la kila kitu kukiita nyerere.....
Waswahili katika ubora wao...Kama tulivozoea kuona majini ya vitu hasa yaliyokuwa yakitumika tokea enzi ya mkoloni yakibadilishwa, mie nimeonelea ni wakati muafaka wa ukumbi huu wa 'Karimjee' nao ubadilishwe na kuita ama 'BUNGE HALL' kwa kuweka kumbukumbu nzuri ya kikao cha kwanza cha bunge letu kufanyika hapo.
Kumbuka pana majina ya mitaa kama Pugu, City Drive, Independence Avenue n.k. yamebadilishwa hivo sioni tija ya jina la Karimjee hapa.
Malimao yapo kwa ajili yenu akina dada..Absolutely right... i hate this name
Kwa mtazamo huu, kuna siku Tanzania tutaiiya Nyerere... maana kila kitu tutataka tukiite NyerereTuuite NYERERE HALL au vipi ?
utakuwa unawachukia wakina-kemchoAbsolutely right... i hate this name
Kweli unenayo maana kila kitu kipya na kizuri ni NYERERE utasema aliondoa ukoloni peke yake, huo ukumbi sifikirii kama una haja ya kabadilisha jina, tukitaka tusitake hii ni nchi ya mchanganyiko wa rangi ( waafrika wana idadi kubwa ila hata hao wahindi na waarabu hatufai kuwatenga), mabaya na mazuri, kila mmoja hufanya na haihukumiwi kabila ila mtendaji kosa ....nilisema ile kauli kwa kuwachikoza baadhi ya watuKwa mtazamo huu, kuna siku Tanzania tutaiiya Nyerere... maana kila kitu tutataka tukiite Nyerere