Nape na Kinana kuunguruma Arusha leo

Nape na Kinana kuunguruma Arusha leo

Honey K! Kama utahudhuria kwenye huo mkutano tafadhali usisahau kumwambia Kinana kua ninadai SUTI zangu tatu pale Falcon Dry Cleaner!
 
Honey K! Bila kusahau mwambie Kinana pia tunazihitaji zile Motor za pale Mochwari alizofunga pale Falcon Dry Cleaner!
 
somalie-agent-de-change_0.jpg
mmh!. amefanana na kanali enzi za ujana wake mogadishu. Ni kama malipo ya pembe za tembo,no wonder ni biashara yenye kipato kikubwa baada ya ile ya drugs
 
Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..

**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...

HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA

Gari la matangazo linapita kila kona likiwahimiza wananchi kuwahi mapema kwa kuwa kutakuwa na chakula!! bila shaka hii ni takrima ili uwanja usiwe mtupu.
 
Halafu kwataarifa nilizozipata baada ya kupita hii barabara ya msikiti mkubwa wale waswahili wanaoshindaga pale nje ya msikiti mkubwa na kushindia Gahawa na Kashata leo wameahidiwa kilo mbili mbili za MIRUNGI ili waende kumpa kampani Kinana kwenye huo mkutano!
 
Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..

**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...

HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA

Eti wanaunguruma!!!, kichefuchefu.
 
TUMBIRI,

Nimewaona mie wakikutana na mabalozi wa nyumba kumi...haijapata
kutokea...Kibanda katika gazeti la Tz Daima alikiri kuwa anayebeza timu
hii ya ccm kwa.sasa anahitaji kupimwa akili. Hapa swala ni kutafuta dawa
ya kuwadhibiti vinginevyo.....

CDM tunawaambiya wajipange lakini ni wagumu kuelewa
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..

**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...

HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA
Plisi magamba na yale majini ya TISS yatakuwepo mengi huko kuliko wananchi. Wanaarusha angalieni kupigwa na vitu vigumu!!
 
Ukitaka kujua kuwa wamechanganyikiwa angalia comment zao.za kitoto kitoto kweli.na bado huu ni mwanzo tu
 
Tunaweza kuja kumwelewa Kibanda wakati too late.Slaa angalia hii mambo
 
Kwa taarifa nilizo nazo wananchi wa Arusha na vitongoji vyake wanaihitaji sana ccm mana hawajaona faida ya kuchagua upinzani hadi leo zaidi ya vurugu na maandamano yasiyo na tija kwao
 
Kama uko arusha na unamiliki pikipiki wahi ofisi za CCM mkoa ukachukue 20,000 na utawekewa mafuta ya 10000. shariti kuu ushiriki kwenye ufunguzi wa matawi ya ccm...
 
Kwa taarifa nilizo nazo wananchi wa Arusha na vitongoji vyake wanaihitaji sana ccm mana hawajaona faida ya kuchagua upinzani hadi leo zaidi ya vurugu na maandamano yasiyo na tija kwao
Vurugu zote zinaanzishwa na CCM pamoja na usalama wa Taifa ili kukipa picha CDM kuwa kinapenda fujo. Wananchi wa leo tunajua kupambanua mambo, so CCM kwa hilo labda ije na njia nyingine, hawana jipya.
 
Kuna watu wengi waliamini kuwa Arusha ni ngome imara sana ya CDM, wababe wa siasa dhidi ya upinzani nchini Abrahman Kinana na Nape Nnauye wataunguruma leo jijini Arusha...na kwa hakika mapokezi yao yametisha sana kwenye uwanja wa ndege wa Arusha..

**kivutio ilikuwa ni uwepo wa Edward Lowassa kumpokea asimu wake mkubwa kisiasa Nape Nnauye...

HABARI ZAIDI MCHANA KADRI MKUTANO UNAVYOKWENDA

Mngurumo wa tembo ama???
 
Back
Top Bottom