king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,642
- 2,079
huyu kijana hataki kutambua kwamba ccm hawamtaki ni bora angebaki na msimamo aliokuwa nao alipokuwa uv-magamba maana siku hizi jawa mropokaji baada ya kupewa idara ya propaganda.hata hivyo anaendelea kusaidia upinzanzi kupambana na mafisadi waliompa ajira.kama hatakisaliti ccm kweli basi ataanguka jwa aibu.