Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Hebu tujadili mambo ya kitaifi, ishu kama hii haina tija kwa taifa. Mimi huwa naheshimu sana mtu anayekuja na hoja zinazohusu wananchi moja kwa moja na si mambo binafsi.
 
hivi vyama sasa vinapotea njia sasa, watanzania hawaitaji nani ni nani.alifanya nini na wapi.
they want food on the table.tuongee kutokomeza umaskini siyo nape,mpendazoe hao wote ni opportunist.binafsi namfahamu sana nape na yeye analijua hilo his weekeness and strong lakini kuziweka hapa haziwasaidii wa tz.kwahiyo mkuu FS na wewe usiingie kwenye mtego huo.

Ndugu yangu, usahuri wako ni mzuri na kama unajua hilo la kutokomeza umaskini na umesema unajuana na Nape kihivyo then mshauri azungumzie hilo la kutokomoeza umaskni na si mshahara wa Dr Slaa...Tena atakusikiliza coz umesema mnajuana sana, mpaka unajua udhaifu wake na nguvu zake!Kweli ninyi ni watu/marafiki wa karibu sana..
 
Sasa naelewa ni kwanini walijiita "Sisi jee?" Means waliona wameachwa kwenye ulaji,wakapiga kelele,wamepewa ulaji sasa wamegeuka attacking dogs.Ni bora wangesema ukweli tu kuwa Mpendazoe hawakumfavor kwasababu si mtoto wa Kigogo,ama hajatokea kwenye lile tabaka.

Hahahaha..tehetehetehetehe..kwikwikwikwikwi...Umenifurahisha sana mkuu...
 
Sasa naelewa ni kwanini walijiita "Sisi jee?" Means waliona wameachwa kwenye ulaji,wakapiga kelele,wamepewa ulaji sasa wamegeuka attacking dogs.Ni bora wangesema ukweli tu kuwa Mpendazoe hawakumfavor kwasababu si mtoto wa Kigogo,ama hajatokea kwenye lile tabaka.

- Mushi this kind of foolish politics zinawezaje kulisaidia taifa letu? Mpendazoe amekimbia kwa kutishiwa tu bila kuwa na all the facts, sasa huyu ni kiongozi makini kweli wa kuaminiwa na wananchi? Sasa hivi CCM imewaambia mafisadi waondoke ni kwa sababu wameshatathmini kwamba hawawahitaji tena, ndio siasa zinavyochezwa, usije shangaa kuja kusikia kwamba ni CCM wenyewe ndio walioanzisha CCJ kupima upepo, angalia maneno ya Nape,

- Mpendazoe angejiuliza CCJ ilikufaje? Na wewe jiulize Chadema wata-gain nini na this kind of debates?


Es!
 
- Hivi vita vya kelele zisizo na tija kwa taifa haviwezi kuisaidia Chadema kwa sababu vinaisaidia CCM kutojadili hoja muhimu kwa taifa, na the more vikiendelea ni the more Chadema will lose, Marando alikuwa anatafuta nini kwenye ndege ya Rais Mkapa kila wakati, kule EAC alipelekwa na nani? ha! ha! ha! ndio maana ninasema kwa njia hii mpya ya kuchafuana Chadema will pay more kuliko CCM ambao wamezoewa na machafu!

Es!

Hata mimi nawashangaa nape anawachezesha CDM naanza kupata wasiwasi na umakini wao kama nape anawasumbua hivi je wenye CCM yao wakirudi CDM watahimili,maana mimi namfahamu nape hasa uwezo wake.
 
hivi vyama sasa vinapotea njia sasa, watanzania hawaitaji nani ni nani.alifanya nini na wapi.
they want food on the table.tuongee kutokomeza umaskini siyo nape,mpendazoe hao wote ni opportunist.binafsi namfahamu sana nape na yeye analijua hilo his weekeness and strong lakini kuziweka hapa haziwasaidii wa tz.kwahiyo mkuu FS na wewe usiingie kwenye mtego huo.

- Mkuu huwa ninasema mara nyingi siwezi kukosa usingizi na what we dont have, kwa sababu this nonsense is all what we have so!

Es!
 
Mkuu CCM kama chama cha siasa lengo lake ni kuendelea kuongoza serikali, hawawezi kujimaliza wenyewe, na ndio sababu ya kujivua gamba.

Huu ndio ujumbe wa Nape juu ya CCM Mpya....

