Napenda ngono ila nimegundua haina faida kwenye michongo ya kupata pesa afadhari kunywa pombe

Kichwamoto

JF-Expert Member
Jan 21, 2019
3,353
4,536
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.

💯💯💯
 
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.


Ukiwa mwanamke sawa, ngono itakupa mchongo ila kwa mwanaume pombe ndo itakupa connection
 
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.

Umeeleweka fisi mmoja
 
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.

💯💯💯
Naunga mkono hoja
 
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.

Inaondoa stress jmn, akili inatulia tuli
 
Pamoja na kwamba mapenzi ni raha na ngono ni tamu, ila realistically speaking haina faida yoyote kipesa, mpaka sasa ukweli ni kwamba ngono ni miyeyusho sana bora kwenye pombe kuna michongo ya kupata pesa.

Naendelea kutafakari angalau nibaki na mademu wanne tu.

💯💯💯
Kheri mkuu. Ila usiwe ALCOHOLIC TU...
 
Back
Top Bottom