Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,953
- 10,037
Naye ni Dr. John Joseph Pombe Magufuli, mchapakazi asiyetaka longolongo!Mwanaume hasifiwi kwa mbwembwe...anasifiwa kwa KAZI.
Naye ni Dr. John Joseph Pombe Magufuli, mchapakazi asiyetaka longolongo!Mwanaume hasifiwi kwa mbwembwe...anasifiwa kwa KAZI.
Naye ni Dr. John Joseph Pombe Magufuli, mchapakazi asiyetaka longolongo!
Aulizwe tu ilani zilizopita wametekeleza?
Maana hii nchi tangu tu Kambarage alivyokabidhiwa na Waingereza imeporomoka kiuchumi muongo hata muongo...
Naye ni Dr. John Joseph Pombe Magufuli, mchapakazi asiyetaka longolongo!
Tanzania hatuhitaji Meneja....Tunahitaji Kiongoz