Nape refutes Mnyika; TBC takes debate off air

Nape

Kwa jibu lako unaama kwamba John Mnyika ametudanya hapa? Maana yeye amethibisha hapa kuwa ulisema kwamba kwenye siasa hakuna mkataba(contract).
Na amesema hapa kuwa akaeleza kwamba kwa maoni yake kuna contract kama ilani na ahadi.

Unaweza kutuambia kipindi chenu kinarushwa tena kesho saa ngapi ili sisi tulio hapa Tanzania tukione wenyewe tushuhudie hoja mlizozitoa siku hiyo tufahamu ukweli wote?

- Nape, amesema alichosema ni kwamba chama cha siasa kinatakiwa kuwa na Social Contract na wapiga kura, yaani wananchi yeye akiita ni ilani mkuu wapi hujaelewa hapo? Soma hapa chini alichosema Nape:-

Na nikaendelea kwa kusema, na huu ndio mtazamo wangu juu ya hili, nafahamu kuna contracts za aina nyingi sana, katika siasa kuna kitu tunaita Social contract. Ilani ya uchaguzi inafaa kuwa social contract kati ya Chama cha siasa na mpiga kura...

Respect.


FMEs!
 
- Nape, amsema alichosema ni kwamba chama cha siasa kinatakiwa kuwa na Social Contract na wapiga kura, yaani wananchi yeye akiita ni ilani mkuu wapi hujaelewa hapo?

Respect.


FMEs!

Hilo si jibu la swali alilouliza Serayamajimbo.

Jibu analo Nape ana anaweza kuanza kwa kusema "Ndiyo ni muongo" au "Si muongo" kwa sababau hii na ile.

Anayezungumziwa hapa kwenye kisehemu hiki ni Mnyika, iweje utake kutosheleza jibu kwa maneno ya Nape?
 
Hilo si jibu la swali alilouliza Serayamajimbo.

Jibu analo Nape ana anaweza kuanza kwa kusema "Ndiyo ni muongo" au "Si muongo" kwa sababau hii na ile.





Nape

Kwa jibu lako unaama kwamba John Mnyika ametudanya hapa? Maana yeye amethibisha hapa kuwa ulisema kwamba kwenye siasa hakuna mkataba(contract).


Nape

Na nikaendelea kwa kusema, na huu ndio mtazamo wangu juu ya hili, nafahamu kuna contracts za aina nyingi sana, katika siasa kuna kitu tunaita Social contract. Ilani ya uchaguzi inafaa kuwa social contract kati ya Chama cha siasa na mpiga kura
...

Kwa hili hatuhitaji mate maana wino upo hapa hapa!


FMEs!
 
Unafahamu tofauti ya social contract na legally binding contract? Mbona humwachi mwenyewe ajibu?
Kwakuwa sijalala bado, Kiranga unataka nijibu nini? Ni kipi sijajibu? Kipindi kinarudiwa kesho mchana sikumbuki saa ngapi......
 

Kwa hili hatuhitaji mate maana wino upo hapa hapa!


FMEs!

Sehemu nyingine zote Nape amejitahidi kurekebisha misrepresentation iloyoletwa hapa kuhusu maneno yake katika debate ile, na alipata endorsement ya Mnyika; jambo hilo limefanya mjadala huu kuwa wa kuvutia na wenye mantiki sana. Hata hivyo kwenye hiyo point ya contract bado Nape na Mnyika wanapishana. Ni vizuri sana wainyooshe, kwa sababu nadhani ndiyo iliyoibua explosion ya mjadala huu na kuvuta hata wale waliokuwa pembeni.
 
naona kuna bromance kati ya Nape na Mnyika.Ubungo haigawiki ile lakini.

Swali lilikuwa huyo Mnyika aliyesema kwamba wewe umesema hakuna contract kadanganya?
 
Unafahamu tofauti ya social contract na legally binding contract? Mbona humwachi mwenyewe ajibu?

