jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Lowassa si jiwe walilolikataa waashi?
Waashi hawajawahi kukataa jiwe, lowassa ni jiwe la barafu, waashi watalikubalije.
Lowassa si jiwe walilolikataa waashi?
Huwezi kumfananisha Lowassa na Nape hata siku moja Nape ni mdananda mbele ya Lowassa.
Lowassa rank yake ni rais Kikwete.
Huwezi kumfananisha Lowassa na Nape hata siku moja Nape ni mdananda mbele ya Lowassa.
Lowassa rank yake ni rais Kikwete.
Loo...! kumbe ufisadi ni itikadi ya CCM!Unataka akamnadi Nassari??. Tupo kwa ajili ya kuijenga Tanzania, kutofautiana kiitikadi ni jambo la kawaida.
Unataka akamnadi Nassari??. Tupo kwa ajili ya kuijenga Tanzania, kutofautiana kiitikadi ni jambo la kawaida.
Poor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!
NImeipenda hii. EL hana chake ndani ya CCM. KUna wabunge tena wengi walikuwa sponsored wakati wa kugombea ubunge kila mmoja sh. milioni tano. Sasa kazi wanayo. Watapiga makofi weeee lakini yataishia mjengoni.