“Lakini pia kule Dodoma tumetoka na maazimio kadhaa lakini kubwa ni kwamba tunaelekea katika mambo mapya, tumesema ‘Towards New CCM.’ Kwa hiyo tutakiimarisha chama kuanzia ngazi ya chini kabisa. Kama nilivyosema awali kwamba tunaboresha mfumo wa kuwapata wanachama wapya.”

Nape anasema kwa mfumo wa siasa uliopo leo, CCM haikuwa na njia nyingine zaidi ya kukubali mabadiliko hayo makubwa kuwahi kufanyika ndani ya chama hicho kwa maslahi ya chama na Tanzania kwa ujumla.

“Kuna mapinduzi makubwa yanakuja. Viongozi wetu wajipime upya. Maadili kwa wengi wao yamepotea. Kwa hiyo basi nawaomba wajipime upya kama kuna mtu anajiona ni mchafu na hataki kubadilika basi ajiondoe kabla ya kuondolewa,”

Katibu huyo wa NEC Itikadi na Uenezi aliwataka wanachama wa CCM ambao walihama kwa hasira au kutokana na ufisadi, warudi kwani sasa Chama ni kipya.

“Sasa tunajenga CCM mpya kwa mazingira na mahitaji ya wanachama... hakuna sababu ya kununa tena. “Nimepata salamu nyingi ya watu, hasa vijana kutaka kurudi baada ya kujivua gamba, nasema rudini,”

alisisitiza. Alisema kazi ya kijivua gamba kwa Chama itaendelea kwa awamu hadi kufikia ngazi zote.


Sasa wakati Nape akiendelea kuutangaza ujumbe huu, Mpinzani anakuja na kuanza kumfagilia bila kujua kuwa huyu jamaa alikuwa hapendezwi na mambo yalivyokuwa yanaenda ndani ya CCM na alikuwa na mpango wa kuunda chama cha kupingana na ile CCM ya Zamani, huku si kumfanya aonekane ni mtu makini zaidi na anayejua analolifanya?huku si kuufanya ujumbe wake wa CCM Mpya uaminike zaidi kwa wananchi?tafakari..

Shombo!
 
Hebu tujadili mambo ya kitaifi, ishu kama hii haina tija kwa taifa. Mimi huwa naheshimu sana mtu anayekuja na hoja zinazohusu wananchi moja kwa moja na si mambo binafsi.

kukidhoofisha chama tawala kwa kutoa siri ndiko kunako changia serikali kutotawalika, na Nape anatuhumiwa kwa kutoa siri za vikao vya chama, tuachane na mkakati wao wa kuanzisha CCJ. Tuhuma zinatosha kwake kujiondoa CCM kabla haijamlazimu Rais kumfukuza
 
Hili swala la mpendazoe is not 'discussable' hakuna kosa la Nape wala siyo kashfa ..

Get life , leteni hoja jamani , huu sasa ni utoto
 
Huu ni upuuzi,hakuna hoja hapa.Tafuteni lingine la kumsakama Nape,lakini si kuwa mmoja wa waanzilishi wa CCJ
 
- Hivi vita vya kelele zisizo na tija kwa taifa haviwezi kuisaidia Chadema kwa sababu vinaisaidia CCM kutojadili hoja muhimu kwa taifa, na the more vikiendelea ni the more Chadema will lose, Marando alikuwa anatafuta nini kwenye ndege ya Rais Mkapa kila wakati, kule EAC alipelekwa na nani? ha! ha! ha! ndio maana ninasema kwa njia hii mpya ya kuchafuana Chadema will pay more kuliko CCM ambao wamezoewa na machafu!

Es!
Great thinker naona unaanza kupoteza direction kwa upenzi wa kupita kiasi can you elaborate(red) una maana CCM isipojadili hoja muhimu ndiyo inafaidika you can't be serious!!!, huoni kwa CCM kupotezwa direction ndiyo kinazidi kujichimbia kaburi na Chadema kupata kitu cha kusema mbele ya wananchi have a break my friend naona focus inapungua!!
 
