Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 644
- 292
NEPI ya Nnauye...soma hapa kutoka kwenye gazeti la Mwananchi utajuwa ni nani mwenye uwezo wa kutekeleza hili jambo na wala si kuropoka......"
Mtoto aeleza kupigwa risasi
Adam alisema jana kuwa alipigwa risasi na mtu aliyekuwa amevalia sare za polisi, wakati akitoka madrasa akiwa na ndugu yake, Fahdi katika eneo la Soweto.
Alisema akiwa njiani, aliona watu wakimkimbiza mtu na ghafla alishangaa kupigwa risasi na kuanguka chini.
Namkumbuka aliyenipiga risasi alikuwa amevaa sare za polisi, alisema Adam mwanafunzi katika Shule ya Msingi Levolosi huku akitokwa machozi.
Mtoto aeleza kupigwa risasi
Adam alisema jana kuwa alipigwa risasi na mtu aliyekuwa amevalia sare za polisi, wakati akitoka madrasa akiwa na ndugu yake, Fahdi katika eneo la Soweto.
Alisema akiwa njiani, aliona watu wakimkimbiza mtu na ghafla alishangaa kupigwa risasi na kuanguka chini.
Namkumbuka aliyenipiga risasi alikuwa amevaa sare za polisi, alisema Adam mwanafunzi katika Shule ya Msingi Levolosi huku akitokwa machozi.