- Maelezo ya Nape, nimeyaelewa kama ni Social Contract ya wanasiasa ninaikumbuka sana ile ya kina Gingrichna Republicans, sasa sielewi, legal binding contract inatafuta nini kwenye siasa,

- Labda unieleweshe mkuu unaongelea nini maana sioni kuhusika kwa legal binding contract na siasa, au?

es!
 
naona kuna bromance kati ya Nape na Mnyika.Ubungo haigawiki ile lakini.

Swali lilikuwa huyo Mnyika aliyesema kwamba wewe umesema hakuna contract kadanganya?

Nakushauri kesho mchana kama upo bongo angalia kipindi toka mwanzo mpaka mwisho,kama haupo Bongo watakaoangalia wataeleza hapa.
 
Nakushauri kesho mchana kama upo bongo angalia kipindi toka mwanzo mpaka mwisho,kama haupo Bongo watakaoangalia wataeleza hapa.

Hujaweza kunisaidia.

Sipo bongo na nilitaka kusikia "from the horse's mouth" .
 
Nakushauri kesho mchana kama upo bongo angalia kipindi toka mwanzo mpaka mwisho,kama haupo Bongo watakaoangalia wataeleza hapa.

- Mkuu umesikika tutasubiri kesho, tukishaiona ndio tutakwua na maswali, si upo anyways, hakuna haraka sana, otherwise ahsante sana kwa kujitolea kuja kutoa maelezo hapa wewe na mwenzako Mnyika, saafi sana tunataka vijana wa aina hii yenu katika uongozi!

Respect.


FMEs!
 
- Mkuu umesikika tutasubiri kesho, tukishaiona ndio tutakwua na maswali, si upo anyways, hakuna haraka sana, otherwise ahsante sana kwa kujitolea kuja kutoa maelezo hapa wewe na mwenzako Mnyika, saafi sana tunataka vijana wa aina hii yenu katika uongozi!

Respect.


FMEs!

Sasa mbona unamfanya kama Mariah CArey aliyekunywa one too many unamkimbiza off stage?

Mwanasiasa anaogopa challenge ya kwenda toe to toe na wananchi anawaambia wasubiri kipindi wakati yeye yupo hapa?
 
- Too low kwangu kujibu hii! Otherwise nitasubiri kesho nione kwanza hiyo shoo kama alivyoshauri mwenyewe, saa hizi bongo ni suiku sana kesho kuna kazi, ndio maana nimemuelewa Nape na Mnyika pia.

es!
 
Kumbe Nape naye ni bogus; inaelekea anataka politics kwa kuamini kuwa akiwa huko hata akifanya madudu hatafanyiwa lolote kwa kuwa anadhani kuwa hakuna kipimo cha utendaji wa politicians. Ni view hii ya politicians wetu ndiyo iliyotuleta hapa kwa vile waoa wanaamaini kuwa akishafiki huko mbele basi hana mkataba na raia tena. Upuuzi kabisa huo.

Mnyika was 100% right; nawashangaa sana wanaopinga ukweli huo. Huyu Nape anayedai kuwa IN POLITICS...blah blah blah.... sijui ana maana gani wakati tunajua kuwa marekani huwaondoa wanasiasa wao madarakani wanaposhindwa kutekeleza ahadi zao hata kabla ya muda wao haujaisha; kinachotakiwa ni utaratibu wa kisheria kufuatwa kufanya hivyo. Ndiyo maana wabunge na magavana wote wa marekani wana utaratibu wa kuwa na websites na kupeleka Newsletters kwa waananchi wao kuelezea walichofanya kulingana na ahadi zao; vile vile wana wasadizi wanaokaa majimboni kuhakikisha kuwa wanawafahamisha wananchi kila jambo linalofanywa na mbunge wao.
Mkuu, ni kweli kuwa katika siasa za Tanzania, hakuna mkataba wowote kati ya wapiga kura na wanasiasa. Ni jambo la kusikitisha na ambalo halimpendezi yeyote. Nadhani ndio maana Nape anaonekana bogus, kama ulivyosema hapo juu. Wabunge na Rais wa Jamhuri wanaapa kutekeleza majukumu yao kama yalivyoainishwa kwenye Katiba ya nchi, na wala sio kama walivyoahidi kwa wananchi. Na huo ndio mkataba walionao. Wakikiuka mkataba huo, mkataba unaweza kuwa terminated. Hakuna mwanasiasa wa Tanzania anaeweza kutekeleza majukumu yake kikatiba akawa amekiuka mkataba alionao kwa Taifa. Nadhani pia, ndio maana Nape alisema alichokisema.

