SIMBA45
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 573
- 165
Haha huo ushuzi si umeunusa we mbweha .au unanbweka bweka tu
WW mwanamke kwa maandishi yko Tu inaonyesha tabia yko n umbea,fitina,kuliwa n usenge..nyaji. Izo ndio tabia za uvccm.
Haha huo ushuzi si umeunusa we mbweha .au unanbweka bweka tu
Ni Kama Nape anasema," Bahati yenu Chadema! Mmeshinda kwa sababu ya Lowasa. Mngekuwa hamkumkaribisha tungewaonyesha cha mtema kuni. Lakini basi, tutakutana kwenye uchaguzi wa 2020."
Kila kitu kitadumu kwa wakati wake!
Mbona watanzania hamjitambui? Kazi ya gazeti siyo kumnadi mgombea wa chama flani tu ni kutupasha habari ambazo zote zinazoendelea Tanzania nzima bira kujari itikadi za kivyama.
Vipande kadhaa vya pesa viliwakosanisha MBOWE na SLAA...mmoja aliamini katika misingi mwingine aliamini katika ulaji.
Ila CCM kitadumu sana, miaka mia mtasubiri
Mgombea ubunge jimbo la MVOMERO ni Mchungaji MLAY wa kanisa la GWAJIMA swahiba wa LOWASA. Alishika nafasi ya pili katika kura za maoni. Kajiunga hata miezi miwili haijafika kapewa kugombea. Aliyegombea kwa miongo mitatu na alishika nafasi ya kwanza kwa kura nyingi ameenguliwa. anaungulia maumivu tuu!!!. anasema tume-declare defeat kwa lowasa kwa kufuata matakwa lazimishi. KWELI CHAMA KIMEUZWA KWA LOWASA.Mbowe aiuza rasmi chadema. Lowasa anataka mamluki aliokuja nao wapewe nafasi za uongozi,ubunge, udiwani. Haijafahamika kwenye benki accounts ameingiziwa kiasi gani.
Wachaga sasa ivi wanafanya political business na inalipa.
Chanzo uhuru.
mkuu ni kweli kabisa nape jana alikuwa kama punje ya mavi ya mbuzi ameshajuwa nini kinakwenda kuikumba ccm yeye mwenyewe ubunge atausikia tu na kuangalia kwenye tv!!