Napenda wanaume maarufu

Napenda wanaume maarufu

Wapo macelebrity wa jf-mmu, vipi hao huwataki??
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo

Dawa ya kuondoa tatizo nilo ni kuendelea kuwa na watu hao maarufu
 
Wakuu heshima yenu

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town
Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo

Siku ukijitambua unaweza toa machozi,
nina hofu it will be late!
 
Ulishawahi date na mwanaume gani maarufu...???
Vipi mh.comber???
 
Maarufu wa aina gani maana hata Masud Sura mbaya ni maarufu.
 
ili uweze kuondokana na tatzo Lako
inabidi ufuate maelezo haya machache.


CHUKUA JIVU KIKOMBE KIMOJA CHA CHAI' PILIPILI KICHAA YA UNGA VIKOMBE 2. MAJI KIKOMBE KIMOJA .

CHANGANYA PAMOJA KWENYE KIFAA CHENYE UWEZO WA KUHIFADHI MCHANGANYO WAKO KWA MUDA MLEFU.

KISHA UTAKUWA UNAJIPAKA MARA TATU KWA SIKU NDANI YA SIKU SABA.

NB: BAADA YA MATUMUZI RUDISHA MREJESHO HAPA.
 
Natamani nijue umaarufu kwako unamaanisha nini? Mifano ingenisaidia zaidi.
 
Back
Top Bottom