Kwa upande mwingine, nadhani Nape hakutakiwa kuusema ukweli huo kwa kipindi hiki na kwa watu kama sisi ambao hatupendi kuusikia ukweli kama huo. Watanzania wengi wanapenda kusikia yale wanayotaka kuyasikia tu.
 
Ndugu zangu habarindiyohiyo ana haja ya kutiliwa shaka.

Nape amesema haku M-refute Mnyika na wote wamesema hapa kuwa waliweka
maslahi ya taifa mbele zaidi ya chama.

Huyu bwana ye katulia kimyaaaa......kazi ipo.
 
Achilia mbali kama kipindi hicho kilioneshwa kwa Kiingereza, kiswahili au kiswa-kinglish...
Ni kweli kwamba kuna mkataba kati ya wapiga kura na waliochaguliwa kushika madaraka kwa niaba yao... ugumu ni kwamba wapigaji kura wameshindwa kuwekewa mazingira ya ku-enforce wao-breach mkataba huo kitu ambacho inabidi kiangaliwe hivyo nafikiri thread hii ingepelekwa kule kwenye jukwaa la sheria ili watu washuke zaidi...

Na kwa Kwa macho ya Nape pekee kama yumo humu JF.

Asome http://www.expertlaw.com/library/business/contract_law.html na atakutana na haya yafuatayo:
Meaning of 'contract'
Whilst it's probably impossible to give one absolute and universally correct definition of a contract, the most commonly accepted definition is:

'a promise or set of promises which the law will enforce' (Pollock Principles of Contract (13th Edn) 1) The expression 'contract' may, however, be used to describe any or all of the following:
  1. that series of promises or acts themselves constituting the contract;
  2. the document or documents constituting or evidencing that series of promises or acts, or their performance;
  3. The legal relations resulting from that series, therefore
4. A contract intends to formalize an agreement between two or more parties, in relation to a particular subject. Contracts can cover an extremely broad range of matters, including the sale of goods or real property, the terms of employment or of an independent contractor relationship, the settlement of a dispute, and ownership of intellectual property developed as part of a work for hire.
5. The Elements of a Contract
6. Typically, in order to be enforceable, a contract must involve the following elements:

