INATIA SHAKA KUONA KAULI ZA MWANASIASA HUYU NA HASWA KTK KIPINDI HIKI AMBACHO KUNA FAMILIA ZIKO KWENYE MAJONZI MAKUBWA YA KUONDOKEWA NA NDUGU ZAO ETI KWA AJILI YA SIASA ! TENA ZA KUGOMBEA UMILIKI WA MJI WA ARUSHA UNAROPOKA MAMBO YA AJABU NAMNA HII.
HIVI ATA KAMA NI PROPAGANDA ZA KISIASA NA KUJIHAMI HIVI UNATHUBUTU KUTOA TUHUMA ZA KIJINGA NAMNA HII? "ETI CHADEMA WAMEJILIPUA WENYEWE" NAPE UMEKUWA NA KAULI NYINGI SANA TATA KIASI CHA BAADHI YA WATU KU- QUESTION WELEDI WAKO, LKN HII YA SASA IMEPITILIZA,ingiwa mimi ni mwana ccm mfu TENA NA KADI NINAYO ( SIILIPII LKN) KWA KAULI YAKO HII SIKUUNGI MKONO HATA NUKTA, MAANA NDO UNAZIDI KUPANDIKIZA CHUKI YA WANANCHI KWA CHAMA NA SERIKALI YAO.
HATA KAMA NI USHINDANI WA KISIASA BASI SI NAMNA HII, YA KU-PLAY DIRTY POLITICS KWENYE UHAI WA WATANZANIA. PLEASE STOP IT
CC. NAPE
He speaks as if someone has turned his bottom up to speak for his mouth!!
Wabongo kwa matusi ka
mnalipwa vile..
Mi hapa pande zote mbili naona wanazingua tu, kila upande wanasema wana
ushahidi sio CCM sio CDM, sasa kama wote wanaushahidi tena kama Mbowe
kasema hadi picha kabisa, si zionyeshwe sasa tujue, kazi kusema vipo
vipo alafu hamna anayeonyesha, hawa ni kutishana tu afu mwisho wa siku
kimya, ndiyo Bongo hiyo, hakuna jipya kazi kuua watu tu.
Hapa upande ambao utakaa kimya mi nahisi ndio wamefanya haya maana wote
si wamesema wana ushahidi, sasa ngoja tuone ushahidi wa nani utakua
strong, ila ku-judge siwezi nika-judge, pande zote mbili zinawezakua
zimefanya tu, binadamu ni binadamu tu siwezi nikaamini chama chochote,
watu wakiwa wanatafuta power hakuna cha udini wala nini wote
walewale
INATIA SHAKA KUONA KAULI ZA MWANASIASA HUYU NA HASWA KTK KIPINDI HIKI AMBACHO KUNA FAMILIA ZIKO KWENYE MAJONZI MAKUBWA YA KUONDOKEWA NA NDUGU ZAO ETI KWA AJILI YA SIASA ! TENA ZA KUGOMBEA UMILIKI WA MJI WA ARUSHA UNAROPOKA MAMBO YA AJABU NAMNA HII.
HIVI ATA KAMA NI PROPAGANDA ZA KISIASA NA KUJIHAMI HIVI UNATHUBUTU KUTOA TUHUMA ZA KIJINGA NAMNA HII? "ETI CHADEMA WAMEJILIPUA WENYEWE" NAPE UMEKUWA NA KAULI NYINGI SANA TATA KIASI CHA BAADHI YA WATU KU- QUESTION WELEDI WAKO, LKN HII YA SASA IMEPITILIZA,ingiwa mimi ni mwana ccm mfu TENA NA KADI NINAYO ( SIILIPII LKN) KWA KAULI YAKO HII SIKUUNGI MKONO HATA NUKTA, MAANA NDO UNAZIDI KUPANDIKIZA CHUKI YA WANANCHI KWA CHAMA NA SERIKALI YAO.
HATA KAMA NI USHINDANI WA KISIASA BASI SI NAMNA HII, YA KU-PLAY DIRTY POLITICS KWENYE UHAI WA WATANZANIA. PLEASE STOP IT
CC. NAPE