Una malengo km yng kbs inaonekana, km vp ntakuwa makamu wako Mr.presdent.. we should clean this country from all evils and sufferings it be by blood or peaceNatarajia kugombea kiti cha urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hapo baadae mungu akipenda,
Pamoja na majukumu mazito nitakayo kuwa nayo kubwa zaidi ni uchunguzi wa vifo vya harakaharaka vya hawa ma legends wawili,yaani Magufuli na Mkapa
Nitatumia vyombo vya ndani na vya kimataifa kubaini ukweli,mengi yamesemwa,nami kama binadamu ninalo langu moyoni nitapenda kujiridhisha.
Ni hayo tu,jioni njema kwa wote jukwaani
Ila kuna sifa za kua rais na hizo sifa umezikosaaaaHakuna aliezaliwa akiwa rais
I salute youUna malengo km yng kbs inaonekana, km vp ntakuwa makamu wako Mr.presdent.. we should clean this country from all evils and sufferings it be by blood or peace
Mliniga nini?, mbona kitete?Kwahiyo utapoteza rasilimali za nchi kwa matakwa yako, sio? Tayari una moja ya sifa za kuwa rais wa Tanzania. Endelea kiongozi.
Marais ni wengi siku hzi...hata mtaani kuna Marais wa mtaa pia mkuuUnachekesha nani akupe urais kwa akili yako iyo?
Nilisahau mkuuu asante kwa kunikumbushaMarais ni wengi siku hzi...hata mtaani kuna Marais wa mtaa pia mkuu
Bila kusahau uitishe uchunguzi dhidi ya LISSU kupigwa masasi, kuuawa kwa Ben Saanane, Azory na wengine. Ishi humo...Natarajia kugombea kiti cha urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania hapo baadae mungu akipenda,
Pamoja na majukumu mazito nitakayo kuwa nayo kubwa zaidi ni uchunguzi wa vifo vya harakaharaka vya hawa ma legends wawili,yaani Magufuli na Mkapa
Nitatumia vyombo vya ndani na vya kimataifa kubaini ukweli,mengi yamesemwa,nami kama binadamu ninalo langu moyoni nitapenda kujiridhisha.
Ni hayo tu,jioni njema kwa wote jukwaani
Kilala kheri mwambaHabari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio wengi wanashuku kifo cha Hayati Magufuli na kudhani kuwa kifo chake kina hujuma.
Serikali iheshimu mawazo ya watanzania tunaotilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka tukio la ule Moshi uliomfuata Hayati Magufuli mkoani Mtwara alipokuwa kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazidi kuwa na mashaka kuwa huenda zile zilikuwa baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwasi wetu unakuwa mwingi baada ya Habari kuwa nyingi za Hayati Magufuli kafariki kabla hata ya Serikali kutangaza huku picha za Gari la maiti ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini kina Tundu Lissu na Kigogo walikuwa wanapata taarifa na walikuwa na uhakika kabisa kuwa mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kabla Magufuli yupo hai viongozi walianguka kama kuku tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa hamna kiongozi hata mmoja aliyekufa?
Huwezi kusema ule ulikuwa uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea hivi na Serikal kukaa kimya huwezi jua Baadaye itakuwa na madhara gani pia hutojua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so ni bora Serikali ilimalize kwanza ili suala kwani kila siku mambo yanazidi kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hiyo hapo chini.
Acha muuaji afeHabari Watanzania, lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa nia mbaya ila nikutaka tu kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanaoshuku kuwa Hayati Magufuli kafanyiwa hujuma.
Baada ya kuona mambo mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani, ni wazi kabisa baadhi ya watanzania walio wengi wanashuku kifo cha Hayati Magufuli na kudhani kuwa kifo chake kina hujuma.
Serikali iheshimu mawazo ya watanzania tunaotilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.
Mimi Binafsi nikikumbuka tukio la ule Moshi uliomfuata Hayati Magufuli mkoani Mtwara alipokuwa kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazidi kuwa na mashaka kuwa huenda zile zilikuwa baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.
Pia wasiwasi wetu unakuwa mwingi baada ya Habari kuwa nyingi za Hayati Magufuli kafariki kabla hata ya Serikali kutangaza huku picha za Gari la maiti ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii
Kwanini kina Tundu Lissu na Kigogo walikuwa wanapata taarifa na walikuwa na uhakika kabisa kuwa mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa
Kwanini kabla Magufuli yupo hai viongozi walianguka kama kuku tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa hamna kiongozi hata mmoja aliyekufa?
Huwezi kusema ule ulikuwa uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.
Sasa ili kujiridhisha basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea hivi na Serikal kukaa kimya huwezi jua Baadaye itakuwa na madhara gani pia hutojua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so ni bora Serikali ilimalize kwanza ili suala kwani kila siku mambo yanazidi kupamba moto.
Video ya tukio la moshi hiyo hapo chini.
Duh...!Kama ni kweli kuna aliyemuua huyo muuaji apewe tuzo ya heshima