Nape na Tendwa wanena kuhusu Kafulila

Yeah na kwenda kwenye process za umimi za CCM unajua alimshinda Gulamhussein wa CCM na anasubiri 2015; kwanini aende CCM ina wake?
 
...Hakuna sababu ya Kafulila kuhamia chama ambacho kiko ICU kinasubiri kifo chake rasmi.
 
Kama kuna mtu yuko karibu na Kafulia naomba amuitie wana saikolojia wamsaidie. Kama hali ikizidi basi apungwe mapepo ya kutaka kula bila kunawa. Kafulia anaweweseka hasa ikizingatiwa kuwa ubunge kwake haukuwa kwenye akili yake bali zali la mentali. Mpepeeni David Kafulia kwa kufulia.
 
Kafulila take time off and try to most critically think for yourself and then your political career as advised by Kamanda Lema up here.

By your taking into consideration into how much fluidy the political chase-board has since become of our country and its players, do not just risk jumping into next action without first being very realistic in conducting reality checks and self-assessment as you look into the past so that you cold well be so emphatic in formulating a solid move into the future with a sure step.

You either take that or rubbish it all.
 
Kwenye katiba mpya tuiige ya malawi! Raisi alipoona chama kinamzingua akaachana nacho na kuunda kingine, huku akiendelea kuwa madarakani!
 
Mh. Lema, napongeza kwa waraka huu, a friend in need? umenistua kidogo kumkaribisha Davi Arusha, Je unataka kujiuluzulu Ubunge? au ndio umestukia jimbo la Arumeru? Halafu ukiipongeza NCCR unadhani mchakato walioutumia ni shaihi? Je ni utovu wa nidhamu kudai haki ya kidemokrasia? kwamba asitokee mtu wa kuhoji kiti cha Mbatia? (uenyekiti NCCR!!) Ningpenda pia kupata maoni yako kama umesoma JF, unaonaje Dave kurudi CDM? (MWENDA TEZI NA OMO.........) Unaposema maamuzi magumu hudhani kwamba kuna vidole unavigeuzia kwenu kwa Vimeo vinavyowatesa kila uchao? (Shibuda etc) huoni kwamba kuna tikiti baya shambani kwako?.........mwisho kabisa MBONA UMESHAMVUA MWENZAKO UBUNGE MAPEMA HIVYO NA MWENYEWE AMEDAI BADO NI MBUNGE?
 
The strongest man is he who stands alone - Dr Stockmann (Henrik Ibsen / An Enemy of the People). But for Kafulila's case, he is a mismatch at best compared to the background that you were alluding to up there.
 
Ninatamani ahamie CCM nako aKadai UENYEKITI..............tena aseme Kikwete ni CDM
 
Mh. Lema, napongeza kwa waraka huu, a friend in need? umenistua kidogo kumkaribisha Davi Arusha, Je unataka kujiuluzulu Ubunge? au ndio umestukia jimbo la Arumeru? Halafu ukiipongeza NCCR unadhani mchakato walioutumia ni shaihi? Je ni utovu wa nidhamu kudai haki ya kidemokrasia? kwamba asitokee mtu wa kuhoji kiti cha Mbatia? (uenyekiti NCCR!!) Ningpenda pia kupata maoni yako kama umesoma JF, unaonaje Dave kurudi CDM? (MWENDA TEZI NA OMO.........) Unaposema maamuzi magumu hudhani kwamba kuna vidole unavigeuzia kwenu kwa Vimeo vinavyowatesa kila uchao? (Shibuda etc) huoni kwamba kuna tikiti baya shambani kwako?.........mwisho kabisa MBONA UMESHAMVUA MWENZAKO UBUNGE MAPEMA HIVYO NA MWENYEWE AMEDAI BADO NI MBUNGE?

Utakuwa umetanguliza ushabiki kuliko reasoning.........................Kafukuzwa uanachama na kikao halali cha chama. Anatakiwa ajifunze nidhamu kwanza chama chochote atakacho enda yatamkuta hayo hayo ...bado kijana anaweza fanya vizuri akifanyia kazi weakness zake.Kwani akisema yy bado mbuge basi anakuwa bado mbunge sisi wote tuna refer magazeti yanayoripoti kuvuliwa ubunge..ok unaweza subiri barua zipelekwe kwa speaker na tendwa kufanya iwe rasmi ila be realistic ndugu.
 
