Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

nape yuko bize kuwaaminisha watanzania hivi:CDM wakristo , mwishowe ataambulia CCM Waislam
 
Hivi unadhani watu wote wana akili kama yako. Shame on you! Hivi wewe unajua kuliko Mpendazoe au Kiyabo. Mbona walipokuwa wanazungumzia hiyo CCJ hili hawakulizungumzia? Unafikiri kama Mpendazoe alikwenda mbele kuzungumzia waasisi na kuwataja, hili angeliachaje wakati lilikuwa na maana kuliko hata hayo majina ya waasisi. Hebu tuache tupumue na kufanya mambo ya msingi na wewe tafuta njia nyingine ya kulipa madeni yako ya kutumika!
Taratibu Mbopo kumbe mnabanwa Eeeee 'Hebu tuache tupumue' sasa nimeleewa kumbe CDM inawabana, kamanda Mbowe kaza uzi wanahemea juu juu, ila cha msingi kama kweli hakurudisha pesa za pango ni aibu si kwake tu ila kwa chama anachokiongoza.
 
:biggrin1: Mr Ng'hily hongera kwa comment zako, muhimu zaidi katika siasa za nchini hivi sasa ni kama vile tumeacha magugu na ngano vimee vyote then wakati wa mavuno tutatenganisha ngano na magugu "if all factors will remain coctant":biggrin1:
 
kuna mchangia huko juu kase tuwaache wapumue hii inamaana tumewabana..
 
avatar28946_2.gif

huyu jamaa ana majibu ya kutosha
 
kuna mchangia huko juu kase tuwaache wapumue hii inamaana tumewabana..
Ndiyo maana yake na hasa ikisemwa na mtetezi wao mkuu jua hiyo kauli inawakilisha hali halisi ilivyo huko ndani.
 
Baada ya siri ya waanzilishi wa CCJ kuwekwa wazi na Mpendazoe siku chache zilizopita imefahamika wazi kuwa Nape ndiye aliyepewa jukumu la kukusanya misaada na michango ya chama kutoka sehemu mbali mbali za ndani na nje ya nchi likiwemo jukumu la kutafuta pango la chama. Inasemekana baada ya msajili wa vyama kukinyima usajili chama hicho waanzilishi wake walisambaratika bila kufikia mwafaka wa nini kifanyike baada ya hapo ikiwa ni pamoja na mgawanyo wa mali zilizopatikana. Nape alikuwa na baadhi ya mali hizo na inasemekana(nimedokezwa) kuwa mali hizo hajazikabidhi kwa wahusika kwa hofu ya kufahamika lakini habari zingine zinasema baadhi ya wenye mali na waliochanga wanajipanga kuzidai hadharani endapo mwafaka hautafikiwa mapema. Kama tuhuma hizi ni za kweli itakapokuja fahamika wazi wazi Nape atazidi kukipaka matope chama cha mapinduzi na yeye kutoaminika tena machoni mwa jamii na wana CCM wenyewe.


Sasa hapa sijui nikuite kaka au dada...coz jina lako limeficha jinsia yako na sijui ni kwanini hutaki kujulikana....Nway, ngoja nilitumie kama lilivyo...Feedback...Binafsi huwa napata shida sana mtu anapoamua kusema yasiyokuwa kweli na kuyaaminisha kuwa ni ya kweli...Naomba nikuhakikishie kuwa tuhuma hizo si za kweli.....Mimi nilipokuwa niko CCJ kama katibu mwenezi wa taifa wa chama hicho,nilipewa jukumu lingine la kuwa mtunza hazina na kwa mujibu wa katiba ya iliyokuwa CCJ, kwa cheo hiko nilikuwa katibu wa baraza la wadhamini. Kwa maana hiyo, nilikuwa nahusika moja kwa moja na hazina zote za chama (mali za kuhamishika na zisizohamishika)...Labda nitoe taarifa kwa UMMA mpaka tunaondoka CCJ, kulikuwa na Tsh100,000/= katika account ya chama tuliyokuwa tumeifungulia pale CRDB Azikiwe Branch....CCJ haikuwa na mali yeyote isyohamishika na pango lenyewe lilipwa kwa pesa ya mfukoni ya hao ambao Mpendazoe kawataja kama waasisi wa CCJ...Hata samani za ofisi, zilitolewa na Mpendazoe pamoja na Sitta...Hatukuwahi kuwa na wafadhili wa nje, japo tuliwahi kutembelewa na balozi za nchi kadhaa na wakawa wameahidi kutusaidia katika kuhakikisha tunasajiliwa...Sasa kwa hili mumuulizen Tendwa, ni nani walimpa pesa za kutufanyiakuzunguka nchi nzima kuhakiki wanachama wa CCJ na hatimaye kuipa usajili CCJ. Ambazo baada ya CCJ kufell inasemekana alifungua matawi ya ofisi yake katika baadhi ya mikoa....
 