7. A "Meeting of the Minds" (Mutual Consent)
8. The parties to the contract have a mutual understanding of what the contract covers. For example, in a contract for the sale of a "mustang", the buyer thinks he will obtain a car and the seller believes he is contracting to sell a horse, there is no meeting of the minds and the contract will likely be held unenforceable.
9. Offer and Acceptance
10. The contract involves an offer (or more than one offer) to another party, who accepts the offer. For example, in a contract for the sale of a piano, the seller may offer the piano to the buyer for $1,000.00. The buyer's acceptance of that offer is a necessary part of creating a binding contract for the sale of the piano.
11. Please note that a counter-offer is not an acceptance, and will typically be treated as a rejection of the offer. For example, if the buyer counter-offers to purchase the piano for $800.00, that typically counts as a rejection of the original offer for sale. If the seller accepts the counter-offer, a contract may be completed. However, if the seller rejects the counter-offer, the buyer will not ordinarily be entitled to enforce the prior $1,000.00 price if the seller decides either to raise the price or to sell the piano to somebody else.
12. Mutual Consideration (The mutual exchange of something of value)
13. In order to be valid, the parties to a contract must exchange something of value. In the case of the sale of a piano, the buyer receives something of value in the form of the piano, and the seller receives money.
14. While the validity of consideration may be subject to attack on the basis that it is illusory (e.g., one party receives only what the other party was already obligated to provide), or that there is a failure of consideration (e.g., the consideration received by one party is essentially worthless), these defences will not let a party to a contract escape the consequences of bad negotiation. For example, if a seller enters into a contract to sell a piano for $100, and later gets an offer from somebody else for $1,000, the seller can't revoke the contract on the basis that the piano was worth a lot more than he bargained to receive.
15. Performance or Delivery
16. In order to be enforceable, the action contemplated by the contract must be completed. For example, if the purchaser of a piano pays the $1,000 purchase price, he can enforce the contract to require the delivery of the piano. However, unless the contract provides that delivery will occur before payment, the buyer may not be able to enforce the contract if he does not "perform" by paying the $1,000. Similarly, again depending upon the contract terms, the seller may not be able to enforce the contract without first delivering the piano.
17. In a typical "breach of contract" action, the party alleging the breach will recite that it performed all of its duties under the contract, whereas the other party failed to perform its duties or obligations.
18. Additionally, the following elements may factor into the enforceability of any contract:
19. Good Faith
20. It is implicit within all contracts that the parties are acting in good faith. For example, if the seller of a "mustang" knows that the buyer thinks he is purchasing a car, but secretly intends to sell the buyer a horse, the seller is not acting in good faith and the contract will not be enforceable.
21. No Violation of Public Policy
22. In order to be enforceable, a contract cannot violate "public policy". For example, if the subject matter of a contract is illegal, you cannot enforce the contract. A contract for the sale of illegal drugs, for example, violates public policy and is not enforceable.
23. Please note that public policy can shift. Traditionally, many states refused to honour gambling debts incurred in other jurisdictions on public policy grounds. However, as more and more states have permitted gambling within their own borders, that policy has mostly been abandoned and gambling debts from legal enterprises are now typically enforceable. (A "bookie" might not be able to enforce a debt arising from an illegal gambling enterprise, but a legal casino will now typically be able to enforce its debt.) Similarly, it used to be legal to sell "switchblade kits" through the U.S. mail, but that practice is now illegal. Contracts for the interstate sale of such kits were no longer enforceable following that change in the law.
24. Oral Contracts
25. There is joke that "an oral contract isn't worth the paper it's written on". That's a reference to the fact that it can be very difficult to prove that an oral contract exists. Absent proof of the terms of the contract, a party may be unable to enforce the contract or may be forced to settle for less than the original bargain. Thus, even when there is not an opportunity to draft up a formal contract, it is good practice to always make some sort of writing, signed by both parties, to memorialize the key terms of an agreement.
26. At the same time, under most circumstances, if the terms of an oral contract can be proved or are admitted by the other party, an oral contract is every bit as enforceable as one that is in writing.

27. Please note that, although sometimes an oral contract is referred to as a "verbal contract", the term "oral" means "spoken" while the term "verbal" can also mean" in words". Under that definition, all contracts are technically "verbal". If you mean to refer to a contract that is not written, although most people will recognize what you mean by "verbal contract", for maximum clarity it is helpful to refer to it as an "oral contract

Kugombea uchaguzi ni sawa kabisa na ku-bid kwenye tender. Wapiga kura wanachokifanya ni ku-evaluate na kuchagua bidder anaefaa. Katika kuchagua hakuna contract. Contract inakuwepo baada ya bidder kuwa selected na kuapa kutekeleza majukumu yake kama anavyotakiwa. Na katika hili, mkataba pekee ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nothing more.

Haiwezekani kukawa na contract moja kati ya wananchi na bidders wengi (kabla ya selection/election). Kama hivyo sivyo, je wale wanaokuwa wamepata kura chache (na kushindwa uchaguzi) nao wanakuwa na mkataba na waliowapa kura zao? Maana mshindi wa uchaguzi hatakuwa na la kuwatekelezea wale ambao hawakumchagua. Ama sio?
 
Muda wa Marudio ya Kipindi imekuwa siri, nahisi kuna kitu kinafichwa hapa ngoja niusakanye nikiupata nauweka hapa ili kila mtu aone na tuache kujadili speculations
 
Back
Top Bottom