Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
"Nilipokosa ubunge wa jimbo la Ubungo, Mzee Membe akanifata na kuniambia tulia kijana wangu. Mwaka 2015 nitakuachia jimbo la Mtama mimi nitakuwa namaliza muda wangu.
Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali
Kutokana na ukaribu wa Mzee Membe na Rais Kikwete nikapewa Ukuu wa Wilaya ya Masasi ambapo ni karibu na jimbo la Mtama" - Mh. Nape Nnauye akimuelezea Mh. membe.
Umejifunza ni nini hapo? Tafuta connection kwa hali na mali