Nape refutes Mnyika; TBC takes debate off air

Taarifa niliyoipata punde tido mhando ameamua kutorudia kipindi hiki kwasababu anazozijua yeye. Nimeongea na mzee simbeye ambaye amethibitisha hilo na kusikitika sana, lakini ameniambia wote nape na john pia wamestushwa na maamuzi hayo ya tv ya taifa!

Kuna habari zisizo rasmi john na nape kwa nyakati tofauti mwishoni mwa ile interview walizungumzia ufisadi na ndo maana hata siku ya kwanza ,interview ilikatishwa. Je kuna mkono wa mamvi kupitia tido???? Nyinyi kina nape tokeni ccm sasa maana kwakweli hamna chenu watu wa aina yako kwasasa.
 
wewe, hivi hujui huyu mtu anatafuta ulaji tu? kimsingi hakuna afadhali CCM,wote ni tatizo tu...

Usiseme hivyo, Unajua watu wengi wamechoshwa kabisa na hii hali ya Nchi kuwa kama ilivyo sasa hata sisiemu wenyewe hawapendi sema tu humo jikoni kuna wachawi wanaosababisha mambo yasiendelee kabisa,
Ila Nape kwajinsi alivyo ongea nilimwona kamaanisha kabisa.

Maana watu wengine kiukawaida kabisa wanaroho za huruma kama Pinda ni mtu mwenye huruma saana katika issue ya maalbino mpaka chozi likamdondoka kweupe hivyo ni ngumu sana kwa mtu kama pinda kufanya madhambi pia kunalimtu kikawaida kabisa nilikatili atalione mama anajifungua barabarani alisikii uchungu wowote, Hivyo basi hapa kwetu kuna watu wa aina zote mbili wanyenyekevu na wakatili wasio na huruma na kwasababu kuna wakatili wema pia wapo kama wakina Nape na wengine wengi tu sisiemu wamejaa.

Msisitizo tuombe Mungu atupe viongozi bora kwakuchagua wenyewe hatutaweza kujua yupi bora
 
Earlier in the program Nape had maintained that in politics, achievements of politicians can not be measured since there are no contracts made. He further called for review of the existing systems to ensure that contracts are made between the politicians and the people.

When given chance by the host of the Program Mr. Adam Simbeye to comment on the matter, Mr. Mnyika maintained that there are already contracts between the politicians and the voters. He maintained that according to the law of cotract, they can be written or unwritten; therefore the elections manifestos are written contracts while the electrol promises are verbal commitments that politicians are supposed to fulfil.


.....ndiyohiyo

Watu mmebeza hapa nilichoandika bila hata kunisoma vizuri. Wote Nape na Mnyika utetezi wao unaendana na nilichokiandika. Niliandika hapa 'earlier in the program', kitu kinachomaanisha kwamba Nape ndio alianza kusema kwamba hakuna contract kwenye siasa. Nikaandika hapa Mnyika alimpinga 'when given the chance to comment on the matter" akasema kuna contract. Sasa tatizo langu liko wapi? Yoyote aangalie tena kile kipindi ataona nilichoandika ndio kimetokea

........ndiyohiyo
 
Yap..una shida na hilo?

Shida ni English iliyotumika.

Nape Refutes Mnyika...............!!!!????

Hauwezi ku refute mtu una refute jambo au issue au kitu alichosema mtu....anyway mie sio mtaalamu sana labda akina Bluray waje waelezee.
 
Shida ni English iliyotumika.

Nape Refutes Mnyika...............!!!!????

Hauwezi ku refute mtu una refute jambo au issue au kitu alichosema mtu....anyway mie sio mtaalamu sana labda akina Bluray waje waelezee.

LMAO....wewe unamweleza Kibs kuhusu Kiingereza? Mwenzio huyo yai halipandi. Ikija kwenye Kiingereza mweupe peee
 
Wakuu heshima mbele.
vipi kipindi kilirudiwa na kama kilirudiwa mmepata fursa ya kukiangalia, nini kilichojiri.?

Wasalaam

MJ
 
Kipindi Hakijarudiwa may kwa Sababu ya Hotuba za Sherehe za Mapinduzi
 
Shida ni English iliyotumika.

Nape Refutes Mnyika...............!!!!????

Hauwezi ku refute mtu una refute jambo au issue au kitu alichosema mtu....anyway mie sio mtaalamu sana labda akina Bluray waje waelezee.

http://dictionary.reference.com/browse/refute

re⋅fute  /rɪˈfyut/ Show Spelled Pronunciation [ri-fyoot] Show IPA

–verb (used with object), -fut⋅ed, -fut⋅ing.
1. to prove to be false or erroneous, as an opinion or charge.
2. to prove (a person) to be in error.
 
Wakuu heshima mbele.
vipi kipindi kilirudiwa na kama kilirudiwa mmepata fursa ya kukiangalia, nini kilichojiri.?

Wasalaam

MJ


Taarifa nilizopata ni kwamba kipindi hakikurudiwa jana, ila kuna uwezekano kikarudiwa leo saa 9 alasiri kwa saa za hapa nyumbani

JJ
 
Taarifa niliyoipata punde tido mhando ameamua kutorudia kipindi hiki kwasababu anazozijua yeye. Nimeongea na mzee simbeye ambaye amethibitisha hilo na kusikitika sana, lakini ameniambia wote nape na john pia wamestushwa na maamuzi hayo ya tv ya taifa!

Kuna habari zisizo rasmi john na nape kwa nyakati tofauti mwishoni mwa ile interview walizungumzia ufisadi na ndo maana hata siku ya kwanza ,interview ilikatishwa. Je kuna mkono wa mamvi kupitia tido???? Nyinyi kina nape tokeni ccm sasa maana kwakweli hamna chenu watu wa aina yako kwasasa.


Achebe

Nimeongea na TBC (naomba nisiwataje kwa majina kwa kuwa nimezungumza si kwa nia ya kuja kutaja hapa mazungumzo ya faragha).

1. Nimeelezwa sababu za kipindi kukatwa siku ile ya kwanza.

2. Nimeelezwa pia sababu ya kipindi kutokurushwa jana.

Sababu nilizoelezwa hajionyeshi mazingira ya hujuma; ingawa ni muhimu katika siku zijazo kuwa mpangilio mzuri zaidi.

Hivyo, tuendelee na mjadala kuhusu maudhui ya kipindi husika ambacho kama nilivyodokeza awali; nimethibitishiwa kuwa kitarudiwa leo Saa 9 Alasiri

JJ
 
Hizo ni saa za kazi, wataangalia watoto waliotoka shule na mahouse girls and boys.

Mapinduzi

Umenichekesha sana!. Zipo ofisi zenye TV, wapo pia wanahabari ambao kufanya monitoring ya vyombo vingine ni sehemu ya kazi yao ili kujua yanayoendelea. Vipo pia vitengo vingine hususani vya kiusalama navyo hufanya kazi hizo. Lakini wapo wengine kwa sababu moja au nyingine bado leo wanaendelea na 'mapinduzi'.

JJ
 
Mapinduzi

... Zipo ofisi zenye TV, . ....

JJ

JJ,

hizo ofisi zenye TV, wafanyakazi wanaruhusiwa kuacha kufanya kazi na kuconcentrate kwenye vipindi vya TV?

Pata picha wasomaji wamesoma hapa habari kwamba 'Nape refutes Mnyika', then wanajua saa tisa alasiri hicho kipindi kitarushwa, lazima watu wenye TV ofisini kwao watataka waone ulivyokuwa refuted.
 
Back
Top Bottom