Nadhani kuondoa mzizi wa fitina Nampe ataje mishahara wanayopokea viongozi waandamizi wa CCM, ili tuweze kulinganisha. Mana kwa mtazamo wake mtu kulipwa mshahara mkubwa ni ufisadi, basi atujuze yeye mwenyewe kama mkuu wa wilaya asiyekuwepo kwenye kitua chake cha kazi anapokea kiasi gani? Na viongozi wenzake...na pia atujuze Raisi naye anapokew kiasi gani kwa Mwezi