Kweli maana ndiye alikuwa Katibu mwenezi wa CCJ kwa wakati huo.

naona yupo kimya au na yeye alipata mgao nini? si unajua wanasiasa wetu wakibanwa?wanatafuta pa kutokea.
taulo nadhani halijashuka tu huko
 

Sasa hapa sijui nikuite kaka au dada...coz jina lako limeficha jinsia yako na sijui ni kwanini hutaki kujulikana....Nway, ngoja nilitumie kama lilivyo...Feedback...Binafsi huwa napata shida sana mtu anapoamua kusema yasiyokuwa kweli na kuyaaminisha kuwa ni ya kweli...Naomba nikuhakikishie kuwa tuhuma hizo si za kweli.....Mimi nilipokuwa niko CCJ kama katibu mwenezi wa taifa wa chama hicho,nilipewa jukumu lingine la kuwa mtunza hazina na kwa mujibu wa katiba ya iliyokuwa CCJ, kwa cheo hiko nilikuwa katibu wa baraza la wadhamini. Kwa maana hiyo, nilikuwa nahusika moja kwa moja na hazina zote za chama (mali za kuhamishika na zisizohamishika)...Labda nitoe taarifa kwa UMMA mpaka tunaondoka CCJ, kulikuwa na Tsh100,0000/= katika account ya chama tuliyokuwa tumeifungulia pale CRDB Azikiwe Branch....CCJ haikuwa na mali yeyote isyohamishika na pango lenyewe lilipwa kwa pesa ya mfukoni ya hao ambao Mpendazoe kawataja kama waasisi wa CCJ...Hata samani za ofisi, zilitolewa na Mpendazoe pamoja na Sitta...Hatukuwahi kuwa na wafadhili wa nje, japo tuliwahi kutembelewa na balozi za nchi kadhaa na wakawa wameahidi kutusaidia katika kuhakikisha tunasajiliwa...Sasa kwa hili mumuulizen Tendwa, ni nani walimpa pesa za kutufanyiakuzunguka nchi nzima kuhakiki wanachama wa CCJ na hatimaye kuipa usajili CCJ. Ambazo baada ya CCJ kufell inasemekana alifungua matawi ya ofisi yake katika baadhi ya mikoa....
Mkuu ng'hily

Kwanza rekebisha kwenye red hizo ni laki, milion 100 au, then una uhakika gani pesa yote iliyokusanywa ilikuwa inapelekwa benki unasema baada ya kutopata usajili akaunti ilifungwa kwa hiyo pesa zilienda wapi mligawana? maana hiyo ilikuwa michango ya wananchi, na je ile fununu ya CCJ kuendelea kudai usajili baada ya uchaguzi imekufa au ndio hao walioanzisha CCK, nafikiri mambo ya kumuuliza Tendwa ni kupoteza muda hizo tunajua ni ghiliba za ki CCM labda tuambie kama na wewe unataka kuzitumia maana huyu Tendwa tunajua anavyotumika hakuna haja ya kuelezea.
 
...Labda nitoe taarifa kwa UMMA mpaka tunaondoka CCJ, kulikuwa na Tsh100,0000/= katika account ya chama tuliyokuwa tumeifungulia pale CRDB Azikiwe Branch....

Nimeshindwa kuielwa hiyo figure kwenye red, weka koma katika mpangilio tuelewe ni shingapi!
 
Jana Nape umeongea kitu kingine tofauti na ulipokuwa singida ulisema 'Msimamo wako kwa mafisadi uko palepale watafukuzwa kama hawataki kujitoa" jana Umesema anayetakiwa kuwaandikia barua anajijua NANI huyo?mtaje na lini zitaandikwa lini?Na mafisadi wenyewe ni akina nani CCM,tupe list yako tofauti na list ya wapinzani.........................!
 
Mkuu ng'hily

Kwanza rekebisha kwenye red hizo ni laki, milion 100 au, then una uhakika gani pesa yote iliyokusanywa ilikuwa inapelekwa benki unasema baada ya kutopata usajili akaunti ilifungwa kwa hiyo pesa zilienda wapi mligawana? maana hiyo ilikuwa michango ya wananchi, na je ile fununu ya CCJ kuendelea kudai usajili baada ya uchaguzi imekufa au ndio hao walioanzisha CCK, nafikiri mambo ya kumuuliza Tendwa ni kupoteza muda hizo tunajua ni ghiliba za ki CCM labda tuambie kama na wewe unataka kuzitumia maana huyu Tendwa tunajua anavyotumika hakuna haja ya kuelezea.