Kasema vyama vya siasa visitumie vikao vyao kama sehemu ya kukomoana bali vikao vitumike kama sehemu ya kukosoana na kulekebishana. kasema viongozi wa juu wasitumie vyeo vyao kuwakomoa walio chini yao.
Wakati huohuo nape naye kasema vyama viwe kama mlezi wa vijana. kijana anapokosea inabidi alekebishwe labda mzee utasema huyu kashindikana lakini kijana inabidi tukae nao karibu. Ova

Huyu Tendwa ni HYPOCRISY na FISADI mkubwa. I have never ranked him high. Badala ya kuongelea kiini cha tatizo yeye anaongelea dalili za tatizo, kwa uonga wa kumuuudhi BWANA yake JK.

Tatizo la kadhia yote hii ni KATIBA mbovu inayopigiwa upatu na CCM na Tendwa mwenyewe. Iweje mbunge aliyechaguliwa na wananchi apoteze ubunge wake simply tu eti amevuliwa unachama na chama kilichomsimamisha?! Tenda ni mumpumbafu mkubwa! Badala ya kuongelea hili yeye anaongea utumbo as if haina hata hiyo degree ya sheria, sijui tutamtofautisha vipi na akina Kamala wenye online degree!

Katiba mpya itamke wazi kwamba Mbunge anaweza kuhama chama au hata akivuliwa uanachama aendelee na ubunge wake. Wananchi tu waliomchangua ndiyo wenye uwezo wa kumvua ubunge, suio Mbatia , JK, Mbowe, Mrema, Maalim etc. Marehemu Mwanawasa alihama chama lakini hakupoteza Urais wake.

Pia katiba mpya iruhusu wagombea binafsi, kama hayo yote yatatekelezwa basi ndio mwanzo wa kuokoa pesa zetu kutokana na ujinga huu wa vyama vya siasa kuwatisha wabunge kuwavua uanachama ili wapoteza ubunge wao na hii tunafahamu ndiyo silaha kubwa ya CCM kuwadhibiti wabunge wake, ili kuviza uwakilishi wa wananchi.

Lakini mijitu mijinga kama Tendwa inakuja political rhetorics ambayo haitoi suluhisho la tatizo. Shame on your face Tendwa!
 
Tendwa is talking strategically on CCM's point of views. Chaguzi ndogo si wimbo ambao CCM kwa sasa wanataka kuusikia ndiyo maana wanataka kupendekeza mfumo wa kuteua wawakilishi wa wananchi badala ya wananchi kuwapigia kura.

Kwanza
Chaguzi ndogo zinatumika kama kipimo cha kuona imani ya wananchi kwa CCM uchaguzi wa Igunga ulitoa jibu kuwa Imani hiyo imeporomoka catastrophically.

Pili chaguzi ndogo ni hela, CCM ili ifute aibu ya kushindwa vibaya katika chaguzi hizi hutumia fedha nyingi sana kiasi kwamba naona wenye akili kwenye chama wanajiuliza je gharama hiyo ni value for money katika kutetea mbunge mmoja ambaye hata wakimkosa bado wana super majority bungeni.

Tatu wimbo wa kufukuzana katika chama ambao ulipachikwa jina la kujivua gamba umeonekana si mzuri sana kwa afya ya CCM. Hivyo vyama kama NCCR vinapouimba CCM haipaswi kuucheza wimbo huo maana, maana ni dalili mbaya kwao, unawakumbusha magamba era ambayo strategically wameachana na mchakato huo.

Nne CCM wanajua kuwa hata kama jimbo hilo litakuwa wazi kulichukua haitakuwa rahisi sana na huenda ikawa ni cheche ya mabadiliko makubwa ambayo wanayasikia Aljazeera na vyombo vingine vya habari tu.

Tano kufukuzwa huku kwa Kafulila kuna undermine hoja yao ya kupeleka uwezo wa kuziba jimbo toka kwa vyama vinavyoyashikilia majimbo hayo, kwani ni dhahiri kuwa kama utaratibu huo utapitishwa basi wengi watakuwa victim kama Kafulila kwa ajili ya kukomoana tu kwa kuwa mtu hakubaliani na wewe.

