Napenda wanaume maarufu

Napenda wanaume maarufu

Mimi Siyo maarufu kivilee Ila nawasimamia wasanii kadhaa hapa town Na Pesa ninayo ya kutosha vipi Sihitajiki? ?
 
Hahahahaha lol!!! Al Maarufu kabanga, ukiwa maarufu tu basi pichu inavuka yenyewe hata kabla hujaigusa 🙂🙂



mimi hapa jf ni maarufu je unalijua hilo...?
 
Last edited by a moderator:
^^
Jitahidi, unaweza kuwa First lady baadae. Ya Kesho mengi.
^^
 
Wewe sio mwanamke..Mpuuzi huna haja ya kuwepo dunia..
 
Njoo nikupe wangu,maharufu sana ili mladi mpime,maan kazi yake lazima apime akiwa kazini nje ya nchi,me mwanaume maharufu simwihitaji kwa Sasa
 
Wewe sio mwanamke..Mpuuzi huna haja ya kuwepo dunia..

Mamayako ndo mpuuzi wa mwisho,kama huna mpango au huna levo za kuwa maarufu tuliza hi chcho kipapa chKor. Wewe
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo
Mkuu nisaidie wameishakupitia wangapi? nafanya research ya kwa nini taifa hili lina viongozi maarufu lkn halisongi mbele.
si lazima uniwekee hapa unaweza kuniPM asante.
 
Unataka maarufu kufidia kujishtukia kwako. Inferiority complex.
Ni ugonjwa huo wa kisaikolojia. Jiamini!
 
Back
Top Bottom