Sasa una shangaa nini? au umbea tu ndio una kusumbua?
Kama chadema walitoa ahadi hewa kwa wahanga ili jamii ijue kuwa chadema imeguswa na tukio lile, ni dhahiri mtu aseme ukweli kuhusu uongo wao.
chadema all they are doing is seeking cheap popularity.
Tamko la Nape ni la kitoto na upuuzi mtupu!
Asifikiri kwamba Watanzania na mambumbumbu kiasi kwamba hawaoni madudu ya serikali.
Asubiri 2015 ndiyo ataelewa wananchi wameichoka ccm kiasi gani!
Kauli za viongozi hawa na labda watarajiwa wa baadae kuvaa kofia kubwa zaidi imekuwa ni kukipakazia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa kinahusika na ulipuaji wa mabomu nchini,
Hizi kauli si za kufikiriwa tu, na kama police wanazisikia ni mahali ambapo wangelifika moja kwa moja kutaka kujua chanzo cha kauli hizi.
Haiingii akilini kuwa Chadema kinaua mpaka wanachama wake kwa mithili wa Wataleban..kuilipua nyumba yako mwenyewe ili hali ndiyo lala yako ilipo si uwendawazimu tu bali ni kuwa na akili zisizofikirika katika mfumo wa siasa tunaouona kwa sasa.
Police hawa jamaa mmeongea nao? Ni kwa nini kila mlipuko ni Chadema? hawa jamaa wanajua je? wanahisia gani?
Bado nawaza mpaka sasa mfumo wa kuishi kwenye Tanzania hii ya viongozi wanaoogopana sipati jibu.
Mungu njoo kwetu leo kutana na kizazi hiki cha Farao...............
hivi nyie mnamsikilizaga nape, there are so many other things to do
Nape!
Sijaamini kama unaweza kutoa hauli hii.
''CHADEMA WALIWATELEKEZA WAHANGA WA BOMU NA MAREHEMU KWA KUAHIDI KUWAGHARAMIKIA MATIBU NA MAZISHI LAKINI NAWAPA PONGEZI KWA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUWAHUDUMIA, SERIKALI MULIYOIPA IMANI ILI KUWATIMIZIA MATATIZO YENU''
Hivi ndugu yangu umefikia hatua ya kutumia damu ya watu kuonyesha ubora wa uongozi wako?
Kwahiyo jukumu la kuwasaidia wahanga wa huo mlipuko ulikua wa CHADEMA lakini serikali imesaidia?
Nape huna mshauri? Mnamuangusha sana raisi wangu!!!!!!
Sidhani kama raisi Kikwete anakubaliana na hili. I can say this is the most rediculous thing I have heard for 2013.
Kusema CHADEMA ndio wamehusika na ulipuaji siwezi kupingana na wewe kwasababu sina Ushahidi, ila nashukuru kwa taarifa ambayo its not properly backed up by Evidence.
Hivi elimu yatu watanzania inastusaidia kweli? Kama mtu huyu ndio mtu mwenye level ya masters then I wonder!!!
Huyu jamaa speech zake zinakua aproved kweli? au anajisemea tu kwakua yeye ndio msemaji wa chama?
CCM kuweni makini na huyu m2. ikiwezekana speech zake zote ziangaliwe kabla hajazipeleka kwenye Press. he is an emberassment to the society.
Nape!
Sijaamini kama unaweza kutoa hauli hii.
''CHADEMA WALIWATELEKEZA WAHANGA WA BOMU NA MAREHEMU KWA KUAHIDI KUWAGHARAMIKIA MATIBU NA MAZISHI LAKINI NAWAPA PONGEZI KWA SERIKALI KUINGILIA KATI NA KUWAHUDUMIA, SERIKALI MULIYOIPA IMANI ILI KUWATIMIZIA MATATIZO YENU''
Hivi ndugu yangu umefikia hatua ya kutumia damu ya watu kuonyesha ubora wa uongozi wako?
Kwahiyo jukumu la kuwasaidia wahanga wa huo mlipuko ulikua wa CHADEMA lakini serikali imesaidia?
Nape huna mshauri? Mnamuangusha sana raisi wangu!!!!!!
Sidhani kama raisi Kikwete anakubaliana na hili. I can say this is the most rediculous thing I have heard for 2013.
Kusema CHADEMA ndio wamehusika na ulipuaji siwezi kupingana na wewe kwasababu sina Ushahidi, ila nashukuru kwa taarifa ambayo its not properly backed up by Evidence.
Hivi elimu yatu watanzania inastusaidia kweli? Kama mtu huyu ndio mtu mwenye level ya masters then I wonder!!!
Huyu jamaa speech zake zinakua aproved kweli? au anajisemea tu kwakua yeye ndio msemaji wa chama?
CCM kuweni makini na huyu m2. ikiwezekana speech zake zote ziangaliwe kabla hajazipeleka kwenye Press. he is an emberassment to the society.
Ni malalamiko yapi serikali yako ilishawahi kuyafanyia kazi? Mfano yule Mkenya mnayemshikilia mkidai ndiye muhusika wa utekaji wa Dr. Ulimboka kesi imeishia wapi? Mauaji ya muandishi wa habari wa kito cha channel 10 kesi imeishia wapi? Kaa kimya Chupi wewe naona mpaka leo hujapata mtu wa kukushuhulikia hii sehemu!1.Hayo maagizo ya serikali ulipoyapata kwanini hukupeleka polisi au kupeleka malalamiko yako kwenye vyombo vya habari kwamba serikali inapanga kutipua?Je huoni kama Una spin kwa mtindo wa kujifunga ww mwenyewe?