gud nape.open ur doors an welcome them all waliopotea wataojitambua
nape nae, yaani aende ccm?
Je huyu kafulila alikuwa na maana gani haswa?
Je ana maslahi ya wanajimbo lake moyoni kweli au ana agenda ya siri?
Vijitu vya Kigoma ovyo kweli kweli. havina masimamo na vinatanguliza njaa mbele. Ona Kaburu, Ona Zito, ona Kafulila. Vyote hivyo vinaongozwa na matumbo tu. Nimevidhazau kweli. Mwanamme mzima unaangua kilio huku unapapasa miguu ya mwanamme mwenzio? Bora hata huyo anayetuhumiwa kwa ufisadi kama Lowasa lakini ana msimamo kuliko hivi viganga njaa.Kimenikasirisha mno.Si unaambiwa alikuwa anapinga NCCR kuwa idara ya CCM?Kuhusu maslahi ya wanajimbo yeye hajajiuzulu ubunge ila amevuliwa uanachama kwa misingi ya kukomoana,chuki na hasira.
Njoo kwenye chama makini kisichokuwa na mizengwe.
na itakuwa vizuri chama kinachomuondoa mbunge wake kwa staili hii kisiruhusiwe kushiriki uchaguzi unaorudiwa... By the way... kafulila bado ni mbunge halali hadi taratibu zote zitakapokamilika... IKIWEMO YA KUTANGAZA RASMI KUWA JIMBO LAKE LIPO WAZI..I am no Kafulila fan...ila suala la hizi by elections inabidi lipitiwe upya. Gharama za chaguzi ndogo ni kubwa mno, mie ningependekeza ikibidi iwe defined kwenye elections law as to what should lead to a by election like death of an MP, when the current MP is found guilt of corruption and vote rigging ( this in particular should be followed by a criminal persecution). But kufukuzana huku kwa NCCR is unnecessary cost kwa kweli kwa nchi, its petty and dubious....#jstthinkingaloud.