Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,405
5,031
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
 
Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Niwatakie mchana mwema
imepita hiyoooo bila kupingwa
 
Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Niwatakie mchana mwema
UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE CHAWA
 
FB_IMG_1715771188553.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Inatusaidia nini? Ajira, afya,elimu Bora?
Nimesoma makala ya, Jenerali ulimwengu, katika gazeti LA East African, anasema "political sycophants(uchawa), ulikuwepo hata kipindi cha Nyerere, walikuwepo waliojupendekeza, wakamuita Nyerere, mtukufu, na misemo Yao, zidumu fikra sahihi za mwenyekiti,kipindi hicho machawa, walipopitiliza, mpaka Nyerere mwenyewe,ikabidi awaonye kidogo, wanapitiliza mno,
Sasa huu uchawa wa Leo wa vijana, unatisha, kila mtu anasifia, ili mradi asikike, apewe ka uteuzi
Najaribu kuwaza Anapokuwepo Rais mwanaume, hawa vijana, kwa, Hari mbaya za uchumi walizonazo, hawapo taysri kweli kumpa...........!? Dar ni mawazo tu
 
Inatusaidia nini? Ajira, afya,elimu Bora?
Nimesoma makala ya, Jenerali ulimwengu, katika gazeti LA East African, anasema "political sycophants(uchawa), ulikuwepo hata kipindi cha Nyerere, walikuwepo waliojupendekeza, wakamuita Nyerere, mtukufu, na misemo Yao, zidumu fikra sahihi za mwenyekiti,kipindi hicho machawa, walipopitiliza, mpaka Nyerere mwenyewe,ikabidi awaonye kidogo, wanapitiliza mno,
Sasa huu uchawa wa Leo wa vijana, unatisha, kila mtu anasifia, ili mradi asikike, apewe ka uteuzi
Najaribu kuwaza Anapokuwepo Rais mwanaume, hawa vijana, kwa, Hari mbaya za uchumi walizonazo, hawapo taysri kweli kumpa...........!? Dar ni mawazo tu
Jenerali yupi Mkuu? Au ni huyo mrundi?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.

Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa

Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru

Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu

Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa

Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.

Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa

Niwatakie mchana mwema
Mwanza ibadilishwe iwe mkoa wa SAMIA
 
Back
Top Bottom