Feedback...Kama umenielewa vizuri utakuwa umenielewa, ila kama umenielewa vibaya naomba unisamehe...Coz hapa sizungumzii giliba za CCM au za chama chochote kile.Nilikuwa najaribu kuzungumzia tetesi au tuhuma ulizozisikia. Nashukuru kwa kunikumbusha kusahihisa...ni shilingi laki moja tena pesa yenyewe tulipewa na na mmoja wa viongozi wa dini ili kufungua hiyo current account na tukapewa Cheque book no: 876301 - 876400...Pesa hii haikuwa kutoka kwani ndo pesa tuyokuwa tumefungulia account.Sijui kama umenielewa, mimi sikusema account ilifungwa...Nimesema mpaka tunaondoka CCJ kilikuwepo kiasi hiko benk....Na nikakuhakikishia kuwa hakukuwa na pesa zingine coz nilikuwa mhusika mkuu wa fedha so najua nini nakisema. Hata hivyo, maudhui ya maswali yako hayako katka kufapata ufahamu wa jambo ulilolisikia...Kama umenisoma vizuri sidhani kama hayo maneno yako kwa 'red' yanajenga.

Pia kuonyesha kuwa uliitoa kwa makusudi hiyo hoja yako, sasa umeingiza hoja nyingine ya CCJ kudai usajili baada ya uchaguzi kuisha...Labda mimi niseme tu kuwa niliondoka CCJ nakuingia CDM, sasa kama CCJ wanataka kudai usajili, mimi sijui ila labda tu nikufahamishe kuwa sheria haiwaruhusu maybe waanze maombi upya kwa maana ya kupata tena usajili wa muda na baadaye wahakikiwe na wakikidhi vigezo basi wapewe usajili...Na kuhusu CCK, sina taarifa sana na sielewi kinachoendelea huko, ninachokiona ni kile watanzania wengi wanakiona kuwa baadhi ya waliokuwa viongozi wa CCJ kwa maana ya Katibu Muabhi na Katibu Mwenezi Akitanda ambaye alichukua nafasi hiyo baada ya mimi kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Msaidizi Bara, ndo viongozi wa CCK. Bila shaka wao watakuwa kwenye position nzuri ya kuzungumza kilichojili baada ya sisi kuondoka CCJ na wao kuwa viongozi wa CCK so watakuwa na taarifa nzuri....
 
Hapo kwa kibuluu bahari mkuu,ni 1,000,000 au 100,000?
Hapo kwa redi, naomba fafanua kidogo tafadhali. Otherwise, taarifa nzuri sana,inakidhi kiu japo inaanzisha kiu nyingine lol! SHALOM!

Sasa hapa sijui nikuite kaka au dada...coz jina lako limeficha jinsia yako na sijui ni kwanini hutaki kujulikana....Nway, ngoja nilitumie kama lilivyo...Feedback...Binafsi huwa napata shida sana mtu anapoamua kusema yasiyokuwa kweli na kuyaaminisha kuwa ni ya kweli...Naomba nikuhakikishie kuwa tuhuma hizo si za kweli.....Mimi nilipokuwa niko CCJ kama katibu mwenezi wa taifa wa chama hicho,nilipewa jukumu lingine la kuwa mtunza hazina na kwa mujibu wa katiba ya iliyokuwa CCJ, kwa cheo hiko nilikuwa katibu wa baraza la wadhamini. Kwa maana hiyo, nilikuwa nahusika moja kwa moja na hazina zote za chama (mali za kuhamishika na zisizohamishika)...Labda nitoe taarifa kwa UMMA mpaka tunaondoka CCJ, kulikuwa na Tsh100,0000/= katika account ya chama tuliyokuwa tumeifungulia pale CRDB Azikiwe Branch....CCJ haikuwa na mali yeyote isyohamishika na pango lenyewe lilipwa kwa pesa ya mfukoni ya hao ambao Mpendazoe kawataja kama waasisi wa CCJ...Hata samani za ofisi, zilitolewa na Mpendazoe pamoja na Sitta...Hatukuwahi kuwa na wafadhili wa nje, japo tuliwahi kutembelewa na balozi za nchi kadhaa na wakawa wameahidi kutusaidia katika kuhakikisha tunasajiliwa...Sasa kwa hili mumuulizen Tendwa, ni nani walimpa pesa za kutufanyiakuzunguka nchi nzima kuhakiki wanachama wa CCJ na hatimaye kuipa usajili CCJ. Ambazo baada ya CCJ kufell inasemekana alifungua matawi ya ofisi yake katika baadhi ya mikoa....
 
Back
Top Bottom