William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Duh! hili taifa bwana, yaani sina hamu nasikia kuna uwezekano wa watu kuja kuishi planet ya Mars, cant wait!
FMEs!
FMEs!
OMG........:lalala:
nimeangalia tbc eti nape anasema cdm wamenunua fuso kwa zaidi ya mil 500
Hivi kweli tumeshindwa kabisa kuamshana na kushindana kwa hoja? Nadhani nape ni makini sana, sidhani kama na yeye ataingia katika mtego wa orodha maana katika mazingira ya azimio la zanzibar, there is a very thin line between fisadi na tajiri. Let us focus on key issues zinazowagusa wananchi jamani, ufisadi upigwe vita but usisimamishe mambo mengine muhimu, kama vita inanoga hivyo, basi tuunde vitengo kwenye vyama vyetu kupiga vita ufisadi e.g. katibu idara ya kupiga vita ufisadi🙂 ili wengine waendelee na mambo mengine muhimu (sina maana vita dhidi ya ufisadi sio muhimu).
Nape akilicheza sindimba jana kabla ya kumlipua Dr (PHD) kama anavyodai.Kweli hii ni aina ya viongozi wa kuirudisha CCM kwenye mstari?? Tafakari.........
![]()
Nape akilicheza sindimba jana kabla ya kumlipua Dr (PHD) kama anavyodai.Kweli hii ni aina ya viongozi wa kuirudisha CCM kwenye mstari?? Tafakari.........
![]()
nimeangalia tbc eti nape anasema cdm wamenunua fuso kwa zaidi ya mil 500
.ni fuso ya aina gani hiyo?haiingi akilini kabisa au wanamaanisha mil 50?
anamfanania mdogo wake Sofia SimbaHuyo mbele ya huyo anayeimba ni nani vile?
Huu ndio mkutano wa kiongozi wa kitaifa tulioambiwa mkubwa kweli CCM imefulia haina mvuto kwa wananchi watu ni kama wamelazimishwa kuja.Nape akilicheza sindimba jana kabla ya kumlipua Dr (PHD) kama anavyodai.Kweli hii ni aina ya viongozi wa kuirudisha CCM kwenye mstari?? Tafakari.........
![]()
<br />picha safi sana, muheshimiwa anakula mayenu kujisahaulisha shida za watanzania, hongera sana NAPE kula nchi muda ndiyo huu.<br />
<br />
Swali: Mikutano mingi ya hawa jamaa lazima wapige mziki kwanza? nijuzeni mantiki yake hasa ni nini?