Huna lolote, kwani tuhuma za Nape dhidi ya Chadema si alitoa akiwa Singida? Au wananchi wa Singida wameendelea kuliko wa Mbamba Bay? Hakika CCM inaelekea kufa maana ubaguzi na dharau kwa wananchi imeshamiri kiasi hiki.Iwe Mbamba bay au Dar ujumbe umefika na ndio maana wewe uliyepo mjini umepata taarifa hii. Halafu kwamba Nape hakupata nafsai ya kujibu wewe sio mfuatiliaji au unaleta ushabiki. Hivi kuwa CCM akili lazima zihamie tumboni? Siku zenu zinahesabika

Achana nae huyo amepagawa ndo maana anatoa fyongo, siri imevuja hata wenyewe walikuwa hawajui sasa wanachachawa! mtu loyal na
makini huwa anahama chama? unakomaa nao kwa kufata taratibu zilizopo mpaka wakufanyie fitna wakufukuze then ndo unacheki utaratibu mwingine. NAPE amesanda!
 
we dickson,hebu jaribu kuwa mtu mzima,si wewe na mpendazote mlokuwa na mkakati wa kuhakikisha CCJ inakufa ili kuimarisha chadema? na yakini kwa kuwa nilikuwa pale makuu ya CCJ kabla na baada ya uharimia wenu wewe,mpendazote na richard,nawajua kindakindaki,mwacheni nape ni mpiganaji wa ukweli,sio longolongo!

Kaka, umri wangu bado mdogo sana sasa siwezi kimbilia huo utuuzima unaousema....Nashukuru kwa kutuingiza katika mkakati wa kuiua CCJ...lakini waswahili wanasema!USILOLIJUA NI USIKU WA GIZA....Siwezi kubishana na wewe kaka ila ujue hakuna kitu tulichokifanya mimi na Mpendazoe bila ridhaa ya hao waanzilishi wa CCJ akiwamo bwana Nape....
 
Hili swala la mpendazoe is not 'discussable' hakuna kosa la Nape wala siyo kashfa ..

Get life , leteni hoja jamani , huu sasa ni utoto
Hakuna mtu aliyesema ni kosa kuhama chama ila hapa tunajadili uaminifu na unafiki wa wanasiasa wanao hamahama au wanaobaki kwenye chama kwa maslahi yao.
 
Mimi nafikiri Nape ni mwanaharakati na yupo katika kutafuta umaarufu kisiasa na kujijenga kisiasa na mambo haya ni muhimu katika ulingo wowowte unaohusisha siasa.

Nape hakufanya kosa kushiriki kuanzisha chama kipya na anaonekana anafaaa katika "set up" yoyote ile ya kamati kuu ya CCM "provided" ametikisa watu fulanifulani ambao ni miamba katika "corridors of power" ndani ya CCM.

Fred Mpendazoe na Nape Nnauye wote ni wanaharakati hivyo wale wote wenye kuelewa watatambua mchango wa watu hawa wawili na nini malengo yao.

Isipokuwa Nape kwa akili yake changa ya kisiasa alikosea pale alipoanza mchezo huu wa kuagizwa aseme na yeye akakosea kufikisha ujumbe ukiwa katika ile "original form."
 
Hili swala la mpendazoe is not 'discussable' hakuna kosa la Nape wala siyo kashfa ..

Get life , leteni hoja jamani , huu sasa ni utoto

Slaa kulipwa milioni 7.5 ni hoja, ila Nape kuasisi CCJ siyo hoja?

kweli ni kazi ngumu kuwa mnafiki!
 
Great thinker naona unaanza kupoteza direction kwa upenzi wa kupita kiasi can you elaborate(red) una maana CCM isipojadili hoja muhimu ndiyo inafaidika you can't be serious!!!, huoni kwa CCM kupotezwa direction ndiyo kinazidi kujichimbia kaburi na Chadema kupata kitu cha kusema mbele ya wananchi have a break my friend naona focus inapungua!!

- As much as I like to hear really ishus, sina jinsi isipokuwa kujadili this nonsense, ambazo ni good kwa CCM kwa sababu inawapa nafasi ya kutojadili serious ishus muhimu kwa taifa na their respeonsibilities as watawala, focus ni lazima ipungue ninapoona wakombozi wangu wameanza kujikita kwenye nonishus kwa taifa na kuwatumia kina Mpendazoe, wachumia tumbo!

- CCM haipotezi direction wala focus kwa kulazimishwa kujadili CCJ, chama ambacho hakipo na wala none of us knows exactly what and who was behind it, Chadema should discuss really ishus, ama sivyo watatupoteza wananchi wote na what they stand for especially na non ishus kama hizi za kina Mpendazoe!

- I mean who is Mpendazoe in Chadema?


ES!
 
mugeukie namna ya kutatua kero za watz!

Kwanini unafikiria cdm wawatatulie watz kero zao? Kwa ridhaa ipi waliopewa? Wa tz wenyewe mliwasikiliza wagombea wote mwaka 2010 akiwemo wa cdm mkamchagua wa ccm, leo mnalia na cdm iwatatulie kero zenu? Huu ni unafiki!
 
Back
Top Bottom