ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
mkuu unaifahamu Arusha?Hii ni camera tric ndugu! mnaunganisha picha mbili tofauti ili kulazimisha umaarufu hewa! mna akili za samaki nyie!!
mkuu unaifahamu Arusha?Hii ni camera tric ndugu! mnaunganisha picha mbili tofauti ili kulazimisha umaarufu hewa! mna akili za samaki nyie!!
mkuu wanafikiri wataweza zima mziki wa wapinzani wao kina Lema hapo Arusha.Perdiem zimepata walaji! Juzi tumeskia walikuwa Mtwara, jana Tabora. Baadae tena tukaskia wapo Sumbawanga! Leo tena tunaambiwa wapo Arusha! Sijui hicho chama wanakiimarishaje? Je wanafika kwenye ngazi za Chini ambapo ndio msingi wa Chama na ndipo kwenye matatizo lukuki?
Wanaishia Mkoani alafu wanajidanganya wanaimarisha chama! Ndiyo maana Nape ananenepa na kuota kitambi (Wilson Mukama, 2012).
Hii ni camera tric ndugu! mnaunganisha picha mbili tofauti ili kulazimisha umaarufu hewa! mna akili za samaki nyie!!