Kiujumla Tendwa ameongea kama mlezi wa vyama ila kama kada wa chama chake pia ambacho ndicho kinamuweka mjini. Kwani kwa sura nyingine kukubaliana na uamuzi wa Mbatia ni kukubaliana na tuhuma kuwa Mbatia ni CCM B. Kitu ambacho kwa sasa strategically CCM haitapenda ijulikane hivyo wakati ikiendelea na utafiti wa kuua nguvu ya CDM kabla ya 2015.

Uchambuzi makini sana huu.
 
Tutafukuza Shibuda pia then muingie gharama nyingine za uchaguzi, najua mtaanda pesa nyingi za kuhonga ili mshinde.

Naona zikitokea chaguzi kama tatu hivi za harakaharaka CCM wata give up!!! Pesa sasa isha anza kuwa issue. Hapa chini Tendwa analalamikia gharama badala ya kulalamikia katiba.

“Mimi kama Msajili siingilii mamlaka ya chama chochote na sina mamlaka ya kikatiba kufanya hivyo. Lakini, katiba haimruhusu (Kafulila) kuendelea na uongozi (mbunge) hadi awe na chama, hivyo kunatakiwa sasa, kuandaliwe uchaguzi mdogo,”alisema Tendwa na kuongeza: "Kuandaa uchaguzi mdogo ni gharama kubwa. Uchaguzi mmoja gharama yake ni zaidi ya Sh19 bilioni. Kwa suala kama hili tujiulize nani amesababisha gharama, tusiishie tu kuupigia kelele ufisadi, tuangalie na sisi viongozi wa vyama tunaisaidia vipi serikali?”


Kama wabunge wanachaguliwa na wananchi mimi sioni kwa nini chama kiwe na nguvu ya kuwafukuza??? Ilitokea kule Malawi Rais akaamua kuhama chama na kuanzisha chake bila kupoteza madaraka pamoja na wabunge wake kibao. Kwa katiba yetu kama swala ni chama basi tuwe tunachagua chama na chama kinachagua mbunge wake ambaye wanaweza kumbadilisha muda wowote wakitaka.

Lakini so far haiingii akilini kwa chama kumufukuza mwakilishi ambaye wananchi wamemchagua.
 
Mimi ninadhani ni njama za mwenjekiti wa nccr baada ya kujisafisha mbele ya
wazee wa chama na nec aka panga mbinu za kulipiza kisasi na ame fanikiwa.

Hakuna kisasi chochote cha Mbatia; kilichotomtokea Kafulila ni matokeo ya kauli zake zifuatazo

1. Kuita Serikali iliyoko madarakani kuwa ni "Legelege"
2. Kuwaita wajumbe wenzake wa Kamati ya hesabu za Serikali za mitaa kuwa ni "Wala rushwa"
3. Kupingana na mtazamo wa spika kuhusu katiba mpya hasa "kutamka spika aliongeza wajumbe nje ya utaratibu"

Haya yamefanikiwa kwa kuwa NCCR haifanyi shughuli zake kama taasisi bali kwa matakwa ya viongozi ambao wengine wanategea hisani ya viongozi wa serikali ili kuishi. Haya yangeweza kumtokea Mh. Lissu kama CDM nayo wangekuwa hawafanyi kazi kama taasisi.

Inawezekana Kafulila asiwe tena Mbunge maishani mwake kutokana na matamshi yake Na. 1 hapo juu
.
 
Pole sana Kafulila naamini unajikusanya ufanye maamuzi sahihi baada ya balaa hili .
 
nndo maana watu wanasema mbatia punga ...yaani tabia zake ni za kipunga punga tu.....
 
Amgoje Hamad Rashid waunde chama chao halafu akagombee kwa ticket ya chama hicho!! Hamad atashinda kwao WAWI na Kafulila kwao Kigoma kusini hivyo watakuwa na wabunge wawili na kumpiku CHEYO na Mrema!!

:bump2: :tape::tape:
 
Back
Top Bottom