Napenda wanaume maarufu

Napenda wanaume maarufu

Utaondoka ww mie nipogo
Nilishakwambia wee mtusi umetumwa kazi maalum hapa tz ukagoma, unaona hapo penye red.
Na hao watu maarufu kama wanaingia humu wajionee wasikupe siri za nchi,tutaishia yale ya delila na samson.
 
Endelea nao hao sababu ni chaguo lako wala usipate tabu kubadili mawazo yako, fanya kitu vile moyo unapenda, maisha yenyewe mafupi
 
Wacha nimvutie wire King majuto mwenyewe naona kuna mlo watayari hapa hauitaji kunawa.
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo

Umevurugwa wewe sio bureeee.........nenda kwa Gwajima...naye ni Maarufu akaku-Flora na wewe!
 
hakkki wakina Komba wataendelea kufaidi wao tu..
eti aliyenacho anaongezewa...!!!!
 
10153054_801210926601944_55516355_n.jpg
 
Mimi nataka tigo na nawasiwasi na wewe..Dume jike kama mwanamke basi huna break kwenye tigo..Ushauri wachanyenge za mchana
 
Wasiojithamini na kujielewa ndio watakuwa na akili na mawazo kama yako, kumbuka kuna maisha baada ya huo umaarufu.
 
Kuondokana na hiyo hali usipende hao maarufu.....
It was ur decision at the first time.... Decide to do opposite now.
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo

Unahitaji maombi
 
Sikushangai.

Hii tabia nilijiulizaga mno ila nkasema poterea pote.

Tuanze shule ya msingi... Kuna videmu hujigonga kwa mamonita na viranja mpaka unaboeka. Unakuta unajipendekeza lakini yy anamshikilia kaka mkuu tu.

Sekondari nako kama msingi tu.

Chuo ndo mambo advanced. Kuna wanaomuangukiaga cr automatically na hawa viongozi basi wanajimegea watakavyo.

Hii ni tabia na mapendekezo ya mtu. Kama ukiwa na hao watu unahisi usalama. Endelea.

Unapojishangaa kuna watu wakiona mtu maarufu wanachefukwa na hata kuomba Mungu awaepushe. Sasa usijishangae. Maisha yanaendelea
 
Back
Top Bottom